Ningejua nisingezini kabla ya Ndoa!

Wewe usingezini sawa. Lakini ulie muoa yeye alisha zini sana kabla ya ndoa.
 
Wewe usingezini sawa. Lakini ulie muoa yeye alisha zini sana kabla ya ndoa.
hapo babu kuna kizungumkuti maana ulie muoa hatowasahau kamwe washirika wake wa kuzini na ujiandae na uwezekano wa yeye kukipasha kiporo iwapo mazingira yataruhusu.
 
Natamani kujua kilichokusibu kabla ys yote.nn kimekukuta?
Halafu umeongea bonge la point
ni vigumu kuelezea ila sio ngoma wala nn.nipo salama salmin. mwanaume mwenye busara utulia na mpenzi mmoja.nilikua nao wengi kupita kiasi! Nikajikuta nimeshindwa kujiendeleza kimaendeleo binafsi.mda mwingi nimepoteza kuwawaza wanawake.ambao mda huo ningeutumia kujihimarisha kiuchumi !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…