Ninayoyasikia mtaani juu ya watumishi wa Umma katika awamu ya sita yanatisha

Ninayoyasikia mtaani juu ya watumishi wa Umma katika awamu ya sita yanatisha

Ila yuko mioyoni mwa watz waliowengi mkuu.
Labda moyo wako pekee lakini walio wengi wana majeraha makubwa yaliyosababishwa na kiumbe hiki. Hakika kifo chake kilikuwa faraja kwa mamilioni ya Watanzania!
 
Labda moyo wako pekee lakini walio wengi wana majeraha makubwa yaliyosababishwa na kiumbe hiki. Hakika kifo chake kilikuwa faraja kwa mamilioni ya Watanzania!
Uko mji gani? Pita mitaani umseme vibaya hasa kwa watu wahali ya chini. Ukitoka salama ukatambike.
 
Labda moyo wako pekee lakini walio wengi wana majeraha makubwa yaliyosababishwa na kiumbe hiki. Hakika kifo chake kilikuwa faraja kwa mamilioni ya Watanzania!

Kweli kabisa, watu wanaongea tu hawajui jinsi alivyoumiza watu wengine. Kuna mfanya biashara alikutwa na bilioni moja kwenye akaunti akakamatwa na kupelekwa selo.

Akiwa selo akaambiwa atashtakiwa kwa kosa la uhujumu uchumi. Ndani ya siku Moja akajinyonga akiwa selo. Unadhani familia yake inamuonaje Magufuli
 
Uko mji gani? Pita mitaani umseme vibaya hasa kwa watu wahali ya chini. Ukitoka salama ukatambike.

Acheni kutisha watu. Eti kumsema vibaya. Mbona alipokuwa hai alisemwa vibaya tu. Watu wanaona aibu kuisema maiti, wameamua maisha yaendelee.
 
Siku hizi mtaani kuna vilio cha maumivu makubwa ya watu kulalamikia utendaji usioridhisha wa watumishi wa Umma. Wengine wanalalamika uzembe ,rushwa, uonevu na kutosikilizwa kukishamiri katika ofisi za Umma.

"Ukienda ofisi ya Umma bila kutoa chochote yawezekana usipate huduma inayoridhisha na zaidi unaweza kuangaliwa tu bila kusikilizwa", alisema mdau mmoja.

Lakini cha ajabu katikati ya vilio na malalamiko JPM anatajwa na wengine wakienda mbali zaidi wakisema JPM aliweza kudhibiti hali hii ya uzembe na rushwa maofisini tunamkumbuka.

Wito
Malalamiko haya yanatolewa na watu wa chini kabisa ambao si rahisi kuweza kufikisha malalamiko yao Juu na kwa kuwa kisemwacho kipo basi Serikali haina budi kudhibiti janga hili kwa nchi.

Naomba kukiri nilichowahi kukutana nacho TRA kinatisha sana. Ile hofu ya mteja ni mfalme TRA hawana kabisa, rushwa na uzembe vinafanyika waziwazi. Hivyo nikisikia watu wanalalamikia utendaji wa mamlaka hii ni ishara wamechoka.

Halmashauri napo hali si shwari, kuna uzembe katika utoaji wa huduma hususani katika idara za afya. Wagonjwa kutopewa huduma stahiki ni jambo la kawaida likichangiwa na rushwa.
Kila mtu ale urefu wa kamba jamani hamuerewi
 
Siku hizi mtaani kuna vilio cha maumivu makubwa ya watu kulalamikia utendaji usioridhisha wa watumishi wa Umma. Wengine wanalalamika uzembe ,rushwa, uonevu na kutosikilizwa kukishamiri katika ofisi za Umma.

"Ukienda ofisi ya Umma bila kutoa chochote yawezekana usipate huduma inayoridhisha na zaidi unaweza kuangaliwa tu bila kusikilizwa", alisema mdau mmoja.

Lakini cha ajabu katikati ya vilio na malalamiko JPM anatajwa na wengine wakienda mbali zaidi wakisema JPM aliweza kudhibiti hali hii ya uzembe na rushwa maofisini tunamkumbuka.

Wito
Malalamiko haya yanatolewa na watu wa chini kabisa ambao si rahisi kuweza kufikisha malalamiko yao Juu na kwa kuwa kisemwacho kipo basi Serikali haina budi kudhibiti janga hili kwa nchi.

Naomba kukiri nilichowahi kukutana nacho TRA kinatisha sana. Ile hofu ya mteja ni mfalme TRA hawana kabisa, rushwa na uzembe vinafanyika waziwazi. Hivyo nikisikia watu wanalalamikia utendaji wa mamlaka hii ni ishara wamechoka.

Halmashauri napo hali si shwari, kuna uzembe katika utoaji wa huduma hususani katika idara za afya. Wagonjwa kutopewa huduma stahiki ni jambo la kawaida likichangiwa na rushwa.
Hata me yameisha nipata, dawasco walinikatia maji kimakosa eti wanadai elfu 30000/ela ya miezi miwili,nikaenda hofisini kwao tukamalizana, Sasahivi nina kama wiki,ukiwapigia wananiambia mpaka nimlipe fundi elfu 15000 ndipo yarudishwe, kwakweli Sasahivi tabu tupu
 
Siku hizi mtaani kuna vilio cha maumivu makubwa ya watu kulalamikia utendaji usioridhisha wa watumishi wa Umma. Wengine wanalalamika uzembe ,rushwa, uonevu na kutosikilizwa kukishamiri katika ofisi za Umma.

"Ukienda ofisi ya Umma bila kutoa chochote yawezekana usipate huduma inayoridhisha na zaidi unaweza kuangaliwa tu bila kusikilizwa", alisema mdau mmoja.

Lakini cha ajabu katikati ya vilio na malalamiko JPM anatajwa na wengine wakienda mbali zaidi wakisema JPM aliweza kudhibiti hali hii ya uzembe na rushwa maofisini tunamkumbuka.

Wito
Malalamiko haya yanatolewa na watu wa chini kabisa ambao si rahisi kuweza kufikisha malalamiko yao Juu na kwa kuwa kisemwacho kipo basi Serikali haina budi kudhibiti janga hili kwa nchi.

Naomba kukiri nilichowahi kukutana nacho TRA kinatisha sana. Ile hofu ya mteja ni mfalme TRA hawana kabisa, rushwa na uzembe vinafanyika waziwazi. Hivyo nikisikia watu wanalalamikia utendaji wa mamlaka hii ni ishara wamechoka.

Halmashauri napo hali si shwari, kuna uzembe katika utoaji wa huduma hususani katika idara za afya. Wagonjwa kutopewa huduma stahiki ni jambo la kawaida likichangiwa na rushwa.
 

Attachments

  • 4899883-e59fbc83cc567d0065df707486fdc276.mp4
    5.4 MB
Back
Top Bottom