Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,146
unasema soud ataificha wapi sura yake wakati siku zote anaificha anavaa maskSoudy brown sijui ataificha wapi sura yake, subiri
Wasafi wanawaharibia clouds kwa kasi ya 4g, bifu Wanalotengenez clouds dhidi ya wasafi litawaharibia kila kona wait and see
Kwani hujui hakuna marefu yasio na ncha na pia vita vya panzi furaha kwa kunguru?Watanzania hatupendani cjui kwanini
Kila cku kuna wanaoomba anguko la Clouds litokee
Then what jamaniii??
Kwasababu media nyingine hazina wasikilizaji wengi kama ilivyo CloudsKwa nini unahisi hawafananishi wasafi na media zingine?
Wataendelea kuepo hata kama hamuwatakiKwani hujui hakuna marefu yasio na ncha na pia vita vya panzi furaha kwa kunguru?
Tatizo sio soko mana soko lipo wazi linataka wauzaj tu na pia wanacho fanya wasaf ni kuangalia wateja wanataka nini na kuwapelekea 7bu mawingu wamejisahau wanajiona wao ndio kama wazalisha huduma peke yao wkt watoa huduma wapo wengi wcb kakuni moja tu adui wa rafiki yako ni rafiki yako huo ndio mtaji unaowabeba wasaf na si vinginevyoWataendelea kuepo hata kama hamuwataki
Ukianzisha biashara tafuta soko lako sio kuua biashara ya mwingine
Siyo bush, ni bashHuenda jamaa haelewi hata after school bush ni nini[emoji23][emoji23]
Ukweli ni kwamba cloudz imechangia Sana kuua vipaji na kupora jitihada za wasanii wengi,so Kwa muda mrefu wasanii walikuwa wanatafuta media itakayo heshimu vipaji vyao,sasa sijui ni wasafi,efm au ndio bado haijulikani ila hyo ndio main reasonKwasababu media nyingine hazina wasikilizaji wengi kama ilivyo Clouds
Isitoshe radio za biashara Tanzania karibu zote zinafuata utaratibu walionao Clouds
Kuanzia Maudhui ya vipindi,Muda wa kipindi husika adi utangazaji
Vijana wengi wanaofanya vipindi mchana wanajikutaga B12
Wasio muiga wachache sana labda Lill Ommy wa TimesFm
Kuanzia vipindi mpaka utangazaji
Vitu hivyo unavipata Kwenye mnanda tuNyanyua mikono juu, piga makofi 30, kushoto kulia, tuendelee tusiendeleee, sijawasikia, Dj achia, tuimbe sote, siwasikiii. Hizi ndio show za Tz ukiondoka hapo unaenda Hosp kucheck mikono maana lazima utaumwa. Mimi nimelipa nione mtu anaimba mwisho wa siku nasikiliza CD au tunaimba sisi. Kabla hizi show au festival hawajafanya kwanza wasanii wenyewe wabadilike waweze kupanda na Band na kuimba Live au mix mdundo tu wa CD plus vionjo vya life Band. waache vijana waende lakini binafsi siwezi ni kelele tu.
Seba Maganga ndio mastermind wa Fiesta na Clouds kwa sasa.
Namshauri atazame upepo ulivyo mbaya maana tumeona show ya After Skul Bash kwa mara ya kwanza imehudhuriwa na watu wachache sana na tunajua crowd ya afterskul bash ndio wahudhuriaji wakubwa wa Fiesta.
Jumamosi inayokuja ndio inafanyika Fiesta dsm, baada ya kuhairishwa pale leaders kutokana na sakata la barua.
Waswahili wanasema heri lawama kuliko fedhea, mkifanya fiesta jumamosi mtavuna fedhea maana kiukweli upepo sio mzuri upande wenu. Mtazidi kuwa-prove right wapinzani wenu kwamba mmekosa mvuto.
Jipeni muda mjitafakari kabla ya kurudi upya maana upepo sio.
Ni ushauri tu!
Umejibu so intellectual[emoji3][emoji3]kashazoea kuficha sura huyo
kashazoea kuficha sura huyo
Soudy brown sijui ataificha wapi sura yake, subiri
Wasafi wanawaharibia clouds kwa kasi ya 4g, bifu Wanalotengenez clouds dhidi ya wasafi litawaharibia kila kona wait and see
kuna kupanda na kushuka
ni kipindi cha mpito kwao na ni natural!!! lakini champion huwa hakatai pambano, anarudi, wakihudhuria wachache wataangalia wamekosea wapi, watanyenyuka tena kama mabingwa
maisha sio kuwa na same status na energy ile ile, kuna kushuka kwa kukosea mahali na kurekebisha makosa
hakuna namba watu wote akaichukia clouds bado ina wapenzi royal na hii iko kila mahali, kuna watu wanaweza kujiuza kwa kumpenda ambaye haudhanii
Go clouds go...
Washabiki wa domo mna tabu kweli mtu afunge safari kwenda kumwangalia gigy papa wakitiana vidole na dada yake domo kweli"?Iyo tarehe iyo dogo asije akaweka wasafi festirval tanga watu wakakimbilia tanga ahahahaah
kwano hata hiyo wasafi si ya mtu yuleyule mwenye clouds au mmeshikiwa akili kama mashogaUkweli ni kwamba cloudz imechangia Sana kuua vipaji na kupora jitihada za wasanii wengi,so Kwa muda mrefu wasanii walikuwa wanatafuta media itakayo heshimu vipaji vyao,sasa sijui ni wasafi,efm au ndio bado haijulikani ila hyo ndio main reason
Hakuna kitu kama hicho,sasa mashoga Sisi au mashoga wewe na clouds yenukwano hata hiyo wasafi si ya mtu yuleyule mwenye clouds au mmeshikiwa akili kama mashoga
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hivi Tamasha lipi limesitishwa kwasasa??Soudy brown sijui ataificha wapi sura yake, subiri
Wasafi wanawaharibia clouds kwa kasi ya 4g, bifu Wanalotengenez clouds dhidi ya wasafi litawaharibia kila kona wait and see