Ningekua rais ningeamuru wanawake wanavaa suruali za kukatwa magotini wapigwe viboko hadharani

Ningekua rais ningeamuru wanawake wanavaa suruali za kukatwa magotini wapigwe viboko hadharani

Hii ni kwa wote wanaovaa mavazi kama sketi inayovuka magoti kuja juu, suruali za kukatwa.

Wapigwe viboko popote walipo maana wanaharibu maadili ujinga tupu.
Gombea uraisi basi ili uanze hili zoezi
 
Kama hukai maeneo ya pwani pwani na viitikadi flani vya kinaniii sijui. Yani hili swala limekukera hadi umekuja kufungua uzi😅 unajitambua kweli?
Hii ni kwa wote wanaovaa mavazi kama sketi inayovuka magoti kuja juu, suruali za kukatwa.

Wapigwe viboko popote walipo maana wanaharibu maadili ujinga tupu.
 
Hii ni kwa wote wanaovaa mavazi kama sketi inayovuka magoti kuja juu, suruali za kukatwa.

Wapigwe viboko popote walipo maana wanaharibu maadili ujinga tupu.
Hang on a minute! wanaharibu maadili? maadili gani hayo hasa? Hivi unajua maana ya neno maadili au umelitumia tu?
 
Imeandikwa;

“Mwanamke asivae mavazi ya mfaayo Mwanaume, na Mwanaume asivae mavazi yamfaayo mwanamke

Maana kufanya hivyo ni machukizo machoni pa Mwenyezi Mungu “

Mleta mada uko sahihi pamoja na madongo unayorushiwa wala usijali mwaya.
 
Kizazi kinaharibika acha uzuzu
mleta mada akiona vile na domo zege lake anajikojolea mara saba! muwapeleke tena sasa vaeni chupi za kubana kabisa! mpaka mkome umalaya wenu huo! na ole wako uwabake miaka 60 jela!
 
Babu zenu kabla mkoloni walikuwa wan weka ka ngozi tu mbele
 
Babu zenu kabla mkoloni walikuwa wan weka ka ngozi tu mbele


Sababu hawakuwa na mbadala wa mavazi.

Lakini Kwa sasa machaguo ya mavazi yapo mengi tu hivyo mtu halazimiki kuvaa vazi la jinsia nyingine maana ni machukizo machoni pa Mungu.

Mtu atakumiwa kwa dhamiri yake na ukweli wa mazingira alokuwa nayo.
 
Sababu hawakuwa na mbadala wa mavazi.

Lakini Kwa sasa machaguo ya mavazi yapo mengi tu hivyo mtu halazimiki kuvaa vazi la jinsia nyingine maana ni machukizo machoni pa Mungu.

Mtu atakumiwa kwa dhamiri yake na ukweli wa mazingira alokuwa nayo.
joto bana
 
Imeandikwa;

“Mwanamke asivae mavazi ya mfaayo Mwanaume, na Mwanaume asivae mavazi yamfaayo mwanamke

Maana kufanya hivyo ni machukizo machoni pa Mwenyezi Mungu “

Mleta mada uko sahihi pamoja na madongo unayorushiwa wala usijali mwaya.
Bora wewe unaelewa
 
Hii ni kwa wote wanaovaa mavazi kama sketi inayovuka magoti kuja juu, suruali za kukatwa.

Wapigwe viboko popote walipo maana wanaharibu maadili ujinga tupu.
Basi mim ningepigwa viboko hadi makalio yakachacha
 
Back
Top Bottom