Ningekuwa Jacqueline Mengi ningefanya haya kuepuka migogoro

Ningekuwa Jacqueline Mengi ningefanya haya kuepuka migogoro

Kuwa wagumba au Tasa hakukuwa kwenye hesabu zao au ulikuwa ukiwapangia ni lazima kuzaa? maisha waliyoishi na wazazi wao yana mengi sidhani kama mzee mengi alienda kwa miajli ya jack azae ama asizae...
Thank you. You spoke my mind. After all bado wana haki kwa mali ya mama yao. Eti wamejikosesha. Tueage tunawaza mara mbilimbili bwana. Hivi wanamjua mama mercy kweli? Huyu ndo alikua na mkwanja. Na ndo alomsomesha hata mengi. Na ndo alianzisha kiwanda cha bonite angali amempeleka mumewe kwenda nje kusoma yete alishaanza biashara huku. Halag binti mmoja lwa miaka mitano tuu ajitwalie kiurahisi tu.

Halafu mnaongea kirahisi sana. Hebu jiwekeni kwenye position ya hawa watoto wakubwa. Mama yao kahussle. Yet baba yao pia kagussle. Yet na wao pia wamepambana. Dada mmoja anajua kwenda bahamas na ibiza within 5 yrs anataka ajitwalia tu. Imagine we ndo mama wa hawa wakubwa halag wanao wawe treated hivi kwa jasho lako.

Kuzaa ama kutokuzaa haijalishi period. Iwe ni kwa kupenda ama kutokupenda. Kwani wao si wana watu wao pia wanaowapenda na kuwathamini ambao wanaweza kuwarithisha? Aache ujinga huyu mrembo. Hao watoto wake ndo keki ama?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
.
255757285052_status_807fd2e5a7d042ce9c3a0d0f0f384f0c.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Thank you. You spoke my mind. After all bado wana haki kwa mali ya mama yao. Eti wamejikosesha. Tueage tunawaza mara mbilimbili bwana. Hivi wanamjua mama mercy kweli? Huyu ndo alikua na mkwanja. Na ndo alomsomesha hata mengi. Na ndo alianzisha kiwanda cha bonite angali amempeleka mumewe kwenda nje kusoma yete alishaanza biashara huku. Halag binti mmoja lwa miaka mitano tuu ajitwalie kiurahisi tu.
Halafu mnaongea kirahisi sana. Hebu jiwekeni kwenye position ya hawa watoto wakubwa. Mama yao kahussle. Yet baba yao pia kagussle. Yet na wao pia wamepambana. Dada mmoja anajua kwenda bahamas na ibiza within 5 yrs anataka ajitwalia tu. Imagine we ndo mama wa hawa wakubwa halag wanao wawe treated hivi kwa jasho lako.
Kuzaa ama kutokuzaa haijalishi period. Iwe ni kwa kupenda ama kutokupenda. Kwani wao si wana watu wao pia wanaowapenda na kuwathamini ambao wanaweza kuwarithisha? Aache ujinga huyu mrembo. Hao watoto wake ndo keki ama?

Sent using Jamii Forums mobile app
Thank you
I hear Mercy Mama Mengi katoka ukoo wa Chifu huko she was very rich kwao na ndo source ya utajiri...Mengi alitoka familia hohehahe
 
Thank you
I hear Mercy Mama Mengi katoka ukoo wa Chifu huko she was very rich kwao na ndo source ya utajiri...Mengi alitoka familia hohehahe
Na kumsomesha juu. Mama mercy katokea ukoo wa shangali. Chief shangali.
Yaan yeye ulaya kitambo sana huko zama za mkoloni. Nawashangaaga kweli wanaosema tunamwonea wivu. Its about humanity. Hofu ya Mungu iko wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naunga mkono hoja! Hata jack sijui kwanini haoni aibu jamani!...!..watoto wake wamescrfy mangapi jaman .hawajaolewa wako busy na kampuni za baba anatokea tu mtu huko anapga lock.? Hapana!..na wanawake tujifunze...unaolewa na bilionea anakufungulia fenicha store?? How...huu ni uzwazwa..jack alitakiwa kuwa na kampuni zinazoeleweka hata mbili..eti nifungue store furniture? Never!
 
Naunga mkono hoja! Hata jack sijui kwanini haoni aibu jamani!...!..watoto wake wamescrfy mangapi jaman .hawajaolewa wako busy na kampuni za baba anatokea tu mtu huko anapga lock.? Hapana!..na wanawake tujifunze...unaolewa na bilionea anakufungulia fenicha store?? How...huu ni uzwazwa..jack alitakiwa kuwa na kampuni zinazoeleweka hata mbili..eti nifungue store furniture? Never!
Hahahah sasa angefungua nini ili apige hela za fasta fasta,.?ungefungua biashara ipi kwa mfano ambayo utaingiza hela na wala husoti ...ipi?.

hamna hela rahisi jmn ..hata ufanye biashara gani ama ajira gani...hakuna hela rahisi hata angemuazishia forever living yake mwenyewe..ama vicoba

dada J kuhustle anaona kasheshe..Mengi mwenyewe mpaka kutoboa sio swala la mchezo mchezo amesota kwelii na mkewe

Sister J yuko bize na hzo mali mana akiambiwa azitafute hawezi....by appearance tu furniture zake zina expensive taste mauzo daily ni ngumu

Na vitu vinavyoingiza hela ni hivi vya kudunduliza mauzo kila siku mfano soda ama juice km kina bakhresa..ama maji...

