Ningekua mimi Samia ningemshukuru sana hayati Magufuli.

Mbona huyo JPM mnaye muabudu naye hakujulikana kumzidi Membe na Lowassa? Acheni mapenzi ya Mungu yatimie. Mungu asipotaka uwe Rais wa Tz utahangaika wee kama Lowassa au Seif Sharrif Hamad
Mkuu pumzika tu, wapumbavu wamekutana wanafarijiana.......kinachofurahisha Mama anasonga mbele tu. Oini kabishana na kanisa katoliki?!!!
 
Jiwe ni ovyo , sijui alianzaje kuweka makamu mwanamke ,
 
Mbona huyo JPM mnaye muabudu naye hakujulikana kumzidi Membe na Lowassa? Acheni mapenzi ya Mungu yatimie. Mungu asipotaka uwe Rais wa Tz utahangaika wee kama Lowassa au Seif Sharrif Hamad
Kwa ule wizi wa kura ndio Mungu anataka, acha kumuhusisha Mungu na chaguzi za kihayawani boss.
 
Lakini ndo. Ushangae ,eeti akina. Mwigulu makamba ,Riziwwni. Nape mssukumu wwnamuona kichwa hasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…