GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #21
Inaonekana Rais huwa anateua watu wasiokubalika. Maana wote wamepigwa chini.
Wazo zuri but unfortunately kuna baadhi ya wanasiasa walitumia/hutumia mbinu chafu kupata Kura nyingi ktk mchakato WA maoni...na Kwa mantiki ya maoni ni kwamba chama/uongozi wa juu WA chama wanawapa nafasi local members watoe maoni Yao kuhusu Nani wangependa awe mgombea wa chama/ hizo ni opinion polls za kama kwenye TV..haina maana anayeongoza polls Kwa walioulizwa ndio ushinda uchaguzi halisi... sometimes local members wanakua hawana taarifa za kina kuhusu mgombea but chama Kwa kupitia Viongozi wa juu Wana mechanism ya kuchambua pumba na mchele na kuna wakati pumba moja au mbili zinaweza zikaslip through.Kama GENTAMYCINE ningekuwa ni Mwenyekiti wa CCM Taifa baada ya huu ' Mchakato ' mzima wa Kura za Maoni ambazo zimefanyika kwa Uwazi zaidi huku zikionyesha kabisa kuwa wana CCM ' wameamua ' bila ' Ngendembwe / Hila ' zozote katika Kikao cha Maamuzi cha mwisho cha ' Watia Nia ' kwa nafasi ya Ubunge basi ningeamua mara moja kuwa ' Walioongoza ' ndiyo Wagombee.
Na kama tena GENTAMYCINE ndiyo ningekuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa baada ya ' Kuwaonya ' wale ambao niliwapa ' Dhamana ' za Kuwa ama Wakuu wa Mikoa au Wilaya kuwa wasiende ' Kutia Nia ' kwakuwa bado nilikuwa nawahitaji katika Serikali yangu ' Tukufu ' na wakaenda kisha ' Wakatokota ' na ' Kuanguka ' vibaya nikiwa Rais tena sitowakumbuka hata kwa Nafasi za chini kabisa Kiutawala.
Kama Wewe unajijua ' Ulitia Nia ' hasa ya Ubunge na Kutokota na Uzi huu ' utakuchukiza ' nashauri hapo ulipo tafuta Sumu ya Panya Unywe Ufe!!!
Wazo zuri but unfortunately kuna baadhi ya wanasiasa walitumia/hutumia mbinu chafu kupata Kura nyingi ktk mchakato WA maoni...na Kwa mantiki ya maoni ni kwamba chama/uongozi wa juu WA chama wanawapa nafasi local members watoe maoni Yao kuhusu Nani wangependa awe mgombea wa chama/ hizo ni opinion polls za kama kwenye TV..haina maana anayeongoza polls Kwa walioulizwa ndio ushinda uchaguzi halisi... sometimes local members wanakua hawana taarifa za kina kuhusu mgombea but chama Kwa kupitia Viongozi wa juu Wana mechanism ya kuchambua pumba na mchele na kuna wakati pumba moja au mbili zinaweza zikaslip through.
Kwa nini mnampaisha huyu mtu wakati umaarufu unosemwa kuhusu yeye mbona hana?Na mpaka muda huu natiririka na naserereka hapa Jamvini JamiiForums wamenitaarifu kuwa Mbuzi walishaliwa Jana na kwa Kuonyesha kuwa hiki Kikosi changu ninachokiaminia cha ' Kamati ya Roho Mbaya ' ndani ya CCM kinamaanisha kimeniambia tena kuwa japo Juzi na Jaza ' Bwege Nazi ' aliyeangukia ' Pua ' huko Baharini Jijini Dar es Salaama anatumia Watu na ' Ushawishi ' wake kwa ' Babaake ' ila hakuna atakachokipata.
Wazo zuri but unfortunately kuna baadhi ya wanasiasa walitumia/hutumia mbinu chafu kupata Kura nyingi ktk mchakato WA maoni...na Kwa mantiki ya maoni ni kwamba chama/uongozi wa juu WA chama wanawapa nafasi local members watoe maoni Yao kuhusu Nani wangependa awe mgombea wa chama/ hizo ni opinion polls za kama kwenye TV..haina maana anayeongoza polls Kwa walioulizwa ndio ushinda uchaguzi halisi... sometimes local members wanakua hawana taarifa za kina kuhusu mgombea but chama Kwa kupitia Viongozi wa juu Wana mechanism ya kuchambua pumba na mchele na kuna wakati pumba moja au mbili zinaweza zikaslip through.
