Nyanyua mikono juu, piga makofi 30, kushoto kulia, tuendelee tusiendeleee, sijawasikia, Dj achia, tuimbe sote, siwasikiii. Hizi ndio show za Tz ukiondoka hapo unaenda Hosp kucheck mikono maana lazima utaumwa. Mimi nimelipa nione mtu anaimba mwisho wa siku nasikiliza CD au tunaimba sisi. Kabla hizi show au festival hawajafanya kwanza wasanii wenyewe wabadilike waweze kupanda na Band na kuimba Live au mix mdundo tu wa CD plus vionjo vya life Band. waache vijana waende lakini binafsi siwezi ni kelele tu.