Uchaguzi 2020 Ningekuwa Makonda ningesubiri mpaka 2025

Uchaguzi 2020 Ningekuwa Makonda ningesubiri mpaka 2025

2025 kama huyu dikteta bado yuko madarakani huyo ndiye mgombea wake wa Urais hivyo ataendelea KUMBEBA.
Kaka 2025 ni mbali sana. Kumbuka ya JK na membe; hapa TZ katika urais lazima mtu apige hesabu sana la sivyo lazima atadondoka. Kumbuka hata Mwalimu Mwinyi haikuwa chaguo lako, alikuwa na chaguo lake lakini mwisho kilinuka.
 
Naam chochote kinaweza kutokea kati ya sasa na 2025 lakini huo ndiyo mtazamo kwa sasa. Kama Bashite angekuwa haogopwi basi angekuwa benchi kipindi kirefu sana kilichopita.

Kaka 2025 ni mbali sana. Kumbuka ya JK na membe; hapa TZ katika urais lazima mtu apige hesabu sana la sivyo lazima atadondoka. Kumbuka hata Mwalimu Mwinyi haikuwa chaguo lako, alikuwa na chaguo lake lakini mwisho kilinuka.
 
Ndugu Paul Makonda Ukuu wa mkoa ndio ulikuwa unampendeza na kumpa mamlaka ya Nguvu kuliko huo ubunge anaouhitaji,

Japokuwa ukuu wa mkoa ni nafasi inayotegemea mteuaji ameamkaje kwa siku hiyo(haikupi uhakika kwamba utakuwa ofisini siku ya kesho) lakini kwangu Ukuu wa mkoa ilikuwa ndio nafasi pekee ya kutamba kwake ukizingatia aliweza kula vizuri na boss wake hivyo kwa vyovyote vile alikuwa na uhakika wa kuwa tena mkuu wa mkoa kwa wakati mwingine tena...
1. Ubunge - Kigamboni
2. Speaker - BJM
3. 2025 Agombee urais kwa ticket ya CCM
Huyo ndio mpango/mkakati wa babaake anavyomwandaa
Subiri uone...
 
Makonda alivyo kichwani zero, sijui bungeni ataenda kuongea Nini, na hata akiwa waziri wizara yake itakuwa inafanya madudu tu, na uongozi huu wa kisukuma ukiisha sijui Kama atateulika Tena hata kwenye nafasi ya udasi
Makonda kaingia serikalini kabla magufuli kuwa waziri
Ametoka salama bila ya kutumbuliwa,acheni aitumie haki yake
 
Naam chochote kinaweza kutokea kati ya sasa na 2025 lakini huo ndiyo mtazamo kwa sasa. Kama Bashite angekuwa haogopwi basi angekuwa benchi kipindi kirefu sana kilichopita.
Unajua kwanini Salim Ahamed Salimu baba wa Anjellah hakuupata urais, unajua Malecella baba wa Lemutuz hakupata urais, ni kama mpuuzi bashite atausikia katika bomba ndugu yangu. Utaona katika kamati kuu 2025 na NEC itakavyokuwa hot. By the way, huwezi kuwa Rais wa TZ kama hupo above 50. Urais wa TZ ni cohort ndugu yangu
 
Hakuna FORMULA ya kuupata Urais. Bashite anajua siri nyingi sana ikiwemo utekaji, utesaji wa Watanzania na hata shambulizi la Lissu. Hivyo kuhakikisha ziko salama ni lazima bashite abebwe vile atakavyo dikteta ili siri zake za maovu zibaki ni SIRI.

Unajua kwanini Salim Ahamed Salimu baba wa Anjellah hakuupata urais, unajua Malecella baba wa Lemutuz hakupata urais, ni kama mpuuzi bashite atausikia katika bomba ndugu yangu. Utaona katika kamati kuu 2025 na NEC itakavyokuwa hot. By the way, huwezi kuwa Rais wa TZ kama hupo above 50. Urais wa TZ ni cohort ndugu yangu
 
Hakuna FORMULA ya kuupata Urais. Bashite anajua siri nyingi sana ikiwemo utekaji, utesaji wa Watanzania na hata shambulizi la Lissu. Hivyo kuhakikisha ziko salama ni lazima bashite abebwe vile atakavyo dikteta ili siri zake za maovu zibaki ni SIRI.
You wait and see mkuu, big no
 
1. Ubunge - Kigamboni
2. Speaker - BJM
3. 2025 Agombee urais kwa ticket ya CCM
Huyo ndio mpango/mkakati wa babaake anavyomwandaa
Subiri uone...
akigombea Urais kutatokea na mpasuko mkubwa kushinda wa 2015.

Kingine hakuna atakayekubali uraisi uende zone ileile , kabila lile lile consecutively...

Ni rahisi sana Rizone kuwa Raisi kushinda Paulo
 
Hivi ukishaacha dhambi na ukatenda mema utakuwa na uhakika kwenda mbinguni sio.? 'Hii ndio ile 'mountaintop " aliyoisema Martin Luther Jr. Anaijua safari na atafika kwenye promised Land.
 
Ila inaonekana ana baraka za 'baba yake' tofauti na wenzake ambao wanatumbuliwa. ila mwacheni akwende zake.
 
akigombea Urais kutatokea na mpasuko mkubwa kushinda wa 2015.

Kingine hakuna atakayekubali uraisi uende zone ileile , kabila lile lile consecutively...

Ni rahisi sana Rizone kuwa Raisi kushinda Paulo
Kwasasa tunaongea hivi lakini siasa za Tanzania upepo hubadirikaga. Tusubiri tuone mkuu
Mark my word
 
Mnajihangaisha tu.
Hiyo ni mipango iliyokwisha pangwa.

Ni lazima awe Mbunge kwa mkakati maalum uliopitishwa.
Ama iwe kwa Kuchaguliwa au kwa Kuteuliwa au Viti Maalum.

Halafu kinafuata kitu kingine.
 
Back
Top Bottom