ROME WASNT BUILT IN A DAY...And so is Mengis' wealth
 
Naunga mkono hoja! Hata jack sijui kwanini haoni aibu jamani!...!..watoto wake wamescrfy mangapi jaman .hawajaolewa wako busy na kampuni za baba anatokea tu mtu huko anapga lock.? Hapana!..na wanawake tujifunze...unaolewa na bilionea anakufungulia fenicha store?? How...huu ni uzwazwa..jack alitakiwa kuwa na kampuni zinazoeleweka hata mbili..eti nifungue store furniture? Never!

Anakurupuka sasa hivi wakati keshachelewa! Alipaswa wakati huo awe na Makampuni yenye kama 10bn capital minimum! Akaishia kuuza masofa na masofa yenyewe sijui anamuuzia nani,maana wenye pesa zao sasa hivi wanaagiza moja kwa moja Ulaya/US!
 
Masikini tuna tabu sana, Mengi mali zake katafuta kwa jasho lake, kaamua kuwaachia watoto wake aliowapenda sana mapacha mali zake. kuna mipumbavu roho zinawauma kama mali ni zao, kama mnawapenda hao watoto wakubwa wa mengi wapeni mali zenu. mali za Mengi kaamua kuwapa mapacha
Hovyooooooooh tamaaa za mengi zigharimu familia yoteeee hakuna kitu km hicho. Jack apambane kivyake tyuuuuh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alafu raia humu mnakuwa mnafeli ivi ni kweli jacky anastaili iyo urithi anayotaka? Hao wakubwa na wadogo wote ni watoto wa mengi lakini hao wakubwa wanajua janja ya jacky anataka kujificha kwa kivuli cha hao mapacha ili apige pesa ya uyo mzee... Na mtakuwa ni wapumbavu kama utakubali mali aliyotafuta baba yako kwa ajili yenu nyie watoto afu kuna dem anataka apige pesa asepe nazo.... Acheni izo mambo wakuu dem anafeli sana ivi ni nani mjinga anaweza kukubali mali ya mzazi wake ikapotelee kwa binti kama jacky tafsiri yake ni kwamba dem atakuwa analiwa na raia mwengine na ndo pesa itapoishia uko ndo sababu hao watoto wa mengi wanakomaa... Na hao wakubwa Hawajagoma kuwalea wadogo zao ila jiulize kwann jacky anakomaa achukue mali zote!!!! Ni kafisadi kadogo Dogo kanataka kuleta janja janja

Sent using Jamii Forums mobile app
Umemaliza haswaaaaaaaah huyu jack atutoleeeeeh upuuz wakeee hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mabinti wengi huwa tunajisahau kuweka mambo sawa mapema pale tunapojukuta tupo mikononi mwa hawa wazee Matajiri maana wengi mda wowote kukuacha mjane ni kitu cha kawaida.

Ningekuwa Jaqy mapema sana ningemshauri mzee aniwekezee biashara zangu peke yangu au aniwekezee kiasi cha fedha kwa siri katika account yoyote ya benki bila ndugu yoyote kujua.

Pia, ningeachana kabisa na kufikiria biashara za mzee za zamani ambazo alianza kutafuta yeye na familia yake ningekaa nazo mbali kabisa maana mbele zingeleta mgogoro mkubwa, nisingemshauri mzee aandike wosia wowote ambao ungeleta ugomvi bali ningemshauri aniwekezee biashara zangu mapema na kiasi cha fedha benki hata asipokuwepo niendelee kusurvive na watoto.

Mzee angeondoka hapo ningekuwa na biashara zangu mwenyewe na fedha za kutosha benki, alafu sasa mali na biashara za mzee kama vituo vya habari na uwekezaji mwingine alioanza na familia yake kuutafuta ningekaa nazo mbali labda wenyewe wakubali kunipa kwa ajili ya watoto maana aibu ingewajia.

Lakini kinachomcost jaqy ni tamaa ya mali ambazo nyingine hakuzitafuta yeye Amezikuta tu na alichokosea zaidi ni kumshinikiza mzee aandae ule wosia ambao umekaa kikatili kitu ambacho kimezidi kuwakera ndugu wa marehemu hadi kufikia kwenda mahakamani, jaqy amedumu na mzee kwa miaka mitano tu lakini anataka arithi hadi vile mzee alivyoanza kutafuta na mkewe pamoja na wanawe miaka 50 iliyopita kitu ambacho hata wewe unayesoma hapa usingekubali.

Jaqy alitakiwa asome alama za nyakati mapema kwa kumshauri mzee amuwekezee biashara zake mapema, Angemshauri mzee amuwekee Fedha za watoto Benki za kutosha kimya kimya, hizi mali nyingine angewaachia ndugu tu waamue wenyewe, fikiria mzee angemuwekezea Billioni kadhaa Benki na biashara ambazo tayari alishamfungulia asingeteseka kamwe kama sasa anavyopambana na Ndugu.

Na usikute biashara alimuwekezea na fedha alimuwekezea lakini jaqy bado akawa na tamaa tu ya kutaka vyote, Tamaa ni mbaya sana jamani,Mabinti msikimbilie Utajiri wa haraka wa mali ambazo mmekuta zishatafutwa, mkipata wenza Wazee waambieni wawawekezee nyie kama nyie muaze na moja hizo mali nyingine ziacheni kwa familia waamue wenyewe wawape au wasiwape tayari mlishawekeza vya kwenu.

Hapo mtaishi kwa amani...

Sent using Jamii Forums mobile app
Na hapa ndjo unapojua ya kwamba mwanamke hapendi anagalia maisha so na wewe mwanaume usimpende mwanamke angalia papuchi yake tuu.
 
Back
Top Bottom