Labda moyo wako pekee lakini walio wengi wana majeraha makubwa yaliyosababishwa na kiumbe hiki. Hakika kifo chake kilikuwa faraja kwa mamilioni ya Watanzania!Ila yuko mioyoni mwa watz waliowengi mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda moyo wako pekee lakini walio wengi wana majeraha makubwa yaliyosababishwa na kiumbe hiki. Hakika kifo chake kilikuwa faraja kwa mamilioni ya Watanzania!Ila yuko mioyoni mwa watz waliowengi mkuu.
Nyie ndio mliokua mnamuita magufuli dikteta, sasa mtanyooka
Uko mji gani? Pita mitaani umseme vibaya hasa kwa watu wahali ya chini. Ukitoka salama ukatambike.Labda moyo wako pekee lakini walio wengi wana majeraha makubwa yaliyosababishwa na kiumbe hiki. Hakika kifo chake kilikuwa faraja kwa mamilioni ya Watanzania!
Hutaki Sasa.? Basi kamshauri mama ako asimamie serikali badala ya porojo.
Tena huku niliko hawataki hata kusikia jina lake!Uko mji gani? Pita mitaani umseme vibaya hasa kwa watu wahali ya chini. Ukitoka salama ukatambike.
Labda moyo wako pekee lakini walio wengi wana majeraha makubwa yaliyosababishwa na kiumbe hiki. Hakika kifo chake kilikuwa faraja kwa mamilioni ya Watanzania!
Wapi huko?Tena huku niliko hawataki hata kusikia jina lake!
Uko mji gani? Pita mitaani umseme vibaya hasa kwa watu wahali ya chini. Ukitoka salama ukatambike.
RukwaWapi huko?
Acha tukome kabisa maana watu hawajielewi
Tubadilishe chama tawala la sivyo tukae kimya tu.
Kila mtu ale urefu wa kamba jamani hamuerewiSiku hizi mtaani kuna vilio cha maumivu makubwa ya watu kulalamikia utendaji usioridhisha wa watumishi wa Umma. Wengine wanalalamika uzembe ,rushwa, uonevu na kutosikilizwa kukishamiri katika ofisi za Umma.
"Ukienda ofisi ya Umma bila kutoa chochote yawezekana usipate huduma inayoridhisha na zaidi unaweza kuangaliwa tu bila kusikilizwa", alisema mdau mmoja.
Lakini cha ajabu katikati ya vilio na malalamiko JPM anatajwa na wengine wakienda mbali zaidi wakisema JPM aliweza kudhibiti hali hii ya uzembe na rushwa maofisini tunamkumbuka.
Wito
Malalamiko haya yanatolewa na watu wa chini kabisa ambao si rahisi kuweza kufikisha malalamiko yao Juu na kwa kuwa kisemwacho kipo basi Serikali haina budi kudhibiti janga hili kwa nchi.
Naomba kukiri nilichowahi kukutana nacho TRA kinatisha sana. Ile hofu ya mteja ni mfalme TRA hawana kabisa, rushwa na uzembe vinafanyika waziwazi. Hivyo nikisikia watu wanalalamikia utendaji wa mamlaka hii ni ishara wamechoka.
Halmashauri napo hali si shwari, kuna uzembe katika utoaji wa huduma hususani katika idara za afya. Wagonjwa kutopewa huduma stahiki ni jambo la kawaida likichangiwa na rushwa.
Hata me yameisha nipata, dawasco walinikatia maji kimakosa eti wanadai elfu 30000/ela ya miezi miwili,nikaenda hofisini kwao tukamalizana, Sasahivi nina kama wiki,ukiwapigia wananiambia mpaka nimlipe fundi elfu 15000 ndipo yarudishwe, kwakweli Sasahivi tabu tupuSiku hizi mtaani kuna vilio cha maumivu makubwa ya watu kulalamikia utendaji usioridhisha wa watumishi wa Umma. Wengine wanalalamika uzembe ,rushwa, uonevu na kutosikilizwa kukishamiri katika ofisi za Umma.
"Ukienda ofisi ya Umma bila kutoa chochote yawezekana usipate huduma inayoridhisha na zaidi unaweza kuangaliwa tu bila kusikilizwa", alisema mdau mmoja.
Lakini cha ajabu katikati ya vilio na malalamiko JPM anatajwa na wengine wakienda mbali zaidi wakisema JPM aliweza kudhibiti hali hii ya uzembe na rushwa maofisini tunamkumbuka.
Wito
Malalamiko haya yanatolewa na watu wa chini kabisa ambao si rahisi kuweza kufikisha malalamiko yao Juu na kwa kuwa kisemwacho kipo basi Serikali haina budi kudhibiti janga hili kwa nchi.
Naomba kukiri nilichowahi kukutana nacho TRA kinatisha sana. Ile hofu ya mteja ni mfalme TRA hawana kabisa, rushwa na uzembe vinafanyika waziwazi. Hivyo nikisikia watu wanalalamikia utendaji wa mamlaka hii ni ishara wamechoka.
Halmashauri napo hali si shwari, kuna uzembe katika utoaji wa huduma hususani katika idara za afya. Wagonjwa kutopewa huduma stahiki ni jambo la kawaida likichangiwa na rushwa.
Mtetezi wa wanyonge sio chama mkuu ni mtu trust me.Tubadilishe chama tawala la sivyo tukae kimya tu.
Kwani nyinyi Warundi hampendi kuzua mamboWatanzania kwa kupenda kuzua mambo hamjambo?
Siku hizi mtaani kuna vilio cha maumivu makubwa ya watu kulalamikia utendaji usioridhisha wa watumishi wa Umma. Wengine wanalalamika uzembe ,rushwa, uonevu na kutosikilizwa kukishamiri katika ofisi za Umma.
"Ukienda ofisi ya Umma bila kutoa chochote yawezekana usipate huduma inayoridhisha na zaidi unaweza kuangaliwa tu bila kusikilizwa", alisema mdau mmoja.
Lakini cha ajabu katikati ya vilio na malalamiko JPM anatajwa na wengine wakienda mbali zaidi wakisema JPM aliweza kudhibiti hali hii ya uzembe na rushwa maofisini tunamkumbuka.
Wito
Malalamiko haya yanatolewa na watu wa chini kabisa ambao si rahisi kuweza kufikisha malalamiko yao Juu na kwa kuwa kisemwacho kipo basi Serikali haina budi kudhibiti janga hili kwa nchi.
Naomba kukiri nilichowahi kukutana nacho TRA kinatisha sana. Ile hofu ya mteja ni mfalme TRA hawana kabisa, rushwa na uzembe vinafanyika waziwazi. Hivyo nikisikia watu wanalalamikia utendaji wa mamlaka hii ni ishara wamechoka.
Halmashauri napo hali si shwari, kuna uzembe katika utoaji wa huduma hususani katika idara za afya. Wagonjwa kutopewa huduma stahiki ni jambo la kawaida likichangiwa na rushwa.
Hakula chama mbadala sasa tuweke hewa ?Tubadilishe chama tawala la sivyo tukae kimya tu.
Mtetezi wa wanyonge sio chama mkuu ni mtu trust me.
Hakula chama mbadala sasa tuweke hewa ?
Tatizo sio chama bali walioko maofisini... jiwe aliwatia chaji wakawajibika kupitia chama hichi hichiTubadilishe chama tawala la sivyo tukae kimya tu.