Ningekuwa Jacqueline Mengi ningefanya haya kuepuka migogoro

Ningekuwa Jacqueline Mengi ningefanya haya kuepuka migogoro

We mwafrika acha ujinga, msiseme vitu kama haujui, marehemu anakushangaa

Hao watoto wakubwa aliishagawiwa urithi wao siku nyingi, tena kwa kumfungulia baba yao kesi mahakamani

Mali zikagawanywa kwa mke mkubwa, watoto wawili wakubwa na zingine akabaki nazo mengi

Alizobaki nazo Mengi ndio hizo katoa urithi kwa bi mdogo na mapacha

Msipende kusema/kulaumu usiyoyajua tena kwa kutukana kabisa
Mali ziligawizwa kwa ma Director 50% share holders between Reginald and Mercy Mengi kwa makubaliano yao wenyewe ,watoto hawakua semehemu ya hiyo stake Mkuu
 
Yaani wakubwa wote wa nchi hii walirudi upande wa kina Regina Na Abdiel ,Jack alitaka kuiba kishamba sana kwanza hata angewalamba matako kina Abdiely na kuwaheshimu kina Benjamini bado wangempa maisha kwaajili ya wale watoto...eti anamkaripia mzee kama Benjamini Mengi akaombe na amuombe msamaha mbele ya vyombo vya habari kukanusha upuuzi wake yaani huo nao ulikuwa usenge mkubwa sana aliofanya hana hata heshima ahangaike na Molohaco na maringo aliyokuwa nayo halafu ajue wachaga utamchezea kila mahali lakini sio kwenye pesa yake....ohooooo..anakutocha kyandu..jack kaa pembeni unapigana na bahari ile convoy huiwezi kuishinda ndio maana hata wakubwa wamepiga kimya wanajua unapambania kisichokuhusu wewe ilikuwa wa kupata asilimia 1au 2 ya utajiri wa mzee Lakini unataka ujidai mama Mengi huo usenge hapana kwakweli.
 
Mali ziligawizwa kwa ma Director 50% share holders between Reginald and Mercy Mengi kwa makubaliano yao wenyewe ,watoto hawakua semehemu ya hiyo stake Mkuu
Jack was there for money halafu k tu impe vyote hata kama Mimi ndio kina Abdy nisingekubali asilani...kwani unafikiri mama Mengi angekuwepo wangeleta ugomvi?hiyo ni natural lazima watoto wa mzee wangecomplain..
 
Na kwann umkabe uyo Mzee akuwekezeee biashara .

Kwan una uhakika kati yako nayeye ,yupi atawahi kufa???
... hivi kwa logic ya kawaida tu kati ya binti wa 35- na zee tajiri la 70+ lenye kila aina ya maradhi na msongo wa mawazo ukipima katika mizania ya kawaida kabisa ya probability ni yupi "anategemewa" kutangulia?
 
... hivi kwa logic ya kawaida tu kati ya binti wa 35- na zee tajiri la 70+ lenye kila aina ya maradhi na msongo wa mawazo ukipima katika mizania ya kawaida kabisa ya probability ni yupi "anategemewa" kutangulia?
Suala la Kifo halinaga Probability .

Ndio maana Wazungu watakuambia Muafrika anaishi miaka 65 ..lkn kuna vizee saizi vina 90+


Mimi binafsi suala la kifo,huwa namuachia Mungu mwenyewe ajuaye kila kitu .
 
Mali ziligawizwa kwa ma Director 50% share holders between Reginald and Mercy Mengi kwa makubaliano yao wenyewe ,watoto hawakua semehemu ya hiyo stake Mkuu
... kwa hiyo watoto wakubwa watapiga kwa mama yao na kwa baba watalamba! Yaani ile 50% ya mama wanachukua watoto wakubwa na katika ile 50% wanagawana wote! Ila Mzee Mengi hakuwa makini katika suala la wosia!
 
