Ninekuwa na maamuzi, Sabaya ningempeleka Hai niwaachie wananchi wamsulubishe wenyewe

Ninekuwa na maamuzi, Sabaya ningempeleka Hai niwaachie wananchi wamsulubishe wenyewe

Jana kakaribishwa hapo jela ya Kisongo kwa kuambiwa lazima aoge alitaka kugoma na wale wahuni wenzie wametenganishwa ilibidi aoge tuu...taarifa za huko tutaendelea kuzipata mubashara...
Mkuu wa kikosi, naomba unipatie taarifa za huko zote kuhusiana na huyu jambazi aisee. Natanguliza shukrani Mkuu.
 
Sawa kila mtu atasema lake lakini Mimi nasimama naye kijana alikuwa mchapa kazi na alithubutu Hadi kuwaibua wakwepa Kodi na watu wanaofanya kazi isivyo halali tafuta video zake utashihudia...mengine Ni maneno tu
Umesikia anavyogombewa wakati wa kuoga huko Kisongo? Vijana Wana usongo.
 
Mliompa sabaya ushirikiano kutenda uhalifu wote mjiandae ni lzm atawataja nyote kama ulimpa askari na silaha akafanye uhalifu andaa pingu.Kamati nzima ya ulinzi na usalama na watendaji wote waliompa sapoti wawajibishwe
 
Back
Top Bottom