Ningejua nisingewalea watoto wangu wa kufikia. Najuta!

Ndoa yenye watoto huwa haivunjiki. Ukimpenda mama yao, kula kilicho kitamu kwa wakati huo na hakikisha watoto wanamjua na kuhudumiwa na baba yao.
 
liwe funzo na kwa wengine usioe single maza otherwise umeona kaburi la mmewake,ukiamua kuoa do it at your own risk
 
Huu ni uongo.... story yako imeajca gapes nyingi Sana ...kajipange
 
Kuna ukweli hapa. Kuna ndito nilikua nayo zamani, mzaramo elimu ya msingi lkn bwana utafikiri mto wa pesa ulikua unapitia chumbani kwangu. Kuja kumuacha pesa ilikatika huwezi kuamini. Mimi Tena nikarudi kupanda uda na daladala, kunywa beer local na kuanza kujifunza kuongea kiswahili.
 
Katiba Mpya itasimamia haki za WAZAZI KWA kuwalea Watoto WAO KWA kuhakikisha wananwalea WAZAZI WAO wanapokuwa WAZEE na kutojiweza !!

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA!!!
 
Hao watoto nao watalipwa na watoto wao. Karma is real
 
Bora hata n ya kutunga maana iliniumiza sana[emoji2955]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…