Ningejua nisingewalea watoto wangu wa kufikia. Najuta!

Ningejua nisingewalea watoto wangu wa kufikia. Najuta!

Nilimuoa mke wangu miaka 30 iliyopita. Alikuja na Watoto wake wawili wa ndoa yake ya awali.
Niliwapenda sana na nikawakubali na kuwafanya kama watoto wangu kwani sikubahatika kuwa Na Mtoto Wangu mwenyewe.

Tulianza Maisha Yetu, Tulikaa kwa amani katika nyumba ya kupanga. Nilikuwa nikifanya kazi wakati huo na nilihakikisha kuwa ninawapeleka watoto Hao shule. baba yao hakuwahi kuja kuwaona wala kutoa Huduma Zozote.

Watoto Hao walikuwa Wapo Vizuri Sana Katika Masomo Yao Shuleni. Walisoma Hadi Chuo Na Kubahatika kuajiriwa Mmoja Ni Daktari Ambaye Alipata Udhamini wa kumaliza masomo yake huko USA.

Amerudi na tayari ameshaajiriwa, kijana wa pili ni rubani ambaye nilitumia akiba yangu yote kumlipia kozi yake huko Afrika Kusini, pia amerudi na ameajiriwa pia.

Furaha yangu ni kwamba watoto wangu wamefanikiwa na wamenunua nyumba kubwa, shida yangu ni kwamba mke wangu na watoto hao wawili wameungana na baba yao na sasa wanaishi pamoja kwa furaha kama familia.

Wamenitelekeza hapa, siwezi hata kulipa kodi tena, nilistaafu zamani, nimekuwa nikiomba omba kwa Watu Wanisaidie Hela kwa watu nipate chakula na Hata sehemu Ya kulala. Sasa hivi hata simu yangu hawapokei tena na wameniblock.
Pole sana, pamoja na pole hiyo nakupongeza sana kuwafikisha hapo walipofikia, ulifanya sehemu yako kwa upendo.
Fahamu kwamba hukupanda bure, Mungu atakulipa kwa ulichopanda.
 
Mbna kama hii story chenga , Kwa yale uliyoyafanya Kwa hao watoto chance ya kukufanyia hvyo mi 0.001%, kwamba umewapitisha huko kote still upo nyumba ya kupanga , mkuu kama unataka kutuokota hv
 
Tenda wema nenda zako usingoje shukrani, mwenyezi Mungu atakulipia kile ulichofanya kwao.
 
Mshukuru Mungu kisha mwambie yeye ndo atakulipa...USITEGEMEE MALIPO KWA WANADAMU BABA YANGU[emoji1488]
 
Nilimuoa mke wangu miaka 30 iliyopita. Alikuja na Watoto wake wawili wa ndoa yake ya awali.
Niliwapenda sana na nikawakubali na kuwafanya kama watoto wangu kwani sikubahatika kuwa Na Mtoto Wangu mwenyewe.

Tulianza Maisha Yetu, Tulikaa kwa amani katika nyumba ya kupanga. Nilikuwa nikifanya kazi wakati huo na nilihakikisha kuwa ninawapeleka watoto Hao shule. baba yao hakuwahi kuja kuwaona wala kutoa Huduma Zozote.

Watoto Hao walikuwa Wapo Vizuri Sana Katika Masomo Yao Shuleni. Walisoma Hadi Chuo Na Kubahatika kuajiriwa Mmoja Ni Daktari Ambaye Alipata Udhamini wa kumaliza masomo yake huko USA.

Amerudi na tayari ameshaajiriwa, kijana wa pili ni rubani ambaye nilitumia akiba yangu yote kumlipia kozi yake huko Afrika Kusini, pia amerudi na ameajiriwa pia.

Furaha yangu ni kwamba watoto wangu wamefanikiwa na wamenunua nyumba kubwa, shida yangu ni kwamba mke wangu na watoto hao wawili wameungana na baba yao na sasa wanaishi pamoja kwa furaha kama familia.

Wamenitelekeza hapa, siwezi hata kulipa kodi tena, nilistaafu zamani, nimekuwa nikiomba omba kwa Watu Wanisaidie Hela kwa watu nipate chakula na Hata sehemu Ya kulala. Sasa hivi hata simu yangu hawapokei tena na wameniblock.
Pole sana mkuu
 
Single mother hakupendi, anachotaka ni mchango wako wa kifedha na ubaba kwenye malezi ya watoto wake. Watoto wakikua na kuanza kujitegemea unaachwa solemba.

Narudia tena single mother hakupendi ana hasira tu kwa mzazi mwenzake kwaiyo anataka kumrusha roho mzazi mwenzake ajue ame-move on. Hizi hasira zikiisha na mzazi mwenzake akijirudi unaachwa solemba.

Ifike hatua wanaume tushtuke na kuona ukweli kwamba wanawake hawatupendi wanatutumia tu.

UKiwa kwenye mahusiano usijitoe, usiwekeze na jipe kipaumbele wewe mwenyewe.
 
Nilimuoa mke wangu miaka 30 iliyopita. Alikuja na Watoto wake wawili wa ndoa yake ya awali.
Niliwapenda sana na nikawakubali na kuwafanya kama watoto wangu kwani sikubahatika kuwa Na Mtoto Wangu mwenyewe.

Tulianza Maisha Yetu, Tulikaa kwa amani katika nyumba ya kupanga. Nilikuwa nikifanya kazi wakati huo na nilihakikisha kuwa ninawapeleka watoto Hao shule. baba yao hakuwahi kuja kuwaona wala kutoa Huduma Zozote.

Watoto Hao walikuwa Wapo Vizuri Sana Katika Masomo Yao Shuleni. Walisoma Hadi Chuo Na Kubahatika kuajiriwa Mmoja Ni Daktari Ambaye Alipata Udhamini wa kumaliza masomo yake huko USA.

Amerudi na tayari ameshaajiriwa, kijana wa pili ni rubani ambaye nilitumia akiba yangu yote kumlipia kozi yake huko Afrika Kusini, pia amerudi na ameajiriwa pia.

Furaha yangu ni kwamba watoto wangu wamefanikiwa na wamenunua nyumba kubwa, shida yangu ni kwamba mke wangu na watoto hao wawili wameungana na baba yao na sasa wanaishi pamoja kwa furaha kama familia.

Wamenitelekeza hapa, siwezi hata kulipa kodi tena, nilistaafu zamani, nimekuwa nikiomba omba kwa Watu Wanisaidie Hela kwa watu nipate chakula na Hata sehemu Ya kulala. Sasa hivi hata simu yangu hawapokei tena na wameniblock.

Chai
 
Back
Top Bottom