Ningekuwa Jacqueline Mengi ningefanya haya kuepuka migogoro

Ningekuwa Jacqueline Mengi ningefanya haya kuepuka migogoro

mkuu ushauri wako ni mzuri lakn hio haiondoi ukweli kwamba familia nyingi za kiafrika ni wapumbavu au wajinga wajinga!......


ukiangalia pale watoto wale wengine wakubwa kabisa kuliko hata Jack, then watoto waliobaki ni hawa mapacha!..... kuna ulazima gani wao kugombea mali?


ule wosia mimi nilivousoma sioni kama kuna baya lolote zaidi ya mwenyewe mengi kutaka watoto wake makinda wapate pakubwa (rightly so), hata ningekua mimi ningeweza kufanya vile vile!......


kinachoonekana hapa ni wivu na aina nyingine ya mambo ya kiswahili......... nilichojifunza mimi hapa kwa sisi wanaume ni kuwa na account nyingi za siri ambao hawa ndugu na watoto wakubwa hawazijui........
Bila shaka unatoka familia masikini pole sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Afunguliwe biashara mara ngapi, ile kampuni ya furniture je? Shares za kampuni (x) pale DSE? Yule mwenzako kitambo alikua na plan B. Hizi ni drama tu analeta za kudraw attention na kusaka sympathy. Sasa kwanini asingeenda kuongea na wazazi au ndugu both sidea kuresolve issue yake anaishia kwenda kupost twitter?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu ushauri wako ni mzuri lakn hio haiondoi ukweli kwamba familia nyingi za kiafrika ni wapumbavu au wajinga wajinga!......


ukiangalia pale watoto wale wengine wakubwa kabisa kuliko hata Jack, then watoto waliobaki ni hawa mapacha!..... kuna ulazima gani wao kugombea mali?


ule wosia mimi nilivousoma sioni kama kuna baya lolote zaidi ya mwenyewe mengi kutaka watoto wake makinda wapate pakubwa (rightly so), hata ningekua mimi ningeweza kufanya vile vile!......


kinachoonekana hapa ni wivu na aina nyingine ya mambo ya kiswahili......... nilichojifunza mimi hapa kwa sisi wanaume ni kuwa na account nyingi za siri ambao hawa ndugu na watoto wakubwa hawazijui........
Hahahahha Kiongozi nimewaza vile watoto wako wakubwa walivyo/wanavyo/watavyojisikia ukute watoto wako wakubwa wamepigikaa wee walistahili recognition flani wewe kuwakomoa unawekeza kwa wadogo ambao keshokutwa hujui wanaweza kuwa wala ngada wewe unawaza kwa mihemko ya nguvu za papu...

Uzuri wa jina lako kuishia hewani ni pale mjane wako atakapokamatiwa na njemba nyingine....inakuwa kufa kufaana yote kwa hisani ya papu...

Tujifunze kuweka thamani sawa kwa wote wengine wasipendelewe kisa ni wadogo sana au kwa kigezo cha mama yao kuwa hai kuna leo na kesho huwezi jua nini kitatokea,kama kuna mtu anaangalia wale watoto wadogo kwa jicho pana anatakiwa aangalie kwa macho ya hekima.

Tena kwa roho ya ustaarabu nikuheshimu wale watoto wakubwa wanampango mzima na historia ya mzee iliyokamili na si ya miaka mitano ambayo hata kibiashara mzee alikuwa ameshalegeza kasi

Siku zote Kisichoriziki hakiliki hata kwa dawa......na pale unapofanikiwa kukila tu ni lazima utapike/uharishe
 
Mods nawaombeni uzi wangu muuache una ujumbe wake peke yake

Mabinti wengi huwa tunajisahau kuweka mambo sawa mapema pale tunapojukuta tupo mikononi mwa hawa wazee Matajiri maana wengi mda wowote kukuacha mjane ni kitu cha kawaida.

Ningekuwa Jaqy mapema sana ningemshauri mzee aniwekezee biashara zangu peke yangu au aniwekezee kiasi cha fedha kwa siri katika account yoyote ya benki bila ndugu yoyote kujua.

