Naelewa sana tu.lakini mshenzi zaidi ni roman empire.Leo wanajifanya wana mkuu wa DINI ya kikatoliki kwao wakati ndiyo walisabahisha shida hii ya Leo.why wavunje hekalu la Mungu? Wamelaaniwa wale nakwambia.Huyu jamaaa anashindwa kutofautisha kati ya Roma empire na Ottoman Empire Roma empire ilitawala Jerusalem na baadae kuja pinduliwa na Ottoman empire ambayo ndo walisababisha uwo msikiti wa Al aqsa kujengwa ebu uwe unafanya tafiti sio Mrumi ndo alusababisha Al aqsa kujengwa uwe unapambanua vitu...
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Cha kushangaza Mtume wao alitabiri kuwa Waislam adui mkubwa ni Waturuki na waturuki hawatokuja kuwa Waislam hadi kiama.. cha kushangaza ndio kinyume chake.. na ndio walio geuza mji chimbuko la Ukristo Antokia na kuugeuza kuwa jiji la kiislam.. Kanisa kubwa la Kwanza Lipo Uturuki lililojengwa kwa nguvu za utawala za Mfalme Constantino... ifike time waturuki nao watimuliwa Ankara the Land of ChristiansHuyu jamaaa anashindwa kutofautisha kati ya Roma empire na Ottoman Empire Roma empire ilitawala Jerusalem na baadae kuja pinduliwa na Ottoman empire ambayo ndo walisababisha uwo msikiti wa Al aqsa kujengwa ebu uwe unafanya tafiti sio Mrumi ndo alusababisha Al aqsa kujengwa uwe unapambanua vitu...
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Leta Aya sisi hatusikilizi porojo hakuna muislam atakuelewa kwa maneno matupuCha kushangaza Mtume wao alitabiri kuwa Waislam adui mkubwa ni Waturuki na waturuki hawatokuja kuwa Waislam hadi kiama.. cha kushangaza ndio kinyume chake.. na ndio walio geuza mji chimbuko la Ukristo Antokia na kuugeuza kuwa jiji la kiislam.. Kanisa kubwa la Kwanza Lipo Uturuki lililojengwa kwa nguvu za utawala za Mfalme Constantino... ifike time waturuki nao watimuliwa Ankara the Land of Christians
Yesu Kristo sio Issa bin mariamThe siege of Jerusalem of 70 CE was the decisive event of the First Jewish–Roman War (66–73 CE), in which the Roman army led by future emperor Titus besieged Jerusalem, the center of Jewish rebel resistance in the Roman province of Judaea. Following a five-month siege, the Romans destroyed the city and the Second Jewish Temple.[1][2][
=========
Upumbafu wa huyu mtawala wa Rumi ndiyo chanzo Cha kujengea misikiti wa Al aqsa sehemu takatifu Katika nchi takatifu la Israel.
Saaa ni ugomvi usiyoisha Kati ya mwislam wa Palestina na ukimwengu wa kislam na myahudi.
Ugomvi huu utaishaje sasa? Lazima damu itamwagika sana kama watawala wa ulimwengu hawatatumia akili!
Atakayemaliza vita hii ni Issa bin Mariam ( Yesu Kristo)
Bwana Jason.. Ikiwa ni hivyo, ili Dai la Yesu si Mungu huyu Mtoto alilitoa wapi wakati Baba yake anasadiki kuwa Yesu tu si MUNGU bali hata aliyemzaa amepewa Daraja la Utakatifu.Uislamu ni zao la Ukatoliki, uliomgeuka mzazi wake.
Mauaji yote ambayo Uislamu umefanya katika kwa mgongo wa dini, ni halali kabisa kuyashutumia kwa mama yake mzazi & mlezi mpenda-damu.
Maalim.. Lakini Allah huyo huyo Allah aliwai mpa Majini Sulaiman yamjengee sanamu kwenye Nyumba ya Ibada.huna akili we , uislamu na ukatoliki wapi na hauna ata kiakili japo kidogo cha kuchunguza misingi ya hizi dini mbili!! ibada ya SANAMU na uislamu wapi na wapi wakati ukatoliki ukiingia tu unakutana na SANAMU ya bikira Maria, ukatoliki umeanzishwa roma ulaya uislamu middle East na katika history ya manabii hakuna nabii mzungu wala alietoka ulaya vipi wazungu wawe na dini ya kwao ikiwa mwenyezimungu hajawahi kuwapelekewa nabii na Kama yupo wewe unamjua mtaje ,wakatoliki wanaamini yesu mwana wa mungu uislamu mungu hana mwana na ni dhambi kubwa kusema hivyo yesu ni nabii Kama mussa .wakatoliki wanaamini Maria mama wa mungu kwenye uislamu hiyo ni dhambi ya daraja la juu kabisa kusema mwenyezimungu ana mama , mwenyezimungu hakuzaa wala hakuzalia na hakuna aliewahi kumuona kwa waislam wanaamini hivyo. Sasa Kama vitu huvijui ni bora kukaa kimya kuliko kupotosha watu kwa kutumia akili yako ndogo isioweza hata kufikir eti uislamu ni zao la katoliki unatumia ushaidi upi wa kuaminisha watu hayo unayoyasema ikiwa uislamu na ukatoliki haufanani kabisa ni mbingu na ardhi.