Nadhani umenifikiria tofauti..kigamboni kwangu Mimi imekua kama Decoy ya uchaguzi nchi nzima, watu wengi Kwa SASA hawataki kujua kinachoendelea nchi nzima as long as MAkonda failed..kuna madudu kibao yamefanyika all over..FYI kutokana na situation ya kisiasa ya Dar Kwa the past 5yrs,,Mimi binafsi nimeridhika na matokeo ya Kigamboni ingawa sikuwa pale lakini nahisi kilichotolea ni very natural... nadhani umenielewa.Mkuu mbona umezunguka sana hivi? Si ungesema tu wazi kuwa Wewe ni ' Team Kuanguka Kigamboni ' na umechukizwa na hujakubaliana nalo?
Takrima haikubaki nyuma...wacha Jpm tuangalie ataamkaje....!?[emoji23]Kama GENTAMYCINE ningekuwa ni Mwenyekiti wa CCM Taifa baada ya huu ' Mchakato ' mzima wa Kura za Maoni ambazo zimefanyika kwa Uwazi zaidi huku zikionyesha kabisa kuwa wana CCM ' wameamua ' bila ' Ngendembwe / Hila ' zozote katika Kikao cha Maamuzi cha mwisho cha ' Watia Nia ' kwa nafasi ya Ubunge basi ningeamua mara moja kuwa ' Walioongoza ' ndiyo Wagombee.
Na kama tena GENTAMYCINE ndiyo ningekuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa baada ya ' Kuwaonya ' wale ambao niliwapa ' Dhamana ' za Kuwa ama Wakuu wa Mikoa au Wilaya kuwa wasiende ' Kutia Nia ' kwakuwa bado nilikuwa nawahitaji katika Serikali yangu ' Tukufu ' na wakaenda kisha ' Wakatokota ' na ' Kuanguka ' vibaya nikiwa Rais tena sitowakumbuka hata kwa Nafasi za chini kabisa Kiutawala.
Kama Wewe unajijua ' Ulitia Nia ' hasa ya Ubunge na Kutokota na Uzi huu ' utakuchukiza ' nashauri hapo ulipo tafuta Sumu ya Panya Unywe Ufe!!!
Hahaha.. Thanks Gerard..Mimi napenda Sana Siasa but Kwa style yetu hapa siwezi,...Siasa zetu zimejaa watu ambao usipokubaliana nao basi kuwa tayari kubezwa na kuporomoshewa kila Aina ya kejeli..Bongo inabidi ujue kuongea Kwa kupaza sauti,kukejeli au kutukuza ata Kwa Jambo usilo amini..SAD.Nilikuwa nikiku chukulia wewe ni shabiki tuu, kumbe nilijidanganya. Una uwezo wa kuwa na well thought out opinions. Keep it up brother.
Naunga mkono huu uzi 100%Kama GENTAMYCINE ningekuwa ni Mwenyekiti wa CCM Taifa baada ya huu ' Mchakato ' mzima wa Kura za Maoni ambazo zimefanyika kwa Uwazi zaidi huku zikionyesha kabisa kuwa wana CCM ' wameamua ' bila ' Ngendembwe / Hila ' zozote katika Kikao cha Maamuzi cha mwisho cha ' Watia Nia ' kwa nafasi ya Ubunge basi ningeamua mara moja kuwa ' Walioongoza ' ndiyo Wagombee.
Na kama tena GENTAMYCINE ndiyo ningekuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa baada ya ' Kuwaonya ' wale ambao niliwapa ' Dhamana ' za Kuwa ama Wakuu wa Mikoa au Wilaya kuwa wasiende ' Kutia Nia ' kwakuwa bado nilikuwa nawahitaji katika Serikali yangu ' Tukufu ' na wakaenda kisha ' Wakatokota ' na ' Kuanguka ' vibaya nikiwa Rais tena sitowakumbuka hata kwa Nafasi za chini kabisa Kiutawala.
Kama Wewe unajijua ' Ulitia Nia ' hasa ya Ubunge na Kutokota na Uzi huu ' utakuchukiza ' nashauri hapo ulipo tafuta Sumu ya Panya Unywe Ufe!!!
Wewe huwa unajazba,alafu ukishajaa sumu huwa unahama kwenye reli unatoka kwenye mada.baki sasa na upopoma wako.Siku zingine unapokuwa unaongea pia uwe na Kumbukumbu la sivyo nitaanza Kukudharau nawe sawa? Kwa taarifa yako tu ni kwamba wapo wana CCM wengine tena si tu ni Majangili kama huyo sijui Nchambis wako, ila kuna wengine ni wamesababisha hadi Ndugu za Watu leo hawapo tena duniani kwa Ukatili na Roho Mbaya zao tu na wapo ambao huko walikokuwa nyuma ' Kidhamana ' wameiibia sana hii nchi. au leo huwajui?