Pia ningeachana kabisa na kufikiria biashara za mzee za zamani ambazo alianza kutafuta yeye na familia yake ningekaa nazo mbali kabisa maana mbele zingeleta mgogoro mkubwa, nisingemshauri mzee aandike wosia wowote ambao ungeleta ugomvi bali ningemshauri aniwekezee biashara zangu mapema na kiasi cha fedha benki hata asipokuwepo niendelee kusurvive na watoto.

Mzee angeondoka hapo ningekuwa na biashara zangu mwenyewe na fedha za kutosha benki, alafu sasa mali na biashara za mzee kama vituo vya habari na uwekezaji mwingine alioanza na familia yake kuutafuta ningekaa nazo mbali labda wenyewe wakubali kunipa kwa ajili ya watoto maana aibu ingewajia.

Lakini kinachomcost jaqy ni tamaa ya mali ambazo nyingine hakuzitafuta yeye Amezikuta tu na alichokosea zaidi ni kumshinikiza mzee aandae ule wosia ambao umekaa kikatili kitu ambacho kimezidi kuwakera ndugu wa marehemu hadi kufikia kwenda mahakamani, jaqy amedumu na mzee kwa miaka mitano tu lakini anataka arithi hadi vile mzee alivyoanza kutafuta na mkewe pamoja na wanawe miaka 50 iliyopita kitu ambacho hata wewe unayesoma hapa usingekubali.

Jaqy alitakiwa asome alama za nyakati mapema kwa kumshauri mzee amuwekezee biashara zake mapema, Angemshauri mzee amuwekee Fedha za watoto Benki za kutosha kimya kimya, hizi mali nyingine angewaachia ndugu tu waamue wenyewe, fikiria mzee angemuwekezea Billioni kadhaa Benki na biashara ambazo tayari alishamfungulia asingeteseka kamwe kama sasa anavyopambana na Ndugu.

Na usikute biashara alimuwekezea na fedha alimuwekezea lakini jaqy bado akawa na tamaa tu ya kutaka vyote, Tamaa ni mbaya sana jamani,Mabinti msikimbilie Utajiri wa haraka wa mali ambazo mmekuta zishatafutwa, mkipata wenza Wazee waambieni wawawekezee nyie kama nyie muaze na moja hizo mali nyingine ziacheni kwa familia waamue wenyewe wawape au wasiwape tayari mlishawekeza vya kwenu.

Hapo mtaishi kwa amani...

Sent using Jamii Forums mobile app
its too late...
 
Mimi kwa mawazo yangu.. watoto wakubwa wa mengi wamejinyima urithi kwa tabia zao wenyewe..

Mzee mengi alijua hata akiwaachia urithi utapotea tu sababu hawana wa kuwarithisha wao wakifariki..

Mtu mwanaume unamiaka karibu 50 hujawai kuoa na wala huna mtoto.. na baba yako ni tajiri.. je ukiachiwa mali leo.. kesho ukafariki mali zitaenda wapi zaidi ya kupotea..

Mwingine binti miaka 50 naye hana mume wala mtoto hata mmoja.. na yeye akiachiwa mali si zitapotea tu hewani...

Hivi mzee toyota watoto wake wasingezaa na wajukuu wakazaa hii toyota leo ingekuwepo kwa familia ya toyota?? Maana CEO wa sasa hivi wa Toyota bwana akido toyota ni mjukuu wa mzee toyota mwanzilishi...

Angalia familia za wahindi na waarabu hapa Tanzania zinavyotunza mali karne na karne sababu hawaishi maisha ya kihuni... kina dewji wote wanaoa na wanazaa watoto ambao wanaendeleza mali siku zao za kufa zikifika.. na watoto nao wataoa na watazaa watoto hapo mali haipotei kwenye ukoo..


Mzee Mengi ana akili sana aliliona hilo ndio maana akaanzisha familia mpya uzeeni ije iendeleze mali zake... najua Jack kaambiwa asilee watoto kihuni wakawa kama kina regina na kaka yake
 
Mimi kwa mawazo yangu.. watoto wakubwa wa mengi wamejinyima urithi kwa tabia zao wenyewe..

Mzee mengi alijua hata akiwaachia urithi utapotea tu sababu hawana wa kuwarithisha wao wakifariki..

Mtu mwanaume unamiaka karibu 50 hujawai kuoa na wala huna mtoto.. na baba yako ni tajiri.. je ukiachiwa mali leo.. kesho ukafariki mali zitaenda wapi zaidi ya kupotea..

