Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
Hamna kitu hapo kwa wasanii gani?Mim natabiri shoo ya fiesta itakuwa kubwa tu zaidi tulivyozoea nadhan muda utaongea tuache kelele,,,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna kitu hapo kwa wasanii gani?Mim natabiri shoo ya fiesta itakuwa kubwa tu zaidi tulivyozoea nadhan muda utaongea tuache kelele,,,
Kalale umelewawasafi festival haina tofauti na in love and money ya Jux na Vanessa
Watanzania hatupendani cjui kwaniniApo chacha ah ah ah ah ah ah
Watu wa rika zote wanahudhuria FiestaNdio maana yake, wahudhuliaji wakubwa wa matasha ni teens.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huenda jamaa haelewi hata after school bush ni nini[emoji23][emoji23]
Clouds wanajifanya wapo juu na wanajua kila kitu ndicho kinachowaponzaWatanzania hatupendani cjui kwanini
Kila cku kuna wanaoomba anguko la Clouds litokee
Then what jamaniii??
Kama tunavyowapenda wasafi nao wakamate laini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo lake anataman Clouds waanguke,wasiwepo kabisaaa
Alafu wamsifu Diamond ndo kiboko yao
#WatanzaniaTupendane
Namshauri atazame upepo ulivyo mbaya maana tumeona show ya After Skul Bash kwa mara ya kwanza imeudhuliwa na watu wachache sana
Ataificha kwenye mask as usuàllySoudy brown sijui ataificha wapi sura yake, subiri
Wasafi wanawaharibia clouds kwa kasi ya 4g, bifu Wanalotengenez clouds dhidi ya wasafi litawaharibia kila kona wait and see
Clouds wanajifanya wapo juu na wanajua kila kitu ndicho kinachowaponza
Kama tunavyowapenda wasafi nao wakamate laini
Kwa nini unahisi hawafananishi wasafi na media zingine?Wasafi wanaweza kuwa wasafi bila kushindana na Clouds,Mnaoipenda Wasafi mtaisikiliza na kutanzama TV yao bila kufananisha au kushindanisha na kitu chochote kutoka Clouds na maisha yakaendelea