Ningekuwa Jacqueline Mengi ningefanya haya kuepuka migogoro

Ningekuwa Jacqueline Mengi ningefanya haya kuepuka migogoro

Masikini tuna tabu sana, Mengi mali zake katafuta kwa jasho lake, kaamua kuwaachia watoto wake aliowapenda sana mapacha mali zake. kuna mipumbavu roho zinawauma kama mali ni zao, kama mnawapenda hao watoto wakubwa wa mengi wapeni mali zenu. mali za Mengi kaamua kuwapa mapacha

We jamaa acha ujin*a! Sisi tulikua tukienda kucheza b/ball Don Bosco wakati watoto wa Mengi wanatengeneza kalamu. Alaf leo unataka mali zote achukue mtu ambae hajatoa jasho?....acha ujinga wewe!
 
FRESHMAN, thibitisha uhuni wa regina

Sent using Jamii Forums mobile app

Inasikitisha kuona watu/mtu anavyomuongelea Regina kwa kumuona tu kwenye TV na kumsikia kwenye radio na Mitandao as if wanamjua personally

Watanzania tuna hulka moja uwa hatupendi kupitwa kwenye kuchangia Mijadara, kuliko mtu kukaa kimya atachangia tu hata uongo ilimladi hasionekane yupo nyuma

REGINA mama keep strong , shikilia hapo hapo Hachana na na wajinga Wachache wasiofahamu Familia yenu

For those of us who know you well , we have got ur back
 
Masikini tuna tabu sana, Mengi mali zake katafuta kwa jasho lake, kaamua kuwaachia watoto wake aliowapenda sana mapacha mali zake. kuna mipumbavu roho zinawauma kama mali ni zao, kama mnawapenda hao watoto wakubwa wa mengi wapeni mali zenu. mali za Mengi kaamua kuwapa mapacha
Watoto wakubwa nao Wana haki ya kupata
 
Waberoya,
Ha haa haaa! Wewe Mzungu mwerevu,acha ufara.Unaona waliofungua shauri kupinga uhalali wa wosia hawana akili siyo? Acha kujifanya unajua usichokijua,vinginevyo weka "Authority' -KESI HIYO tuone iliamriwaje. Porojo peleka kwenu "uzunguni "
 
Daah sijui sijasoma kipande chote. Ila Jack kabla ya kwenda pale alitakiwa kutoa taarifa kwa mwenye ardhi na kupewa ruhusa(hasa alipokiri hawana mahusiano mazuri) Alipozikwa mengi ni eneo ambalo ni mali ya mtu binafsi sio eneo la makaburini.
IMG_20200224_165558.jpg
 
Daah sijui sijasoma kipande chote. Ila Jack kabla ya kwenda pale alitakiwa kutoa taarifa kwa mwenye ardhi na kupewa ruhusa(hasa alipokiri hawana mahusiano mazuri) Alipozikwa mengi ni eneo ambalo ni mali ya mtu binafsi sio eneo la makaburini.View attachment 1368235
Huyo demu ni mtusi na anazidi kujionesha namna kabila hili lilivyo na roho mbaya ... Yaani alifanya vurugu getini kwenye Nyumba ya watu eti hakubali kuzuiliwa kuingia.


Huyu demu Hana akili kwa hiyo kwa akili yake atakuwa anaenda kwa style hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mallia, mbona ushauri wako uko kimbea zaidi unazungumzia 'UNGELIKUWA' ebu toa fact za wakati huu tuliopo badala ya usengenyaji...mf ungemwambia wakae mezani badala ya kiendelea na kesi.....


HOT
 
Nasikia hata wanawake wao kuua wanaua kisa mali, ni kweli? Na kwanini ndugu za wanawake wanatumia njama pamoja kummaliza mwanaume wa mmoja wao, kisa mali?

Siyo tu wanachame hivi wewe umefight miaka kadhaa kuangaikia ugali wako wa kesho alafu anakuja mpumbavu mmoja anataka akombe mboga ambayo hajui ilipatikanaje. Utamuacha?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mali nyingine zinakuwa na siri kubwa sana,Sema siku zote cha Mlevi huliwa na Mgema.
 
FRESHMAN,

Kwa akili hizo za Mama yao hao watoto watazikuta hata hizo mali waziendeleze kweli? Tungeona mfano kwa hizo biashara alizofunguliwa kama ana uwezo wa kuziendeleza! Kafail huko huku kwenye 25% ndio atapaweza! Btw alitegemea nini,wenzio wana 75% wewe unataka kuleta janja janja kwenye hiyo 25% ambayo wana haki nayo pia kama watoto halafu utegemee kufanikiwa?
 
Back
Top Bottom