Mwingine binti miaka 50 naye hana mume wala mtoto hata mmoja.. na yeye akiachiwa mali si zitapotea tu hewani...

Hivi mzee toyota watoto wake wasingezaa na wajukuu wakazaa hii toyota leo ingekuwepo kwa familia ya toyota?? Maana CEO wa sasa hivi wa Toyota bwana akido toyota ni mjukuu wa mzee toyota mwanzilishi...

Angalia familia za wahindi na waarabu hapa Tanzania zinavyotunza mali karne na karne sababu hawaishi maisha ya kihuni... kina dewji wote wanaoa na wanazaa watoto ambao wanaendeleza mali siku zao za kufa zikifika.. na watoto nao wataoa na watazaa watoto hapo mali haipotei kwenye ukoo..


Mzee Mengi ana akili sana aliliona hilo ndio maana akaanzisha familia mpya uzeeni ije iendeleze mali zake... najua Jack kaambiwa asilee watoto kihuni wakawa kama kina regina na kaka yake
Kuwa wagumba au Tasa hakukuwa kwenye hesabu zao au ulikuwa ukiwapangia ni lazima kuzaa? maisha waliyoishi na wazazi wao yana mengi sidhani kama mzee mengi alienda kwa miajli ya jack azae ama asizae...
 
Kuwa wagumba au Tasa hakukuwa kwenye hesabu zao au ulikuwa ukiwapangia ni lazima kuzaa? maisha waliyoishi na wazazi wao yana mengi sidhani kama mzee mengi alienda kwa miajli ya jack azae ama asizae...

Niambie tajiri gani kwa level ya mengi watoto wake hawajaoa wala kuolewa.. na wana miaka zaidi ya 40
 
Ndio maana mimi huwa simuamini mtu katika maisha yangu, hapa ninaona kabisa kuwa watoto wa Mzee kukosa Mali na ndugu kula pesa ya marehemu.
Hakuna kuaminiana duniani, Mzee alipaswa kulijua hili. Pia watanzania tunapaswa kugawa mali kabla ya umauti kuepuka migogoro. Tunapenda ufahari kuitwa Matajiri wakati huo huo tunaandaa umauti kwa wazee watoto wetu.
mkuu ushauri wako ni mzuri lakn hio haiondoi ukweli kwamba familia nyingi za kiafrika ni wapumbavu au wajinga wajinga!......


ukiangalia pale watoto wale wengine wakubwa kabisa kuliko hata Jack, then watoto waliobaki ni hawa mapacha!..... kuna ulazima gani wao kugombea mali?


ule wosia mimi nilivousoma sioni kama kuna baya lolote zaidi ya mwenyewe mengi kutaka watoto wake makinda wapate pakubwa (rightly so), hata ningekua mimi ningeweza kufanya vile vile!......


kinachoonekana hapa ni wivu na aina nyingine ya mambo ya kiswahili......... nilichojifunza mimi hapa kwa sisi wanaume ni kuwa na account nyingi za siri ambao hawa ndugu na watoto wakubwa hawazijui........

Sent using Jamii Forums mobile app
 
yaani hakutumia akili kabisa, huwezi ukaishi na mtu kwa miaka mitano, unataka urithi vyote alivyotafuta maiaka 50 iliyopita alafu ana watoto wakubwa sasa lazima pangechimbika

jaqy ilibidi ambane mzee mapema amuwekezee mabilioni yake kimya kimya vingine atulie ndugu aibu ingewashika tu, lakini ule wosie umetibua nyuki kwenye mzinga na umeonyesha sura ya jaqy kuwa ana tamaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Angewekezewa Mabilioni yake Uswizi angekuwa anabunya kimya kimya tu. Huku akifunguliwa biashara za kuzugia na kuwekezewa hisa kwenye makampuni makubwa. Angekuwa anakula Dividend kinyele!
 
Niambie tajiri gani kwa level ya mengi watoto wake hawajaoa wala kuolewa.. na wana miaka zaidi ya 40
Ukiangalia kwa mtazamo wa mazoea ya wingi utakuwa na matokeo ya jumla ambayo si sahihi, wakati hawa wakiwa na miaka thelathini ni wazi mzee alikuwa hai na mama wa watoto alikuwepo kama wote walishindwa kuwaambia watoto wao ukweli hizi lawama hazilali upande mmoja
 
Mods nawaombeni uzi wangu muuache una ujumbe wake peke yake

Mabinti wengi huwa tunajisahau kuweka mambo sawa mapema pale tunapojukuta tupo mikononi mwa hawa wazee Matajiri maana wengi mda wowote kukuacha mjane ni kitu cha kawaida.

