Ningejua nisingewalea watoto wangu wa kufikia. Najuta!

Ningejua nisingewalea watoto wangu wa kufikia. Najuta!

Chai. Sema utakuwa umepitia kitu kinachofanana na hiki af ukazingua mbeleni
Nilimwoa mke wangu miaka 30 iliyopita. Alikuja na Watoto wake wawili wa ndoa yake ya awali.
Niliwapenda sana na nikawakubali na kuwafanya kama watoto wangu kwani Sikubahatika kuwa Na Mtoto Wangu mwenyewe.

Tulianza Maisha Yetu, Tulikaa kwa amani katika nyumba Ya kupanga. Nilikuwa nikifanya kazi wakati huo na nilihakikisha kuwa ninawapeleka watoto Hao shule. baba yao hakuwahi kuja kuwaona wala kutoa Huduma Zozote.

Watoto Hao walikuwa Wapo Vizuri Sana Katika Masomo Yao Shuleni. Walisoma Hadi Chuo Na Kubahatika kuajiriwa Mmoja Ni Daktari Ambaye Alipata Udhamini wa kumaliza masomo yake huko USA.
Amerudi na tayari ameshaajiriwa, kijana wa pili ni rubani ambaye nilitumia akiba yangu yote kumlipia kozi yake huko Afrika Kusini, pia amerudi na ameajiriwa pia.

Furaha yangu ni kwamba watoto wangu wamefanikiwa na wamenunua nyumba kubwa, shida yangu ni kwamba mke wangu na watoto Hao
wawili wameungana na baba yao na sasa wanaishi pamoja kwa furaha kama familia.

Wamenitelekeza hapa, siwezi hata kulipa kodi tena, nilistaafu zamani, nimekuwa nikiomba omba Kwa Watu Wanisaidie Hela kwa watu Nipate chakula Na Hata sehemu Ya kulala. Sahizi hata simu yangu hawapokei Tena Na Wameniblock.
 
Omba omba halafu una smart phone ya kuingia jf mkuu?
Nilimwoa mke wangu miaka 30 iliyopita. Alikuja na Watoto wake wawili wa ndoa yake ya awali.
Niliwapenda sana na nikawakubali na kuwafanya kama watoto wangu kwani Sikubahatika kuwa Na Mtoto Wangu mwenyewe.

Tulianza Maisha Yetu, Tulikaa kwa amani katika nyumba Ya kupanga. Nilikuwa nikifanya kazi wakati huo na nilihakikisha kuwa ninawapeleka watoto Hao shule. baba yao hakuwahi kuja kuwaona wala kutoa Huduma Zozote.

Watoto Hao walikuwa Wapo Vizuri Sana Katika Masomo Yao Shuleni. Walisoma Hadi Chuo Na Kubahatika kuajiriwa Mmoja Ni Daktari Ambaye Alipata Udhamini wa kumaliza masomo yake huko USA.
Amerudi na tayari ameshaajiriwa, kijana wa pili ni rubani ambaye nilitumia akiba yangu yote kumlipia kozi yake huko Afrika Kusini, pia amerudi na ameajiriwa pia.

Furaha yangu ni kwamba watoto wangu wamefanikiwa na wamenunua nyumba kubwa, shida yangu ni kwamba mke wangu na watoto Hao
wawili wameungana na baba yao na sasa wanaishi pamoja kwa furaha kama familia.

Wamenitelekeza hapa, siwezi hata kulipa kodi tena, nilistaafu zamani, nimekuwa nikiomba omba Kwa Watu Wanisaidie Hela kwa watu Nipate chakula Na Hata sehemu Ya kulala. Sahizi hata simu yangu hawapokei Tena Na Wameniblock.
 
Fanya maamuzi magumu ndugu yangu sumu ya panya haiuzwi ghali sana
Ndo kwanzaa utazidi kudhraulika au kama una ujasiri wa kuvumilia kaa kimya fanya mambo yako mshirikishe Mungu
 
Nilimwoa mke wangu miaka 30 iliyopita. Alikuja na Watoto wake wawili wa ndoa yake ya awali.
Niliwapenda sana na nikawakubali na kuwafanya kama watoto wangu kwani Sikubahatika kuwa Na Mtoto Wangu mwenyewe.

Tulianza Maisha Yetu, Tulikaa kwa amani katika nyumba Ya kupanga. Nilikuwa nikifanya kazi wakati huo na nilihakikisha kuwa ninawapeleka watoto Hao shule. baba yao hakuwahi kuja kuwaona wala kutoa Huduma Zozote.

Watoto Hao walikuwa Wapo Vizuri Sana Katika Masomo Yao Shuleni. Walisoma Hadi Chuo Na Kubahatika kuajiriwa Mmoja Ni Daktari Ambaye Alipata Udhamini wa kumaliza masomo yake huko USA.
Amerudi na tayari ameshaajiriwa, kijana wa pili ni rubani ambaye nilitumia akiba yangu yote kumlipia kozi yake huko Afrika Kusini, pia amerudi na ameajiriwa pia.

