Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara ngap sheria zinavunjwa na hamna cha kufanya?Utawalazimisha kwa sheria gani?
Ushapiga sana nyeto na sasa umegundua macho yanapoteza nuru ndo unazinduka.Hii ni kwa wote wanaovaa mavazi kama sketi inayovuka magoti kuja juu, suruali za kukatwa.
Wapigwe viboko popote walipo maana wanaharibu maadili ujinga tupu.
View attachment 2412484
Umeona eewakaa uchi wamecharuka
No nimebase kwenye maadili kwenye jamii acha kukurupukaNahuo Urais kamwe hutaupata kwa siasa hizo kali. Badala ya kuchapa ni kuelimisha ukiwa na huja shawishi sio kutumia nguvu. Usikute unaiclination za kidini kichwani mwako. Serikali yetu ni secula sio ya kidini.
[emoji3][emoji3][emoji3]Ndio maana hujawa Rais na hautakuwa
😂😂😂Nachangamsha uzi ni utani tu ..sisi watanzania ni ndugu..😂😂😂Eti vijana wa paulo we jamaa una ufala mwingi sana.[emoji28]
#MaendeleoHayanaChama
Wizi, rushwa, kutowajibika, uzembe uliojaa Tz kwako hauonekani?Hii ni kwa wote wanaovaa mavazi kama sketi inayovuka magoti kuja juu, suruali za kukatwa.
Wapigwe viboko popote walipo maana wanaharibu maadili ujinga tupu.
hamia Iran au KabulHii ni kwa wote wanaovaa mavazi kama sketi inayovuka magoti kuja juu, suruali za kukatwa.
Wapigwe viboko popote walipo maana wanaharibu maadili ujinga tupu.
Na wanaovaa kijinga pia wawajibishweWizi, rushwa, kutowajibika, uzembe uliojaa Tz kwako hauonekani?
Sasa unadhani.....???😏😏Nyie ndo wale wale
Obvious huwezi kuwa rais. Endelea kuota ndoto kama hizi.Hii ni kwa wote wanaovaa mavazi kama sketi inayovuka magoti kuja juu, suruali za kukatwa.
Wapigwe viboko popote walipo maana wanaharibu maadili ujinga tupu.
Wanaowaibia usiku na mchana, miaka nenda rudi hamuwawajibishi.Na wanaovaa kijinga pia wawajibishwe
Kawaambie hivyo fundi mwashiSio wanawake tu, hata hawa mashoga wanaovaa vikaptura na suruali zilizochanwa magotini.
Wanaume wote mnaovaa suruali zimechanwa magotini au mapajani ni mashoga.