Ningekuwa Jacqueline Mengi ningefanya haya kuepuka migogoro

Ningekuwa Jacqueline Mengi ningefanya haya kuepuka migogoro

Angewekezewa Mabilioni yake Uswizi angekuwa anabunya kimya kimya tu. Huku akifunguliwa biashara za kuzugia na kuwekezewa hisa kwenye makampuni makubwa. Angekuwa anakula Dividend kinyele!

Tatizo hiyo akili hakuwa nayo,yeye alikuwa anawaza tu kuponda starehe na wadawa wenzie wa mjini,kaka stuka is too late ndio anagombea hiyo 25% ya Mzee! Wenye 75% watamnyoosha vizuri sana! Bora angekuwa mpole tu
 
Siyo tu wanachame hivi wewe umefight miaka kadhaa kuangaikia ugali wako wa kesho alafu anakuja mpumbavu mmoja anataka akombe mboga ambayo hajui ilipatikanaje. Utamuacha?


Sent from my iPhone using JamiiForums

Hapana na itategemea.
Kwa huyu dada angejishusha tu.
 
Hakuna ambacho hajafanyiwa,lakini kwa tamaa akaona achukue vyote
Kafunguliwa Duka dubai,kafunguliwa kampuni ya fenicha inayouza stuli milioni mbili lakini akaona akombe kila kitu
Na nahisi anahusika kwa kutumia mali za mzee kwa pupa mtu asiyejua uchungu wa kuzitafuta kawaida hawagi na ustaarabu wa namna yakuzitumia
 
mtoto hata awe mzee anahaki ya kurithi Mali za Baba yake.
hivi wale watoto wa bi mkubwa si walishapata haki yao? nilisoma mahali kwamba walimdai urithi mzee wao na akawapa!....


sijaelewa sasa kama walipewa haki nongwa inatoka wapi?!
 
hivi wale watoto wa bi mkubwa si walishapata haki yao? nilisoma mahali kwamba walimdai urithi mzee wao na akawapa!....


sijaelewa sasa kama walipewa haki nongwa inatoka wapi?!
Wale Wana urithi kutoka sehemu mbili kwa baba na mama
 
Alikua ana akili kaanzisha Amorrete Furnitures

Shida ni ileee lifestyle yake haitoshi kuishi vile ukiuza makochi na stuli tu..
Akiamua akae pembeni auze fenicha kama za Keko atatoboa baada ya miaka 20..maisha ya wauza furniture wengi tunayajua..yapo okay ila si kwa viwango vha jacky
Na zile fenicha zake ziko unique na bila shaka ni gharama raia wa kawaida wengi kuweza kumudu..

Kimbembe ni lifestyle ambayo mzee alimpa kuimaintain ndo kasheshe..
nahisi ndo mana anajikuta she wants everything ama vingi ambavyo hazalishi wala hakutengeneza yeye...na hapoo ndo ndugu wanapokua mbogo
 
Mallia,
Mwenzetu amekuwa na tamaa bila kujua atadondokea pua, yaan hakufikiria vingi alivyovikuta kwa ajili ya wale watoto wa mwenzie amekurupuka adi analilia kaburi
 
Najifunza...................................
 
hivi wale watoto wa bi mkubwa si walishapata haki yao? nilisoma mahali kwamba walimdai urithi mzee wao na akawapa!....


sijaelewa sasa kama walipewa haki nongwa inatoka wapi?!

Walipata haki yao lini?
Walidai lini au unazungumzia hadithi za Gahawa?

Swali LA mwisho halijibiwi kwa sababu maswali ya kwanza no habari za zisizo na uhakika
 
Inasemekana mzee alipoanza kuumwa miaka kadhaa kbl hajafa,alikuwa tayari akili zimeanza kuvurugana
Pia usahaulifu lilianza kuwa shida kwake
Ndio maana hata alipotea kwenye mikusanyo ya watu na pia alipoanza kuonekana alionekana hayupo sawa.
Na pia kbl hajafa mdogo ake na watoto walifungua kesi mahakamani kupinga kuhusu usimamizi wa mali na urithi alioandika,kwa kuwa tayari akili ya mzee wao haikuwa sawa.
Kuhusu urithi wale watoto wakubwa walipata urithi kutoka kwa mama yao mzazi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom