Ningejua nisingewalea watoto wangu wa kufikia. Najuta!

Ningejua nisingewalea watoto wangu wa kufikia. Najuta!

Asante bado najifunza kiswahili kinanipa shida kabisa
Halafu hapo hapo unashangaa mwandiko mzuri wa mstaafu aliyebobea kwenye kazi hadi akastaafu.

Kizazi cha dotcom kuandika kwa ufasaha ni majanga, ukiona mwandiko wa mzee aliyeishia la nne la mkoloni, ana mwandiko mzuri utazani kasoma hadi vidato vingi vya siku hizi
 
Najua umeandika ila watoto wetu wasilelewe....ni sawa pia🤝
 
Tenda wema, nenda zako! Acha kusubiria shukrani wewe.

Halafu wakati mwingine uache uongo wako. Miaka 30 kwenye ndoa siyo mchezo! Huo ujasiri wa huyo mwanamke kurudiana na mzazi mwenzake wa zamani, angeutoa wapi!
Excellent!!! Umeongea kitu Cha msing Sana mkuu!! Kat ya wachangiaj wote wew ndo umefkiria logically
 
Kumbe[emoji23][emoji23]
giphy.gif
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kwani ulitaka wampotezee baba yao wa damu wapate laana?? kwa furaha zako?...hao watoto wako sahihi......huenda uliwasomesha kwa masimango!!....baba yangu mdogo alinipaga foto copy eti niende shule...huku nyuma ananicheka eti sifiki popote saabu original sina ili nichekwe lkn akili mingi chuoni nikapendwa bure nikarudia mtihani upyaaaa.....lkn na mambo yakawa tofauti sana nikatusua mpaka university leo anajidai alinisaidia...ndo km weye.ndo mlivyo mibaba ya ivi...huenda wanakupa tuji cent ila huna shukrani tu. Unataka waje uwaroge vizuri waache waende bana zile ni akili za dume lenzio....mnao toa misaada mna tabia za kulia lia ili waje muwaharibu akili kichawi.wawewalevi. Hata ningekuwa mie ndo hao watoto nisinge kuamini. Wako sahihi sana hao....km nyie watoto mnanisikia hapa kazeni kamba msimuamini mleta mada ana kinyongo nanyi mkija tu atawaua....au tafuteni kinga kali akiwagusa afe yeye......watoa misaada hawaaminiki siku hizi...msiende kichwa kichwa.....wachawi hao kwa nini akupe wewe ili hali ana watoto wake??? Anatumia akili zako nyingi ulizopata kwa baba mwenye akili ili ajinufaishe??? Stukeni kusoma kwenu ni chaguo la mama yenu alichagua mme mwenye akili mingi.....Baba ni Baba tu mama hana mfano....
 
Siku nyingine usioe mwanamke mwenye watoto.
Mke mwenye watoto ntaoa sana/na weye oa tu... ili mradi awe mtamuuuu. Watoto kupeleka shule ni hiari yako...pima kwanza je mama yao anakismart na weye? Km kipo wapeleke shule tu...na wewe jiweke sawa kiuchumi mnooo.. kupitia nyota yake huyo Mama yao...so wakija sawa wasopo kuja sawa tu kula maisha kwa kwenda mbele....mleta mada hajui kuwa alipata hela kupitia kismart cha Mama yao..... Sasa mama hayupo analalama......amini usiamini kuna ke ukikaa nao unapata hela mingi si kawaida hata za kununua Meli ya mizigo.....ndo maana watu hatu waachi ke wa ivo hata km amepinda miguu...kiwete......zeruzeru...hatujali ili mradi nyota ya mafanikio inatuwakia kupitia yeye......si mnamuona Mengi alijichanganya akamuacha yule Mama cheupe!! Peeee!!! akafa kizembe sana. Unakumbuka???
 
Nilimuoa mke wangu miaka 30 iliyopita. Alikuja na Watoto wake wawili wa ndoa yake ya awali.
Niliwapenda sana na nikawakubali na kuwafanya kama watoto wangu kwani sikubahatika kuwa Na Mtoto Wangu mwenyewe.

Tulianza Maisha Yetu, Tulikaa kwa amani katika nyumba ya kupanga. Nilikuwa nikifanya kazi wakati huo na nilihakikisha kuwa ninawapeleka watoto Hao shule. baba yao hakuwahi kuja kuwaona wala kutoa Huduma Zozote.

Watoto Hao walikuwa Wapo Vizuri Sana Katika Masomo Yao Shuleni. Walisoma Hadi Chuo Na Kubahatika kuajiriwa Mmoja Ni Daktari Ambaye Alipata Udhamini wa kumaliza masomo yake huko USA.

Amerudi na tayari ameshaajiriwa, kijana wa pili ni rubani ambaye nilitumia akiba yangu yote kumlipia kozi yake huko Afrika Kusini, pia amerudi na ameajiriwa pia.

Furaha yangu ni kwamba watoto wangu wamefanikiwa na wamenunua nyumba kubwa, shida yangu ni kwamba mke wangu na watoto hao wawili wameungana na baba yao na sasa wanaishi pamoja kwa furaha kama familia.

Wamenitelekeza hapa, siwezi hata kulipa kodi tena, nilistaafu zamani, nimekuwa nikiomba omba kwa Watu Wanisaidie Hela kwa watu nipate chakula na Hata sehemu Ya kulala. Sasa hivi hata simu yangu hawapokei tena na wameniblock.
PU.M.B.A.VU sana alafu pole alufu p.u.mb.a.vu tena, hivi mkiambiwaga msioe single mothers hua hamuelewi, mnajifanya ma drg love, mnaojua kupenda. You guys who marry single mothers are stupid as hell.
 
Kuna ninaemfahamu Arusha ana mke na Watoto watatu, wawili mama yao kaja nao, wa tatu ndio wake.
Wawili hao wanasoma St Patrick wanalipiwa na Baba zao, wa kwake anasoma Ngaramtoni.
Lakini wapo kwake anatunza na kulisha
 
Back
Top Bottom