Furaha yangu ni kwamba watoto wangu wamefanikiwa na wamenunua nyumba kubwa, shida yangu ni kwamba mke wangu na watoto Hao
wawili wameungana na baba yao na sasa wanaishi pamoja kwa furaha kama familia.

Wamenitelekeza hapa, siwezi hata kulipa kodi tena, nilistaafu zamani, nimekuwa nikiomba omba Kwa Watu Wanisaidie Hela kwa watu Nipate chakula Na Hata sehemu Ya kulala. Sahizi hata simu yangu hawapokei Tena Na Wameniblock.
Utakuwa na undugu na Nzee Abduli halafu huyo baba ana undugu na Nzee Shante

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Jamaaa wanasemaga uoe single mother lbd uoneshwe kaburi [emoji28][emoji28]
 
Ukiona hauna uzazi, nenda kituo cha watoto yatima au waliotelekezwa na wazazi wao na hawawajui kabisa, chukua na lea!

Kingine chukua mtoto/watoto wa ndugu zako huko vijijini, akikua na kufanikiwa akakusahau, sawa tu ila umesaidia ndugu zako!

Achana na mambo mengine!
 
Nilimuoa mke wangu miaka 30 iliyopita. Alikuja na Watoto wake wawili wa ndoa yake ya awali.
Niliwapenda sana na nikawakubali na kuwafanya kama watoto wangu kwani sikubahatika kuwa Na Mtoto Wangu mwenyewe.

Tulianza Maisha Yetu, Tulikaa kwa amani katika nyumba ya kupanga. Nilikuwa nikifanya kazi wakati huo na nilihakikisha kuwa ninawapeleka watoto Hao shule. baba yao hakuwahi kuja kuwaona wala kutoa Huduma Zozote.

Watoto Hao walikuwa Wapo Vizuri Sana Katika Masomo Yao Shuleni. Walisoma Hadi Chuo Na Kubahatika kuajiriwa Mmoja Ni Daktari Ambaye Alipata Udhamini wa kumaliza masomo yake huko USA.

Amerudi na tayari ameshaajiriwa, kijana wa pili ni rubani ambaye nilitumia akiba yangu yote kumlipia kozi yake huko Afrika Kusini, pia amerudi na ameajiriwa pia.

Furaha yangu ni kwamba watoto wangu wamefanikiwa na wamenunua nyumba kubwa, shida yangu ni kwamba mke wangu na watoto hao wawili wameungana na baba yao na sasa wanaishi pamoja kwa furaha kama familia.

Wamenitelekeza hapa, siwezi hata kulipa kodi tena, nilistaafu zamani, nimekuwa nikiomba omba kwa Watu Wanisaidie Hela kwa watu nipate chakula na Hata sehemu Ya kulala. Sasa hivi hata simu yangu hawapokei tena na wameniblock.
Una idea nzuri ya utunzi kipindi kingine uwe unatype mambo yaliyokuwa yamekutokea wewe mwenyewe kwa hisia zaidi tutayajua tu hata usipotumia nguvu nyingi za ushawishi
 
Mmeanza story zenu ili Tu walio single mothe waonekani hawafai!
Kama ulikuwa Baba kweli haiwezekani mpaka sasa uwe ujajenga hata kama ulikuwa unakaa Kota kiinua mgongo ungejenga!
Kwan umeoa single Maza mkuu [emoji1787][emoji1787]?
 
Nilimuoa mke wangu miaka 30 iliyopita. Alikuja na Watoto wake wawili wa ndoa yake ya awali.
Niliwapenda sana na nikawakubali na kuwafanya kama watoto wangu kwani sikubahatika kuwa Na Mtoto Wangu mwenyewe.

Tulianza Maisha Yetu, Tulikaa kwa amani katika nyumba ya kupanga. Nilikuwa nikifanya kazi wakati huo na nilihakikisha kuwa ninawapeleka watoto Hao shule. baba yao hakuwahi kuja kuwaona wala kutoa Huduma Zozote.

Watoto Hao walikuwa Wapo Vizuri Sana Katika Masomo Yao Shuleni. Walisoma Hadi Chuo Na Kubahatika kuajiriwa Mmoja Ni Daktari Ambaye Alipata Udhamini wa kumaliza masomo yake huko USA.

Amerudi na tayari ameshaajiriwa, kijana wa pili ni rubani ambaye nilitumia akiba yangu yote kumlipia kozi yake huko Afrika Kusini, pia amerudi na ameajiriwa pia.

Furaha yangu ni kwamba watoto wangu wamefanikiwa na wamenunua nyumba kubwa, shida yangu ni kwamba mke wangu na watoto hao wawili wameungana na baba yao na sasa wanaishi pamoja kwa furaha kama familia.

