Ningekua rais ningeamuru wanawake wanavaa suruali za kukatwa magotini wapigwe viboko hadharani

Ningekua rais ningeamuru wanawake wanavaa suruali za kukatwa magotini wapigwe viboko hadharani

Hii ni kwa wote wanaovaa mavazi kama sketi inayovuka magoti kuja juu, suruali za kukatwa, wapigwe viboko popote walipo maana wanaharibu maadili ujinga tupu
Ungekuwa MFALME JUHA tena amini nakwambia kuna siku ungetembezwa uchi mitaani.

Uraisi una majukumu mengi makubwa, yaani nchi inapitia kipindi kigumu rais aanze kufikiria nguo za watu wake, wakati hajawahi kuwanunulia hata lesso?
 
Back
Top Bottom