Ningekuwa Seba Maganga ningesitisha Fiesta ya jumamosi

Ningekuwa Seba Maganga ningesitisha Fiesta ya jumamosi

Soudy brown sijui ataificha wapi sura yake, subiri

Wasafi wanawaharibia clouds kwa kasi ya 4g, bifu Wanalotengenez clouds dhidi ya wasafi litawaharibia kila kona wait and see
unasema soud ataificha wapi sura yake wakati siku zote anaificha anavaa mask
 
Watanzania hatupendani cjui kwanini
Kila cku kuna wanaoomba anguko la Clouds litokee
Then what jamaniii??
Kwani hujui hakuna marefu yasio na ncha na pia vita vya panzi furaha kwa kunguru?
 
Kwa nini unahisi hawafananishi wasafi na media zingine?
Kwasababu media nyingine hazina wasikilizaji wengi kama ilivyo Clouds
Isitoshe radio za biashara Tanzania karibu zote zinafuata utaratibu walionao Clouds

Kuanzia Maudhui ya vipindi,Muda wa kipindi husika adi utangazaji

Vijana wengi wanaofanya vipindi mchana wanajikutaga B12

Wasio muiga wachache sana labda Lill Ommy wa TimesFm

Kuanzia vipindi mpaka utangazaji
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Kwani hujui hakuna marefu yasio na ncha na pia vita vya panzi furaha kwa kunguru?
Wataendelea kuepo hata kama hamuwataki

Ukianzisha biashara tafuta soko lako sio kuua biashara ya mwingine
 
Wataendelea kuepo hata kama hamuwataki

Ukianzisha biashara tafuta soko lako sio kuua biashara ya mwingine
Tatizo sio soko mana soko lipo wazi linataka wauzaj tu na pia wanacho fanya wasaf ni kuangalia wateja wanataka nini na kuwapelekea 7bu mawingu wamejisahau wanajiona wao ndio kama wazalisha huduma peke yao wkt watoa huduma wapo wengi wcb kakuni moja tu adui wa rafiki yako ni rafiki yako huo ndio mtaji unaowabeba wasaf na si vinginevyo
 
Na mvua isiyotabirika inayopiga dar sijui itakuwaje
 
Kwasababu media nyingine hazina wasikilizaji wengi kama ilivyo Clouds
Isitoshe radio za biashara Tanzania karibu zote zinafuata utaratibu walionao Clouds

Kuanzia Maudhui ya vipindi,Muda wa kipindi husika adi utangazaji

Vijana wengi wanaofanya vipindi mchana wanajikutaga B12

Wasio muiga wachache sana labda Lill Ommy wa TimesFm

Kuanzia vipindi mpaka utangazaji
Ukweli ni kwamba cloudz imechangia Sana kuua vipaji na kupora jitihada za wasanii wengi,so Kwa muda mrefu wasanii walikuwa wanatafuta media itakayo heshimu vipaji vyao,sasa sijui ni wasafi,efm au ndio bado haijulikani ila hyo ndio main reason
 
Nyanyua mikono juu, piga makofi 30, kushoto kulia, tuendelee tusiendeleee, sijawasikia, Dj achia, tuimbe sote, siwasikiii. Hizi ndio show za Tz ukiondoka hapo unaenda Hosp kucheck mikono maana lazima utaumwa. Mimi nimelipa nione mtu anaimba mwisho wa siku nasikiliza CD au tunaimba sisi. Kabla hizi show au festival hawajafanya kwanza wasanii wenyewe wabadilike waweze kupanda na Band na kuimba Live au mix mdundo tu wa CD plus vionjo vya life Band. waache vijana waende lakini binafsi siwezi ni kelele tu.
Vitu hivyo unavipata Kwenye mnanda tu
 
Mbosso Kama wewe hutakuja unadhani kila mtu haendi?? Embu tulia [emoji4][emoji4][emoji4]
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Seba Maganga ndio mastermind wa Fiesta na Clouds kwa sasa.

Namshauri atazame upepo ulivyo mbaya maana tumeona show ya After Skul Bash kwa mara ya kwanza imehudhuriwa na watu wachache sana na tunajua crowd ya afterskul bash ndio wahudhuriaji wakubwa wa Fiesta.

Jumamosi inayokuja ndio inafanyika Fiesta dsm, baada ya kuhairishwa pale leaders kutokana na sakata la barua.

Waswahili wanasema heri lawama kuliko fedhea, mkifanya fiesta jumamosi mtavuna fedhea maana kiukweli upepo sio mzuri upande wenu. Mtazidi kuwa-prove right wapinzani wenu kwamba mmekosa mvuto.

Jipeni muda mjitafakari kabla ya kurudi upya maana upepo sio.

Ni ushauri tu!

kuna kupanda na kushuka

ni kipindi cha mpito kwao na ni natural!!! lakini champion huwa hakatai pambano, anarudi, wakihudhuria wachache wataangalia wamekosea wapi, watanyenyuka tena kama mabingwa

maisha sio kuwa na same status na energy ile ile, kuna kushuka kwa kukosea mahali na kurekebisha makosa

hakuna namba watu wote akaichukia clouds bado ina wapenzi royal na hii iko kila mahali, kuna watu wanaweza kujiuza kwa kumpenda ambaye haudhanii


Go clouds go...
 
Soudy brown sijui ataificha wapi sura yake, subiri

Wasafi wanawaharibia clouds kwa kasi ya 4g, bifu Wanalotengenez clouds dhidi ya wasafi litawaharibia kila kona wait and see

Mkuu Wasafi wasikupe shida. Mda wao utafika soon. Bongo huwezi kuendelea kwa kutegemea favour za wanasiasa! Never! Tena wanasiasa wenyewe design ya Bashite! At some point (or time T) reality will catch up with you. Naamini kwa dhati..Wasafi hawezi kustawi kwa kumfanyia bifu Clouds. Wasichokijua WASAFI ni kwamba wanasiasa wanawatumia kwa maslahi yao ya kisiasa. Basi!
 
kuna kupanda na kushuka

ni kipindi cha mpito kwao na ni natural!!! lakini champion huwa hakatai pambano, anarudi, wakihudhuria wachache wataangalia wamekosea wapi, watanyenyuka tena kama mabingwa

maisha sio kuwa na same status na energy ile ile, kuna kushuka kwa kukosea mahali na kurekebisha makosa

hakuna namba watu wote akaichukia clouds bado ina wapenzi royal na hii iko kila mahali, kuna watu wanaweza kujiuza kwa kumpenda ambaye haudhanii


Go clouds go...

Champion anazama japo anajitahidi kurusha mikono lakini mawimbi yanaendelea kumzidi nguvu..Hali tete raia wamehasi kambi
 
Ukweli ni kwamba cloudz imechangia Sana kuua vipaji na kupora jitihada za wasanii wengi,so Kwa muda mrefu wasanii walikuwa wanatafuta media itakayo heshimu vipaji vyao,sasa sijui ni wasafi,efm au ndio bado haijulikani ila hyo ndio main reason
kwano hata hiyo wasafi si ya mtu yuleyule mwenye clouds au mmeshikiwa akili kama mashoga
 
Soudy brown sijui ataificha wapi sura yake, subiri

Wasafi wanawaharibia clouds kwa kasi ya 4g, bifu Wanalotengenez clouds dhidi ya wasafi litawaharibia kila kona wait and see
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hivi Tamasha lipi limesitishwa kwasasa??
 
Back
Top Bottom