Ningekua rais ningeamuru wanawake wanavaa suruali za kukatwa magotini wapigwe viboko hadharani

Ningekua rais ningeamuru wanawake wanavaa suruali za kukatwa magotini wapigwe viboko hadharani

Hii ni kwa wote wanaovaa mavazi kama sketi inayovuka magoti kuja juu, suruali za kukatwa.

Wapigwe viboko popote walipo maana wanaharibu maadili ujinga tupu.
Je ,zamani hizo walipokuwa wanatembea uchi wameziba k pkee ungeamuru Nini. Maadili gani wanaharibu ama Ni wewe unashindwa kuangalia mbali nao.kwa taarifa yako tu miaka ya hapo juzi ya 1950s nguo hazikuwepo na watu walioishi poa tu bana. Mbona kwa mswati watt titi liko nje nje Tena ndio linachomoza na Wana wanaona kaiwada. Immunize mind yako na sehemu za mwanamke mpaka uone kuwa no longer fantasies or
 
Urais ni taasisi kubwa sana na inamambo mengi ya kufanya kuliko nguo unazozungumzia,
Binafsi ninavaa na nimenunuliwa na mume wangu,
Kikubwa Kila nguo inasehemu yake
 
Je ,zamani hizo walipokuwa wanatembea uchi wameziba k pkee ungeamuru Nini. Maadili gani wanaharibu ama Ni wewe unashindwa kuangalia mbali nao.kwa taarifa yako tu miaka ya hapo juzi ya 1950s nguo hazikuwepo na watu walioishi poa tu bana. Mbona kwa mswati watt titi liko nje nje Tena ndio linachomoza na Wana wanaona kaiwada. Immunize mind yako na sehemu za mwanamke mpaka uone kuwa no longer fantasies or
Imagine. Watu wamekua brainwashed.
 
Hilo kiduku kwenye avatar ni wewe? Tukisema tuchape fimbo wanaume wenye viduku itakuaje....Kuna kitu kinaitwa diversity lazima tukubaliane nacho ......
Kunyoa kuna onesha maungo ya siri? Jielewe
 
kutawaka moto
Screenshot_20221110-191948_Instagram.jpg
 
Hii nchi ukivaa ni nguo ndefu+pana, ukasalimia kila mtu na kujichekesha kinafiki na ukajizuia kutukana hadharani, basi wewe ndo role model wa maadili hata kama ni we ni mvivu, mchonganishi, hujali muda,mlaghai, hujali haki na ni jamvi la wageni.
 
Back
Top Bottom