GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #21
Inaonekana Rais huwa anateua watu wasiokubalika. Maana wote wamepigwa chini.
Na mpaka leo huwa najiuliza mno je, hawa Wateule wake ambao wengi huwa ni ' very incompetent ' huwa anachagua Yeye au Idara inamchagulia?