Mnada wa Mhunze
Senior Member
- Mar 1, 2023
- 168
- 819
Ningekuwa Samia hilo la BANDARI kuhojiwa kwa zaidi ya wiki 2 na Watanzania isivyotarajiwa hakika ningeshtuka na kuwa upande wao kwa kuwasikiliza, kujibu hoja zao mimi mwenyewe na ningetafuta namna bora ya kuliweka ili kuondoa SINTOFAHAMU kubwa nchini!
Ukweli ni kwamba Watanzania wamebadirika si Watanzania wale wa ndiyooo kila kitu.
Huwezi amini wapo watu tena wasiotarajiwa kabisa kwalo wamethubutu kuhoji!
Samia na hasa CCM ishtuke kwa sababu zama za ndiyoooo rasmi kupitia hilo la BANDARI ni wazi zinaelekea ukingoni.
Ukweli ni kwamba Watanzania wamebadirika si Watanzania wale wa ndiyooo kila kitu.
Huwezi amini wapo watu tena wasiotarajiwa kabisa kwalo wamethubutu kuhoji!
Samia na hasa CCM ishtuke kwa sababu zama za ndiyoooo rasmi kupitia hilo la BANDARI ni wazi zinaelekea ukingoni.