Ningekuwa Jaqy mapema sana ningemshauri mzee aniwekezee biashara zangu peke yangu au aniwekezee kiasi cha fedha kwa siri katika account yoyote ya benki bila ndugu yoyote kujua.

Pia ningeachana kabisa na kufikiria biashara za mzee za zamani ambazo alianza kutafuta yeye na familia yake ningekaa nazo mbali kabisa maana mbele zingeleta mgogoro mkubwa, nisingemshauri mzee aandike wosia wowote ambao ungeleta ugomvi bali ningemshauri aniwekezee biashara zangu mapema na kiasi cha fedha benki hata asipokuwepo niendelee kusurvive na watoto.

Mzee angeondoka hapo ningekuwa na biashara zangu mwenyewe na fedha za kutosha benki, alafu sasa mali na biashara za mzee kama vituo vya habari na uwekezaji mwingine alioanza na familia yake kuutafuta ningekaa nazo mbali labda wenyewe wakubali kunipa kwa ajili ya watoto maana aibu ingewajia.

Lakini kinachomcost jaqy ni tamaa ya mali ambazo nyingine hakuzitafuta yeye Amezikuta tu na alichokosea zaidi ni kumshinikiza mzee aandae ule wosia ambao umekaa kikatili kitu ambacho kimezidi kuwakera ndugu wa marehemu hadi kufikia kwenda mahakamani, jaqy amedumu na mzee kwa miaka mitano tu lakini anataka arithi hadi vile mzee alivyoanza kutafuta na mkewe pamoja na wanawe miaka 50 iliyopita kitu ambacho hata wewe unayesoma hapa usingekubali.

Jaqy alitakiwa asome alama za nyakati mapema kwa kumshauri mzee amuwekezee biashara zake mapema, Angemshauri mzee amuwekee Fedha za watoto Benki za kutosha kimya kimya, hizi mali nyingine angewaachia ndugu tu waamue wenyewe, fikiria mzee angemuwekezea Billioni kadhaa Benki na biashara ambazo tayari alishamfungulia asingeteseka kamwe kama sasa anavyopambana na Ndugu.

Na usikute biashara alimuwekezea na fedha alimuwekezea lakini jaqy bado akawa na tamaa tu ya kutaka vyote, Tamaa ni mbaya sana jamani,Mabinti msikimbilie Utajiri wa haraka wa mali ambazo mmekuta zishatafutwa, mkipata wenza Wazee waambieni wawawekezee nyie kama nyie muaze na moja hizo mali nyingine ziacheni kwa familia waamue wenyewe wawape au wasiwape tayari mlishawekeza vya kwenu.

Hapo mtaishi kwa amani...

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ni laana ya mwana aliyezaliwa mke. Eva alifanya vile vile anavyofanya Jack hajatosheka na bado anakwapua.
Eva hakutosheka na matunda mazuri ya Edeni mpaka tunda la mti wa kati akalikwapua.
Jack haj
 
Mods nawaombeni uzi wangu muuache una ujumbe wake peke yake

Mabinti wengi huwa tunajisahau kuweka mambo sawa mapema pale tunapojukuta tupo mikononi mwa hawa wazee Matajiri maana wengi mda wowote kukuacha mjane ni kitu cha kawaida.

Ningekuwa Jaqy mapema sana ningemshauri mzee aniwekezee biashara zangu peke yangu au aniwekezee kiasi cha fedha kwa siri katika account yoyote ya benki bila ndugu yoyote kujua.

Pia ningeachana kabisa na kufikiria biashara za mzee za zamani ambazo alianza kutafuta yeye na familia yake ningekaa nazo mbali kabisa maana mbele zingeleta mgogoro mkubwa, nisingemshauri mzee aandike wosia wowote ambao ungeleta ugomvi bali ningemshauri aniwekezee biashara zangu mapema na kiasi cha fedha benki hata asipokuwepo niendelee kusurvive na watoto.