Mabinti wengi huwa tunajisahau kuweka mambo sawa mapema pale tunapojukuta tupo mikononi mwa hawa wazee Matajiri maana wengi mda wowote kukuacha mjane ni kitu cha kawaida.

Ningekuwa Jaqy mapema sana ningemshauri mzee aniwekezee biashara zangu peke yangu au aniwekezee kiasi cha fedha kwa siri katika account yoyote ya benki bila ndugu yoyote kujua.

Pia, ningeachana kabisa na kufikiria biashara za mzee za zamani ambazo alianza kutafuta yeye na familia yake ningekaa nazo mbali kabisa maana mbele zingeleta mgogoro mkubwa, nisingemshauri mzee aandike wosia wowote ambao ungeleta ugomvi bali ningemshauri aniwekezee biashara zangu mapema na kiasi cha fedha benki hata asipokuwepo niendelee kusurvive na watoto.

Mzee angeondoka hapo ningekuwa na biashara zangu mwenyewe na fedha za kutosha benki, alafu sasa mali na biashara za mzee kama vituo vya habari na uwekezaji mwingine alioanza na familia yake kuutafuta ningekaa nazo mbali labda wenyewe wakubali kunipa kwa ajili ya watoto maana aibu ingewajia.

Lakini kinachomcost jaqy ni tamaa ya mali ambazo nyingine hakuzitafuta yeye Amezikuta tu na alichokosea zaidi ni kumshinikiza mzee aandae ule wosia ambao umekaa kikatili kitu ambacho kimezidi kuwakera ndugu wa marehemu hadi kufikia kwenda mahakamani, jaqy amedumu na mzee kwa miaka mitano tu lakini anataka arithi hadi vile mzee alivyoanza kutafuta na mkewe pamoja na wanawe miaka 50 iliyopita kitu ambacho hata wewe unayesoma hapa usingekubali.

Jaqy alitakiwa asome alama za nyakati mapema kwa kumshauri mzee amuwekezee biashara zake mapema, Angemshauri mzee amuwekee Fedha za watoto Benki za kutosha kimya kimya, hizi mali nyingine angewaachia ndugu tu waamue wenyewe, fikiria mzee angemuwekezea Billioni kadhaa Benki na biashara ambazo tayari alishamfungulia asingeteseka kamwe kama sasa anavyopambana na Ndugu.

Na usikute biashara alimuwekezea na fedha alimuwekezea lakini jaqy bado akawa na tamaa tu ya kutaka vyote, Tamaa ni mbaya sana jamani,Mabinti msikimbilie Utajiri wa haraka wa mali ambazo mmekuta zishatafutwa, mkipata wenza Wazee waambieni wawawekezee nyie kama nyie muaze na moja hizo mali nyingine ziacheni kwa familia waamue wenyewe wawape au wasiwape tayari mlishawekeza vya kwenu.

Hapo mtaishi kwa amani...

Sent using Jamii Forums mobile app
Vizuri
 
Suala la Kifo halinaga Probability .

Ndio maana Wazungu watakuambia Muafrika anaishi miaka 65 ..lkn kuna vizee saizi vina 90+


Mimi binafsi suala la kifo,huwa namuachia Mungu mwenyewe ajuaye kila kitu .
... ukishaweka neno "Mungu" unaenda kiimani; mimi nazungumzia kisayansi! Ukiacha sababu nyingne kama ajali; kiumbe hufa baada ya seli za mwili kuchakaa; pale seli za mwili zinazokufa ni nyingi kuliko zinazozalishwa. Hoja yangu ni binti mwenye 35- na mzee mwenye 70+ ni yupi mwenye probability ya seli nyingi zaidi kufa?
 
Jack alifungua Biashara yake Ya Fenicha..ila nadhani akalenga watu flani...Kosa katika biashara ni kuacha hela ndogo ambazo mnaona hata Bakhresa haachi hela...Ana Vitu anauza hata tsh 100,500 mara ukwaju mara Nazi

Hii inamsaidia kukusanya hela nyingi sana..Jack angefungua Kiwanda kile cha fenicha akatengeneza vitu tofauti ingemsaidia sana...


