Ningekua rais ningeamuru wanawake wanavaa suruali za kukatwa magotini wapigwe viboko hadharani

Ningekua rais ningeamuru wanawake wanavaa suruali za kukatwa magotini wapigwe viboko hadharani

Yani wejamaa hovyo kabisa, yani unataka macho yalale na njaa kama tumbo?.

Ungekuwa rais wa ajabu ambae badala ya kutekeleza majukumuyako ya msingi, wewe unapambanai na magoti ya wanawake.
 
Nahuo Urais kamwe hutaupata kwa siasa hizo kali. Badala ya kuchapa ni kuelimisha ukiwa na huja shawishi sio kutumia nguvu. Usikute unaiclination za kidini kichwani mwako. Serikali yetu ni secula sio ya kidini.
 
Hii ni kwa wote wanaovaa mavazi kama sketi inayovuka magoti kuja juu, suruali za kukatwa.

Wapigwe viboko popote walipo maana wanaharibu maadili ujinga tupu.

View attachment 2412484
Ushapiga sana nyeto na sasa umegundua macho yanapoteza nuru ndo unazinduka.

Wewe achana nao maana tunayo mengi ya muhimu kuliko nyuchi. Katiba, fursa za kiuchumi, elimu bora, miundombinu, usalama

Hayo ya nyuchi yapige chenga kivyako au nenda kaishi Iran
 
Nahuo Urais kamwe hutaupata kwa siasa hizo kali. Badala ya kuchapa ni kuelimisha ukiwa na huja shawishi sio kutumia nguvu. Usikute unaiclination za kidini kichwani mwako. Serikali yetu ni secula sio ya kidini.
No nimebase kwenye maadili kwenye jamii acha kukurupuka
 
Hii ni kwa wote wanaovaa mavazi kama sketi inayovuka magoti kuja juu, suruali za kukatwa.

Wapigwe viboko popote walipo maana wanaharibu maadili ujinga tupu.
Wizi, rushwa, kutowajibika, uzembe uliojaa Tz kwako hauonekani?
 
Sio wanawake tu, hata hawa mashoga wanaovaa vikaptura na suruali zilizochanwa magotini.
Wanaume wote mnaovaa suruali zimechanwa magotini au mapajani ni mashoga.
 
Yaani watu tunataka kusafisha macho na vimini we unataka wachapwe? Mwanamke akivaa kimini anapendeza sana. Nasema hivi vaeni mprndeze!
 
Hii ni kwa wote wanaovaa mavazi kama sketi inayovuka magoti kuja juu, suruali za kukatwa.

Wapigwe viboko popote walipo maana wanaharibu maadili ujinga tupu.
Obvious huwezi kuwa rais. Endelea kuota ndoto kama hizi.
 
Sio wanawake tu, hata hawa mashoga wanaovaa vikaptura na suruali zilizochanwa magotini.
Wanaume wote mnaovaa suruali zimechanwa magotini au mapajani ni mashoga.
Kawaambie hivyo fundi mwashi
 
Back
Top Bottom