Wamenitelekeza hapa, siwezi hata kulipa kodi tena, nilistaafu zamani, nimekuwa nikiomba omba kwa Watu Wanisaidie Hela kwa watu nipate chakula na Hata sehemu Ya kulala. Sasa hivi hata simu yangu hawapokei tena na wameniblock.
Mwanamke na Mume wake wa awali watakua ni majasusi kutoka Marekani maana walitumia plan ya muda mrefu wakiamini watafanikiwa
 
Nilimuoa mke wangu miaka 30 iliyopita. Alikuja na Watoto wake wawili wa ndoa yake ya awali.
Niliwapenda sana na nikawakubali na kuwafanya kama watoto wangu kwani sikubahatika kuwa Na Mtoto Wangu mwenyewe.

Tulianza Maisha Yetu, Tulikaa kwa amani katika nyumba ya kupanga. Nilikuwa nikifanya kazi wakati huo na nilihakikisha kuwa ninawapeleka watoto Hao shule. baba yao hakuwahi kuja kuwaona wala kutoa Huduma Zozote.

Watoto Hao walikuwa Wapo Vizuri Sana Katika Masomo Yao Shuleni. Walisoma Hadi Chuo Na Kubahatika kuajiriwa Mmoja Ni Daktari Ambaye Alipata Udhamini wa kumaliza masomo yake huko USA.

Amerudi na tayari ameshaajiriwa, kijana wa pili ni rubani ambaye nilitumia akiba yangu yote kumlipia kozi yake huko Afrika Kusini, pia amerudi na ameajiriwa pia.

Furaha yangu ni kwamba watoto wangu wamefanikiwa na wamenunua nyumba kubwa, shida yangu ni kwamba mke wangu na watoto hao wawili wameungana na baba yao na sasa wanaishi pamoja kwa furaha kama familia.

Wamenitelekeza hapa, siwezi hata kulipa kodi tena, nilistaafu zamani, nimekuwa nikiomba omba kwa Watu Wanisaidie Hela kwa watu nipate chakula na Hata sehemu Ya kulala. Sasa hivi hata simu yangu hawapokei tena na wameniblock.
Tenda wema nenda zako..
Bwana yeye ajua yote na ataoupigania.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Furaha yangu ni kwamba watoto wangu wamefanikiwa
kuna somewhere ulijidanganya au ulidanganywa, aliekuambia hao ni watoto wako ni nani? Afadhari hata ungelea watoto wa dadaako wangekusaidia lakini sio kwa blander uliyoifanya. Ila mzee pole sana.
 
Mmeanza story zenu ili Tu walio single mothe waonekani hawafai!
Kama ulikuwa Baba kweli haiwezekani mpaka sasa uwe ujajenga hata kama ulikuwa unakaa Kota kiinua mgongo ungejenga!
Alitendea wema kiinua mgongo, thawabu yake ipo mbinguni
 
Nilimuoa mke wangu miaka 30 iliyopita. Alikuja na Watoto wake wawili wa ndoa yake ya awali.
Niliwapenda sana na nikawakubali na kuwafanya kama watoto wangu kwani sikubahatika kuwa Na Mtoto Wangu mwenyewe.

Tulianza Maisha Yetu, Tulikaa kwa amani katika nyumba ya kupanga. Nilikuwa nikifanya kazi wakati huo na nilihakikisha kuwa ninawapeleka watoto Hao shule. baba yao hakuwahi kuja kuwaona wala kutoa Huduma Zozote.

Watoto Hao walikuwa Wapo Vizuri Sana Katika Masomo Yao Shuleni. Walisoma Hadi Chuo Na Kubahatika kuajiriwa Mmoja Ni Daktari Ambaye Alipata Udhamini wa kumaliza masomo yake huko USA.

Amerudi na tayari ameshaajiriwa, kijana wa pili ni rubani ambaye nilitumia akiba yangu yote kumlipia kozi yake huko Afrika Kusini, pia amerudi na ameajiriwa pia.

Furaha yangu ni kwamba watoto wangu wamefanikiwa na wamenunua nyumba kubwa, shida yangu ni kwamba mke wangu na watoto hao wawili wameungana na baba yao na sasa wanaishi pamoja kwa furaha kama familia.

Wamenitelekeza hapa, siwezi hata kulipa kodi tena, nilistaafu zamani, nimekuwa nikiomba omba kwa Watu Wanisaidie Hela kwa watu nipate chakula na Hata sehemu Ya kulala. Sasa hivi hata simu yangu hawapokei tena na wameniblock.
Tenda wema, nenda zako! Acha kusubiria shukrani wewe.

Halafu wakati mwingine uache uongo wako. Miaka 30 kwenye ndoa siyo mchezo! Huo ujasiri wa huyo mwanamke kurudiana na mzazi mwenzake wa zamani, angeutoa wapi!
 
Pole sana... tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi ana...
 
Back
Top Bottom