Hakufanya hilo...sasa Mgogoro huu ni mkubwa sana...Ni bora waumalize Internally kwa maongezi tu..jack aendelee na maisha yake hata sasa anaweza ..watoto wake wale jamaa walee.
 
... ukishaweka neno "Mungu" unaenda kiimani; mimi nazungumzia kisayansi! Ukiacha sababu nyingne kama ajali; kiumbe hufa baada ya seli za mwili kuchakaa; pale seli za mwili zinazokufa ni nyingi kuliko zinazozalishwa. Hoja yangu ni binti mwenye 35- na mzee mwenye 70+ ni yupi mwenye probability ya seli nyingi zaidi kufa?
Mkuuu suala la kifo huwa sina namna yoyote nayoweza kulizungumzia zaidi ya Kiimani

Ndio maana mwisho wasiku tunasema..Mungu kampenda.


Huwa siwezi lizungumzia kwa akili ya kibinadamu tu
 
... kwa hiyo watoto wakubwa watapiga kwa mama yao na kwa baba watalamba! Yaani ile 50% ya mama wanachukua watoto wakubwa na katika ile 50% wanagawana wote! Ila Mzee Mengi hakuwa makini katika suala la wosia!

Unaweza kudhani Mzee Mengi hakuwa makini,lkn ukiangalia kwa jicho la tatu utaelewa Mzee was smart! Kama kweli alitaka kumpa kile Jacky alitaka,Mzee angefuata taratibu zote ambazo amekuwa akiziishi maisha yake yote,kuna Wanasheria kina Michael Ngallo wapo siku zote ktk maswala yote ya kisheria ya IPP na Mzee Binafsi iweje last minute akubali kutumia wanasheria wengine? Hapa tukubali “The Player has been Played” aliyeuza cheni bandia kapewa pesa bandia. Na mchezo ukaishia hapo.
 
... kwa hiyo watoto wakubwa watapiga kwa mama yao na kwa baba watalamba! Yaani ile 50% ya mama wanachukua watoto wakubwa na katika ile 50% wanagawana wote! Ila Mzee Mengi hakuwa makini katika suala la wosia!

Hapa Lekwilile kampiga bao. Nasikia yeye kaweka asilimia kubwa ya mali zake vizuri kwa watoto wote (kawarithisha na kuwakabidhi mapemaa). Na alikuwa na watoto tele. Sasa Mengi wawili tu (sijui wanne), alishindwa kuwaweka clear wanachotakiwa kupata!
 
Hapa Lekwilile kampiga bao. Nasikia yeye kaweka asilimia kubwa ya mali zake vizuri kwa watoto wote (kawarithisha na kuwakabidhi mapemaa). Na alikuwa na watoto tele. Sasa Mengi wawili tu (sijui wanne), alishindwa kuwaweka clear wanachotakiwa kupata!
Woow. Safi sana. Nimeipenda. Akae kwa kutulia kabisa. Ana kazi ya kugombania maghorofa ya watu
 
mkuu ushauri wako ni mzuri lakn hio haiondoi ukweli kwamba familia nyingi za kiafrika ni wapumbavu au wajinga wajinga!......


ukiangalia pale watoto wale wengine wakubwa kabisa kuliko hata Jack, then watoto waliobaki ni hawa mapacha!..... kuna ulazima gani wao kugombea mali?


ule wosia mimi nilivousoma sioni kama kuna baya lolote zaidi ya mwenyewe mengi kutaka watoto wake makinda wapate pakubwa (rightly so), hata ningekua mimi ningeweza kufanya vile vile!......


kinachoonekana hapa ni wivu na aina nyingine ya mambo ya kiswahili......... nilichojifunza mimi hapa kwa sisi wanaume ni kuwa na account nyingi za siri ambao hawa ndugu na watoto wakubwa hawazijui........
Aisee, familia yangu sio ya kipumbavu .
 
Back
Top Bottom