Angepikiwa mbwa mara moja.Huyu bwana kipindi akiwa mkuu wa wilaya ya hai, Nasikia amefanya uliokithirika.
Ameteka watu akawakata masikio, Akawakata mikono akaona haitoshi akawaingizia chupa kwenye haja kubwa.
Bwana Sabaya amelawiti ambinti kwa nguvu, amedhalilisha wanawake na mabinti wengi kingono, amenyang'anya mali za watu kwa mtutu wa bunduki.
Huyu bwana alikuwa akienda hoteli kulala na kupatiwa huduma yoyote halipi na hakutaka kudaiwa.
Ameua biashara za watu wengi kwa kutumia cheo chake.
Ningekuwa na mamlaka huyu bwana nisingempeleka mahakamani, ningempeleka Hai niwaachie wananchi waamue.
Mpumbavu ni wewe na familia yako,Mpumba.vu wewe, mpeleke Hai uone kama mahakamani patakalika...kipenzi cha wanyonge huyo na wanyonge hao wala hawajui smartphone so hawawezi kuja msemea hapa.
Hakika kama kuna yeyote alienda takukuru kutoa ushahidi wa uongo basi malipo ni hapa hapa duniani,nae kjna Siku itamrudiaAcha unafiki na umbea kama siyo ujuha na roho mbaya. Itakusaidia nini hiyo roho mbaya?
Walifanyiwa na wote kabisa wakakaa kimya, kweli? Leo ndo wanakumbuka kwamba walifanyiwa ukatili?
Tumwogope Mungu, hata kama ni mkosefu, ahukumiwe kwa lile la haki.
[emoji3][emoji3][emoji3]najua mkuu kuna 'kukaguliwa'Mkuu wa Gereza ametumia tafsida hapo, tafakari..
Kwa Hiyo Ameonewa?? Wewe unaweza kusaidia Ushahidi zaidi kwasababu Jamhuri inamtuhumu kwa maovu mengi yawezekana ulikua sehemu ya genge lake la uovu...Jifunzeni Kutotenda Maovu Mkiwa na Nafasi....Sawa kila mtu atasema lake lakini Mimi nasimama naye kijana alikuwa mchapa kazi na alithubutu Hadi kuwaibua wakwepa Kodi na watu wanaofanya kazi isivyo halali tafuta video zake utashihudia...mengine Ni maneno tu
Hayajakukuta na hauna ndugu yako yeyote aliye dhulumiwa na bwana sabaya ni aibu ndugu...Sawa kila mtu atasema lake lakini Mimi nasimama naye kijana alikuwa mchapa kazi na alithubutu Hadi kuwaibua wakwepa Kodi na watu wanaofanya kazi isivyo halali tafuta video zake utashihudia...mengine Ni maneno tu
Mie nahis hata jpm alikua mbakajiAlikuwa akilindwa na Jiwe,stone. Makonda aliamua kumtema sio Kwa kupenda Bali issue ya Marekani. Hii ndio type na watu WA Jiwe, dhulmati, wabakaji NK.
Alikuwa Tra?Sawa kila mtu atasema lake lakini Mimi nasimama naye kijana alikuwa mchapa kazi na alithubutu Hadi kuwaibua wakwepa Kodi na watu wanaofanya kazi isivyo halali tafuta video zake utashihudia...mengine Ni maneno tu
si unaona alikula mke wa balozi?Mie nahis hata jpm alikua mbakaji
Ewaaa...ss umenielewa..kwanza kitendo cha kuzaa na shemela wako jaman ni kigumu mnoosi unaona alikula mke wa balozi?
Ushahidi unao ama na ww umedandia mitandaoniHuyu bwana kipindi akiwa mkuu wa wilaya ya hai, Nasikia amefanya ubaya uliokithirika.
Ameteka watu akawakata masikio, Akawakata mikono akaona haitoshi akawaingizia chupa kwenye haja kubwa.
Bwana Sabaya amelawiti mabinti kwa nguvu, amedhalilisha wanawake na mabinti wengi kingono, amenyang'anya mali za watu kwa mtutu wa bunduki.
Huyu bwana alikuwa akienda hoteli kulala na kupatiwa huduma yoyote halipi na hakutaka kudaiwa.
Ameua biashara za watu wengi kwa kutumia cheo chake.
Ningekuwa na mamlaka huyu bwana nisingempeleka mahakamani, ningempeleka Hai niwaachie wananchi waamue.
Hapana huo si utawala wa sheria.. Muhimu ni kila aliyetendewa ubaya na mtuhumiwa sabaya apaleke ushahidi wake sehemu stahiki
Ajapakatwa badoJana kakaribishwa hapo jela ya Kisongo kwa kuambiwa lazima aoge alitaka kugoma na wale wahuni wenzie wametenganishwa ilibidi aoge tuu...taarifa za huko tutaendelea kuzipata mubashara...