Hahaha
Hahaha.. Thanks Gerard..Mimi napenda Sana Siasa but Kwa style yetu hapa siwezi,...Siasa zetu zimejaa watu ambao usipokubaliana nao basi kuwa tayari kubezwa na kuporomoshewa kila Aina ya kejeli..Bongo inabidi ujue kuongea Kwa kupaza sauti,kukejeli au kutukuza ata Kwa Jambo usilo amini..SAD.
Sasa Kaka,kwa hiyo Seleman Nchambi ameacha ujangili? Na kwa Sasa ana sifa zote za kuwa kiongozi?Haitoniingia ' Akilini ' hasa yaani wajumbe wenyewe wa maeneo husika ' Wamemtaka ' fulani halafu watu tu wachache wa Dodoma wayabadilishe.
Hapana kuna watu wanasifa mbaya lkn wamepita.ni muhimu wachujwe.waliopita kuna majangili,mafisadi,majambazi n,k.
Mrisho Gambo aliyetumbuliwa juzi juzi tu!!Mkuu na Wewe hebu usinichoshe na usinipotezee muda tafadhali. Niwekee hapa hao unaosema wamepita lakini wana ' Makandokando ' yao nijue.
Kuna special case mzee kama yule Jangili aliyekutwa na Bunduki 15 hawezi enda pahala aisee hiyo ni moja tu kati ya kesi za wazi hatujajua kwa undani mambo yakoje.Kama GENTAMYCINE ningekuwa ni Mwenyekiti wa CCM Taifa baada ya huu ' Mchakato ' mzima wa Kura za Maoni ambazo zimefanyika kwa Uwazi zaidi huku zikionyesha kabisa kuwa wana CCM ' wameamua ' bila ' Ngendembwe / Hila ' zozote katika Kikao cha Maamuzi cha mwisho cha ' Watia Nia ' kwa nafasi ya Ubunge basi ningeamua mara moja kuwa ' Walioongoza ' ndiyo Wagombee.
Na kama tena GENTAMYCINE ndiyo ningekuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa baada ya ' Kuwaonya ' wale ambao niliwapa ' Dhamana ' za Kuwa ama Wakuu wa Mikoa au Wilaya kuwa wasiende ' Kutia Nia ' kwakuwa bado nilikuwa nawahitaji katika Serikali yangu ' Tukufu ' na wakaenda kisha ' Wakatokota ' na ' Kuanguka ' vibaya nikiwa Rais tena sitowakumbuka hata kwa Nafasi za chini kabisa Kiutawala.
Kama Wewe unajijua ' Ulitia Nia ' hasa ya Ubunge na Kutokota na Uzi huu ' utakuchukiza ' nashauri hapo ulipo tafuta Sumu ya Panya Unywe Ufe!!!
Mkuu vipi kuhusu dogo wa kawe aliyeshinda kwa kishindo ilhali hajulikani ktk ulingo wa siasa na kuna tetesi kuwa ni mpwa wa Jiwe?????
Wewe huwa unajazba,alafu ukishajaa sumu huwa unahama kwenye reli unatoka kwenye mada.baki sasa na upopoma wako.
Viongozi wa kitaifa wanatakiwa kutunza kauli zao 'public figures have to keep their words'Kama GENTAMYCINE ningekuwa ni Mwenyekiti wa CCM Taifa baada ya huu ' Mchakato ' mzima wa Kura za Maoni ambazo zimefanyika kwa Uwazi zaidi huku zikionyesha kabisa kuwa wana CCM ' wameamua ' bila ' Ngendembwe / Hila ' zozote katika Kikao cha Maamuzi cha mwisho cha ' Watia Nia ' kwa nafasi ya Ubunge basi ningeamua mara moja kuwa ' Walioongoza ' ndiyo Wagombee.
Na kama tena GENTAMYCINE ndiyo ningekuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa baada ya ' Kuwaonya ' wale ambao niliwapa ' Dhamana ' za Kuwa ama Wakuu wa Mikoa au Wilaya kuwa wasiende ' Kutia Nia ' kwakuwa bado nilikuwa nawahitaji katika Serikali yangu ' Tukufu ' na wakaenda kisha ' Wakatokota ' na ' Kuanguka ' vibaya nikiwa Rais tena sitowakumbuka hata kwa Nafasi za chini kabisa Kiutawala.
Kama Wewe unajijua ' Ulitia Nia ' hasa ya Ubunge na Kutokota na Uzi huu ' utakuchukiza ' nashauri hapo ulipo tafuta Sumu ya Panya Unywe Ufe!!!