Uenda anailamu Roman kwa kushindwa kwake na Othman.Huyu jamaaa anashindwa kutofautisha kati ya Roma empire na Ottoman Empire Roma empire ilitawala Jerusalem na baadae kuja pinduliwa na Ottoman empire ambayo ndo walisababisha uwo msikiti wa Al aqsa kujengwa ebu uwe unafanya tafiti sio Mrumi ndo alusababisha Al aqsa kujengwa uwe unapambanua vitu...
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
na nyiny mlivyiporwa ardhi zenu ilikues kutimiza maandiko gan ?Mashambulizi na mapigo juu ya Yerusalemu na Uyahudi AD 67-73 yalikuwa tu ni mapatilizo (soma hapa chini Luka 21:21-22, angalia maneno kama "hasira juu ya taifa hili") ya kutimiza maneno ya Kristo baada wayahudi na waisraeli wengine kumkataa masihi mfalme wa amani. Warumi walitumiwa tu na Bwana kama "Instruments of Judgement" kama alivyotumiwa Nebukadneza na baadae Hitler (1939-45, vifo zaidi ya milioni 6 vya wayahudi) na huko mbeleni atakavyotumiwa Mpinga Kristo (Ufunuo 11:1-3) kuingamiza Yerusalemu hii hii unayoiona inajiinua mpaka mawinguni. History is cyclical.
Luka 21:
20 Lakini, hapo mtakapoona mji wa Yerusalemu umezungukwa na majeshi, ndipo jueni ya kwamba uharibifu wake umekaribia.
21 Ndipo walio katika Uyahudi na wakimbilie milimani, na walio katikati yake wakimbilie nje, na walio katika mashamba wasiuingie.
22 Kwa kuwa siku hizo ndizo za mapatilizo, ili yatimizwe yote yaliyoandikwa.
23 Ole wao wenye mimba na wanaonyonyesha katika siku hizo! Kwa kuwa kutakuwa na shida nyingi katika nchi, na hasira juu ya taifa hili.
uislam ni harakati za dini zilizotokana na upingaj ukatolik , ndio maan wao hawakutala taswira ya nabii au mitume hata mmoja iwepo either kwenye muvi au picha au simulizi kama huna akili huez elewahuna akili we , uislamu na ukatoliki wapi na hauna ata kiakili japo kidogo cha kuchunguza misingi ya hizi dini mbili!! ibada ya SANAMU na uislamu wapi na wapi wakati ukatoliki ukiingia tu unakutana na SANAMU ya bikira Maria, ukatoliki umeanzishwa roma ulaya uislamu middle East na katika history ya manabii hakuna nabii mzungu wala alietoka ulaya vipi wazungu wawe na dini ya kwao ikiwa mwenyezimungu hajawahi kuwapelekewa nabii na Kama yupo wewe unamjua mtaje ,wakatoliki wanaamini yesu mwana wa mungu uislamu mungu hana mwana na ni dhambi kubwa kusema hivyo yesu ni nabii Kama mussa .wakatoliki wanaamini Maria mama wa mungu kwenye uislamu hiyo ni dhambi ya daraja la juu kabisa kusema mwenyezimungu ana mama , mwenyezimungu hakuzaa wala hakuzalia na hakuna aliewahi kumuona kwa waislam wanaamini hivyo. Sasa Kama vitu huvijui ni bora kukaa kimya kuliko kupotosha watu kwa kutumia akili yako ndogo isioweza hata kufikir eti uislamu ni zao la katoliki unatumia ushaidi upi wa kuaminisha watu hayo unayoyasema ikiwa uislamu na ukatoliki haufanani kabisa ni mbingu na ardhi.
kama warumi wasingeanzisha jitihada za kufuta historia ya wayaudi hapo jerusalem bas haya ya ottaman yasingepata nguvuHuyu jamaaa anashindwa kutofautisha kati ya Roma empire na Ottoman Empire Roma empire ilitawala Jerusalem na baadae kuja pinduliwa na Ottoman empire ambayo ndo walisababisha uwo msikiti wa Al aqsa kujengwa ebu uwe unafanya tafiti sio Mrumi ndo alusababisha Al aqsa kujengwa uwe unapambanua vitu...
