Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Wewe ndio huna maadili. Zamani wazee wetu hawakuvaa nguo, lakini sababu ya maadili mema hakukuwa na ubakaji. Jifunze kuzizuia tamaa zako za mwiliKizazi kinaharibika acha uzuzu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndio huna maadili. Zamani wazee wetu hawakuvaa nguo, lakini sababu ya maadili mema hakukuwa na ubakaji. Jifunze kuzizuia tamaa zako za mwiliKizazi kinaharibika acha uzuzu
Huna akiliYaani watu tunataka kusafisha macho na vimini we unataka wachapwe? Mwanamke akivaa kimini anapendeza sana. Nasema hivi vaeni mprndeze!
Huna akiliYaani watu tunataka kusafisha macho na vimini we unataka wachapwe? Mwanamke akivaa kimini anapendeza sana. Nasema hivi vaeni mprndeze!
Endelea kudanga ipo siku utajua ujuiSasa unadhani.....???[emoji57][emoji57]
Miguu yetu...mipango utufanyie wewe[emoji2955]
Akili zako fupiTafuta mke uoe, usijebaka mbuzi.
Hizo ni genye tu.
Huna exposureHuna akili
Je ,zamani hizo walipokuwa wanatembea uchi wameziba k pkee ungeamuru Nini. Maadili gani wanaharibu ama Ni wewe unashindwa kuangalia mbali nao.kwa taarifa yako tu miaka ya hapo juzi ya 1950s nguo hazikuwepo na watu walioishi poa tu bana. Mbona kwa mswati watt titi liko nje nje Tena ndio linachomoza na Wana wanaona kaiwada. Immunize mind yako na sehemu za mwanamke mpaka uone kuwa no longer fantasies orHii ni kwa wote wanaovaa mavazi kama sketi inayovuka magoti kuja juu, suruali za kukatwa.
Wapigwe viboko popote walipo maana wanaharibu maadili ujinga tupu.
Hilo kiduku kwenye avatar ni wewe? Tukisema tuchape fimbo wanaume wenye viduku itakuaje....Kuna kitu kinaitwa diversity lazima tukubaliane nacho ......Huna akili
Imagine. Watu wamekua brainwashed.Je ,zamani hizo walipokuwa wanatembea uchi wameziba k pkee ungeamuru Nini. Maadili gani wanaharibu ama Ni wewe unashindwa kuangalia mbali nao.kwa taarifa yako tu miaka ya hapo juzi ya 1950s nguo hazikuwepo na watu walioishi poa tu bana. Mbona kwa mswati watt titi liko nje nje Tena ndio linachomoza na Wana wanaona kaiwada. Immunize mind yako na sehemu za mwanamke mpaka uone kuwa no longer fantasies or
Tafuta mke dogo.Akili zako fupi
Kunyoa kuna onesha maungo ya siri? JieleweHilo kiduku kwenye avatar ni wewe? Tukisema tuchape fimbo wanaume wenye viduku itakuaje....Kuna kitu kinaitwa diversity lazima tukubaliane nacho ......
Paja ni 'maungo' ya Siri? Na kama paja ni ungo la Siri basi kwanini isiwe mikono au shingo?Kunyoa kuna onesha maungo ya siri? Jielewe
Kwa sasa huoni ni kukusudia kuiharibu nchi? Tofautisha nyakati weweImagine. Watu wamekua brainwashed.
Kuna watu wanachukizwa na kidukuKunyoa kuna onesha maungo ya siri? Jielewe