Mzee angeondoka hapo ningekuwa na biashara zangu mwenyewe na fedha za kutosha benki, alafu sasa mali na biashara za mzee kama vituo vya habari na uwekezaji mwingine alioanza na familia yake kuutafuta ningekaa nazo mbali labda wenyewe wakubali kunipa kwa ajili ya watoto maana aibu ingewajia.

Lakini kinachomcost jaqy ni tamaa ya mali ambazo nyingine hakuzitafuta yeye Amezikuta tu na alichokosea zaidi ni kumshinikiza mzee aandae ule wosia ambao umekaa kikatili kitu ambacho kimezidi kuwakera ndugu wa marehemu hadi kufikia kwenda mahakamani, jaqy amedumu na mzee kwa miaka mitano tu lakini anataka arithi hadi vile mzee alivyoanza kutafuta na mkewe pamoja na wanawe miaka 50 iliyopita kitu ambacho hata wewe unayesoma hapa usingekubali.

Jaqy alitakiwa asome alama za nyakati mapema kwa kumshauri mzee amuwekezee biashara zake mapema, Angemshauri mzee amuwekee Fedha za watoto Benki za kutosha kimya kimya, hizi mali nyingine angewaachia ndugu tu waamue wenyewe, fikiria mzee angemuwekezea Billioni kadhaa Benki na biashara ambazo tayari alishamfungulia asingeteseka kamwe kama sasa anavyopambana na Ndugu.

Na usikute biashara alimuwekezea na fedha alimuwekezea lakini jaqy bado akawa na tamaa tu ya kutaka vyote, Tamaa ni mbaya sana jamani,Mabinti msikimbilie Utajiri wa haraka wa mali ambazo mmekuta zishatafutwa, mkipata wenza Wazee waambieni wawawekezee nyie kama nyie muaze na moja hizo mali nyingine ziacheni kwa familia waamue wenyewe wawape au wasiwape tayari mlishawekeza vya kwenu.

Hapo mtaishi kwa amani...

Sent using Jamii Forums mobile app
Una uhakika gani K-Lyn hakukatiwa fungu la kufanya biashara zake mapema?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alafu raia humu mnakuwa mnafeli ivi ni kweli jacky anastaili iyo urithi anayotaka? Hao wakubwa na wadogo wote ni watoto wa mengi lakini hao wakubwa wanajua janja ya jacky anataka kujificha kwa kivuli cha hao mapacha ili apige pesa ya uyo mzee... Na mtakuwa ni wapumbavu kama utakubali mali aliyotafuta baba yako kwa ajili yenu nyie watoto afu kuna dem anataka apige pesa asepe nazo.... Acheni izo mambo wakuu dem anafeli sana ivi ni nani mjinga anaweza kukubali mali ya mzazi wake ikapotelee kwa binti kama jacky tafsiri yake ni kwamba dem atakuwa analiwa na raia mwengine na ndo pesa itapoishia uko ndo sababu hao watoto wa mengi wanakomaa... Na hao wakubwa Hawajagoma kuwalea wadogo zao ila jiulize kwann jacky anakomaa achukue mali zote!!!! Ni kafisadi kadogo Dogo kanataka kuleta janja janja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tupo hapa anachofanya jack atawapa shida Sana watoto wake kwasababu ata akifa leo hawa watoto watakuwa madui wa ndugu zao wakubwa na familia na jack naamini atafanikiwa labda siyo wamachame

Sent using Jamii Forums mobile app
Nikweli hiyo familia iko very strategical ukiangalia nyuso zao usoni utagundua kitu Mercy alikuwa mwanamke hatari kabisa kwa jinsi alivyoweza kuwa wing woman wamumewe hadi pale walipoamua kutengana

Kuna jinsi watoto wa Mengi wakubwa wamelelewa ndo maan si rahisi kusikia wao wamepublish wanafanyiwa ubaya kama wangetaka kufanya kiki wangezifanya sana tena kwa kutumia makundi ya Ushabiki mitandaoni lakini utaona tu kuna jinsi wamelelewa.....

Na kama utaangalia vizuri picha za kumbukumbu za msibani Regina na Adriel kuna jinsi wanawaangalia wadogo zao tena inanonesha ni jinsi gani wanawaangalia kama watoto(kwa mwenye akili ataelewa) ila tu shida inakuja sehemu fulani....
 
Back
Top Bottom