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
mbona kama unaleta ubishi wa vijiweniLeta Aya sisi hatusikilizi porojo hakuna muislam atakuelewa kwa maneno matupu
acha ubishiYesu Kristo sio Issa bin mariam
Unasifia kuua wengine?!Uislamu ni zao la Ukatoliki, uliomgeuka mzazi wake.
Mauaji yote ambayo Uislamu umefanya katika historia kwa mgongo wa dini, ni halali kabisa kuyashutumia kwa mama yake mzazi & mlezi mpenda-damu.
Wewe umejibu kiimani changanya na hisia zako binafsi.Hapo umejibu kisiasa.
Taifa la izrael lilianzishwa na Mungu mwenyewe.
Hii haitakaa ikabadirika hata siku moja.it is in Holy books.
Maybe to settle the issue Msikiti wa al aqsa uvunjwe then hakalu la Daudi lijengwe upya .maana msikiti ule umejengwa juu yasinsi aliyoujenga suleiman.then kwa Makubariano msikiti ujengwe eneo lingine hata kama ni karibu na hekalu la Suleiman.
Ukweli mtupu huo hamna ubishi hapo
Roman empire ndio waasisi wa Freemason.The siege of Jerusalem of 70 CE was the decisive event of the First Jewish–Roman War (66–73 CE), in which the Roman army led by future emperor Titus besieged Jerusalem, the center of Jewish rebel resistance in the Roman province of Judaea. Following a five-month siege, the Romans destroyed the city and the Second Jewish Temple.[1][2][
=========
Upumbafu wa huyu mtawala wa Rumi ndiyo chanzo Cha kujengea misikiti wa Al aqsa sehemu takatifu Katika nchi takatifu la Israel.
Saaa ni ugomvi usiyoisha Kati ya mwislam wa Palestina na ukimwengu wa kislam na myahudi.
Ugomvi huu utaishaje sasa? Lazima damu itamwagika sana kama watawala wa ulimwengu hawatatumia akili!
Atakayemaliza vita hii ni Issa bin Mariam ( Yesu Kristo)
Msilazimishe Issa Bin Mariam wa kwenye Quran kuwa ndiye Yesu Kristu. Nakataa katakata.The siege of Jerusalem of 70 CE was the decisive event of the First Jewish–Roman War (66–73 CE), in which the Roman army led by future emperor Titus besieged Jerusalem, the center of Jewish rebel resistance in the Roman province of Judaea. Following a five-month siege, the Romans destroyed the city and the Second Jewish Temple.[1][2][
=========
Upumbafu wa huyu mtawala wa Rumi ndiyo chanzo Cha kujengea misikiti wa Al aqsa sehemu takatifu Katika nchi takatifu la Israel.
Saaa ni ugomvi usiyoisha Kati ya mwislam wa Palestina na ukimwengu wa kislam na myahudi.
Ugomvi huu utaishaje sasa? Lazima damu itamwagika sana kama watawala wa ulimwengu hawatatumia akili!
Atakayemaliza vita hii ni Issa bin Mariam ( Yesu Kristo)
Kuna vingi usivyo vijua kuhusu uislam na ukatoriki utaushia kutukana tu!.. Jibu ni hilo Hilo kuwa ukatoriki ndiyo uliozaa uislamhuna akili we , uislamu na ukatoliki wapi na hauna ata kiakili japo kidogo cha kuchunguza misingi ya hizi dini mbili!! ibada ya SANAMU na uislamu wapi na wapi wakati ukatoliki ukiingia tu unakutana na SANAMU ya bikira Maria, ukatoliki umeanzishwa roma ulaya uislamu middle East na katika history ya manabii hakuna nabii mzungu wala alietoka ulaya vipi wazungu wawe na dini ya kwao ikiwa mwenyezimungu hajawahi kuwapelekewa nabii na Kama yupo wewe unamjua mtaje ,wakatoliki wanaamini yesu mwana wa mungu uislamu mungu hana mwana na ni dhambi kubwa kusema hivyo yesu ni nabii Kama mussa .wakatoliki wanaamini Maria mama wa mungu kwenye uislamu hiyo ni dhambi ya daraja la juu kabisa kusema mwenyezimungu ana mama , mwenyezimungu hakuzaa wala hakuzalia na hakuna aliewahi kumuona kwa waislam wanaamini hivyo. Sasa Kama vitu huvijui ni bora kukaa kimya kuliko kupotosha watu kwa kutumia akili yako ndogo isioweza hata kufikir eti uislamu ni zao la katoliki unatumia ushaidi upi wa kuaminisha watu hayo unayoyasema ikiwa uislamu na ukatoliki haufanani kabisa ni mbingu na ardhi.