hilo ndilo gap la masikini na tajiri, ambalo masikini kwake anaona ni anasa na malezi mabaya. Kwahiyo kuanzia leo elewa binadamu tunafanana uumbaji tu lakini siyo mifumo ya maisha.Mkuu ni ndoto au unasimulia filamu
Ubaba hapo ni ukakamavuMkuu ubaba hapo upo wapi?
Natamani kushare comment yako kwa kila mzazi wa kitanzania.Misingi anayo jengewa mtoto udogoni inaweza kupa picha kamili ya uwezo wa mtoto kukabiliana na ya ukubwani. Wazazi na mtindo wa maisha wa sasa hivi wamejikuta kuna mahala kimalezi wamelega na hata kufikia kulelewa watoto. Hao wanao lea hujui wanapanda mbengu gani kwani mtoto, na hiyo mbegu ikikua ndio unamuona mtoto,.kama ni mbegu nzuri mtoto anakuwa mzuri na kama ni mbegu mbaya mtoto mbaya. Watoto wakabiziwa mikononi mwa Mungu, na kuwalea katika Misingi mizuri ya wazazi wetu walio lelewa nao wakaja kutulea na.hadi leo tumefikia hapa. Shida tunadhalau malezi ya wazazi wetu na kuita ya kishamba
Natamani ungekuwa baba wa mwanangu.[emoji4]Kwaufupi sana ningepata nafasi ya kuwa baba wa huyu mtoo...
View attachment 1769455Ningemnyoa hio nywele (tena kipara) kwa miezi sita.....
Ningempeleka shule zetu fulani wakongwe tunazijua wenyewe
Asingejihusisha na mitandao, kuangalia katuni wala muvi... Tv ni sa mbili muda wa taarifa ya habari over...
Kila siku angetembea au kukimbia 1km (nikimuonea hurua ntamnunulia baiskeli na ataendesha 3km isipokua jpili tu)
Jpili ni siku ya usafiii.... Na kujiandaa na hekaheka za kesho na wiki nzima....
Ratiba ingedumu kwa miezi sita alafu namkabidhi UWOYA mwanaume angali mtoto.
Hiyo si njia ya kufanya kwa watoto wote ila huyo ambaye tayari yuko polluted.... Wakwetu atakua na malezi ya kawaida ila yenye kumfanya ajione mwanaume akisimama mbele ya watoto wa kiume..Natamani ungekuwa baba wa mwanangu.[emoji4]
Kalegea mno..mwanaume halelewi hivyoMuonekano na matendo ni vitu viwili tofauti, muache dogo ale maisha. Kuishi maisha magumu siyo sifa.
Kisa cha kumtaka mtoto wa watu ukaishi nae??? Dunia imebadilika unataka umfanye niniKwaufupi sana ningepata nafasi ya kuwa baba wa huyu mtoo...
View attachment 1769455Ningemnyoa hio nywele (tena kipara) kwa miezi sita.....
Ningempeleka shule zetu fulani wakongwe tunazijua wenyewe
Asingejihusisha na mitandao, kuangalia katuni wala muvi... Tv ni sa mbili muda wa taarifa ya habari over...
Kila siku angetembea au kukimbia 1km (nikimuonea hurua ntamnunulia baiskeli na ataendesha 3km isipokua jpili tu)
Jpili ni siku ya usafiii.... Na kujiandaa na hekaheka za kesho na wiki nzima....
Ratiba ingedumu kwa miezi sita alafu namkabidhi UWOYA mwanaume angali mtoto.
Basi ungekuwa muwazi kuwa unamtaka mama yakeHahahahaa sasa ili niwe baba ake na mama ake si nipo nae
😂😂Sasa ili wewe uwe mwanangu nini kinafanyika
Tangu lini wadangaji wakawa matajiriIvi UWOYA ni Tajiri eeee........
Bora umeliona basi kuna mwamba anasema mi maskini bwana... Ila uwoya ye ni tajiriTangu lini wadangaji wakawa matajiri
Hata juzi dodoma watu walikuwa kikazi zaidi
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Damn !! Wanawake ndio mnaharibu malezi ya watotoNdio maana hajawa mwanao
Mnavyojifanya kusakama watoto wa wenzenu utafikiri wa kwenu mnawalea vizuri mno
Watoto sio malezi tu pia kuwaombea
Unadhan wale watoto wao ni mashoga waliwalea vibaya???