Ningekuwa Seba Maganga ningesitisha Fiesta ya jumamosi

Ningekuwa Seba Maganga ningesitisha Fiesta ya jumamosi

Seba Maganga ndio mastermind wa Fiesta na Clouds kwa sasa.

Namshauri atazame upepo ulivyo mbaya maana tumeona show ya After Skul Bash kwa mara ya kwanza imehudhuriwa na watu wachache sana na tunajua crowd ya afterskul bash ndio wahudhuriaji wakubwa wa Fiesta.

Jumamosi inayokuja ndio inafanyika Fiesta dsm, baada ya kuhairishwa pale leaders kutokana na sakata la barua.

Waswahili wanasema heri lawama kuliko fedhea, mkifanya fiesta jumamosi mtavuna fedhea maana kiukweli upepo sio mzuri upande wenu. Mtazidi kuwa-prove right wapinzani wenu kwamba mmekosa mvuto.

Jipeni muda mjitafakari kabla ya kurudi upya maana upepo sio.

Ni ushauri tu!
Sijui ni pengo la Ruge maana naona kama wanapoteza ubunifu mfano huu utaratibu wao wa kubadirisha watangazaji wa vipindi umeharibu test ya vipindi badala ya kuchangamsha vipindi vimepoooza.
Ila Ruge uwa anabebeshwa zigo la uchafu wakati yeye ni Manager vipindi tu Kusaga CEO, HR ni kutoka kusaga family, mtu wa Finance kutoka Kusaga family sasa inawezekanaji kupiga marufuku nyimbo za WCB uwe uamuzi wa mtu mmoja tena ambaye ni manager vipindi
 
Seba Maganga ndio mastermind wa Fiesta na Clouds kwa sasa.

Namshauri atazame upepo ulivyo mbaya maana tumeona show ya After Skul Bash kwa mara ya kwanza imehudhuriwa na watu wachache sana na tunajua crowd ya afterskul bash ndio wahudhuriaji wakubwa wa Fiesta.

Jumamosi inayokuja ndio inafanyika Fiesta dsm, baada ya kuhairishwa pale leaders kutokana na sakata la barua.

Waswahili wanasema heri lawama kuliko fedhea, mkifanya fiesta jumamosi mtavuna fedhea maana kiukweli upepo sio mzuri upande wenu. Mtazidi kuwa-prove right wapinzani wenu kwamba mmekosa mvuto.

Jipeni muda mjitafakari kabla ya kurudi upya maana upepo sio.

Ni ushauri tu!

Klaudz fm sasa imebaki historia.
 
Kakimbia mleta uzi au unasafisha matter core baada ya kuliwa jicho
 
Hauwezi kuwa mshauri acha utapeli boss
Seba Maganga ndio mastermind wa Fiesta na Clouds kwa sasa.

Namshauri atazame upepo ulivyo mbaya maana tumeona show ya After Skul Bash kwa mara ya kwanza imehudhuriwa na watu wachache sana na tunajua crowd ya afterskul bash ndio wahudhuriaji wakubwa wa Fiesta.

Jumamosi inayokuja ndio inafanyika Fiesta dsm, baada ya kuhairishwa pale leaders kutokana na sakata la barua.

Waswahili wanasema heri lawama kuliko fedhea, mkifanya fiesta jumamosi mtavuna fedhea maana kiukweli upepo sio mzuri upande wenu. Mtazidi kuwa-prove right wapinzani wenu kwamba mmekosa mvuto.

Jipeni muda mjitafakari kabla ya kurudi upya maana upepo sio.

Ni ushauri tu!
 
Back
Top Bottom