Ningependa kujua zaidi kuhusu biashara ya kusafirisha Mafuta na kumiliki vituo vya mafuta

Ningependa kujua zaidi kuhusu biashara ya kusafirisha Mafuta na kumiliki vituo vya mafuta

In the mean time hata sisi wenye vipesa vya ESCROW tunaweza kuweka magari yetu barabarani tukapeleka mzigo congo.

My point ni kuwa unaweza peleleza pia kama kuna mtu ana new ideas anahitaji watu kuwekeza
uka join....
usisahau good ideas hadi bank zina support....

na wewe ukipata all infos tumwagie hapa....
 
kuna vituo vingine napita naona hakuna magari yanajaza mafuta, kuna kituo fulani pale ............. wakati mwignien ukipita asubuhi utakuwa wamechinja makafara ya damu za kuku....fungukeni zaidi. usijejaza mafuta yako kwenye kisima halafu wenzio wanakuja kuyachota kimazingara ikizingatia wafanya biashara wengi wa haya makitu ni waarabu tunaojua wanafuga majini kama desturi ya uarabuni.
 
My point ni kuwa unaweza peleleza pia kama kuna mtu ana new ideas anahitaji watu kuwekeza
uka join....
usisahau good ideas hadi bank zina support....

na wewe ukipata all infos tumwagie hapa....

Sawa mkuu
 
Itabidi tufanye hivo ila tutafute capital kama ya M 100 hivi maana kwa kweli hii biashara mtaji wake bila kitu kama M 100 utakuwa undercapitalised na utashindwa.

Kuwa na taarifa ni mtaji tosha kabisa.

Mengine ni nyongeza kusaidia 'implementation' ya hilo wazo lako.
 
kuna vituo vingine napita naona hakuna magari yanajaza mafuta, kuna kituo fulani pale ............. wakati mwignien ukipita asubuhi utakuwa wamechinja makafara ya damu za kuku....fungukeni zaidi. usijejaza mafuta yako kwenye kisima halafu wenzio wanakuja kuyachota kimazingara ikizingatia wafanya biashara wengi wa haya makitu ni waarabu tunaojua wanafuga majini kama desturi ya uarabuni.

Kwa mantiki hii. Basi hakuna mtu angefanya biashara kabisa.
 
Ni biashara inayolipa sana na haina hasara kamwe ila changamoto yake inataka mtaji mkubwa sana. Mathalani ukataka kufungua sheli moja ya kawaida kabisa yenye pump mbili tu moja ya petrol na nyingine diesel. Na sheli isiyo na mbwembwe itakugharimu kati ya million 450 hadi 500.

Kwa upande wa faida utapata kuanzia sh 130 hadi 210 kwa lita moja itategemea na supplier aliyekuuzia. Mfano PUMA energy wana bei nzuri sana hivyo faida kua kubwa.

So ukiwa na possibility angalau ya kuuza lita 10,000 kwa siku utajikuta unapata faida zaidi ya million 35 kwa mwezi, hapo umeshatoa expenditures zote so hyo ni net profit . So inshort yanalipa sana ila pia ujipange mtaji.

Kwa upande wa vibali waone TRA, EWURA, OSHA na wakala wa mafuta wa serikali. Ukifanikiwa kuwekeza within a year pesa yako yote itarudi na utaanza kula faida.

Mwisho kabisa mafuta hasa petrol yana tabia ya kupotea kwenye kisima kwa njia ya evaporation hasa nyakati za joto kali, so loss za lita 100 hadi 1000 kwa mwezi ni jambo la kawaida, hilo utaliona ukiwa unafanya deeping. Nakutakia kila la heri na biashara njema!

Ukitaka maelezo zaidi PM
 
Last edited:
Ni biashara inayolipa sana na haina hasara kamwe ila changamoto yake inataka mtaji mkubwa sana. Mathalani ukataka kufungua sheli moja ya kawaida kabisa yenye pump mbili tu moja ya petrol na nyingine diesel. Na sheli isiyo na mbwembwe itakugharimu kati ya million 450 hadi 500.

Kwa upande wa faida utapata kuanzia sh 130 hadi 210 kwa lita moja itategemea na supplier aliyekuuzia. Mfano PUMA energy wana bei nzuri sana hivyo faida kua kubwa.

So ukiwa na possibility angalau ya kuuza lita 10,000 kwa siku utajikuta unapata faida zaidi ya million 35 kwa mwezi, hapo umeshatoa expenditures zote so hyo ni net profit . So inshort yanalipa sana ila pia ujipange mtaji.

Kwa upande wa vibali waone TRA, EWURA, OSHA na wakala wa mafuta wa serikali. Ukifanikiwa kuwekeza within a year pesa yako yote itarudi na utaanza kula faida.

Mwisho kabisa mafuta hasa petrol yana tabia ya kupotea kwenye kisima kwa njia ya evaporation hasa nyakati za joto kali, so loss za lita 100 hadi 1000 kwa mwezi ni jambo la kawaida, hilo utaliona ukiwa unafanya deeping. Nakutakia kila la heri na biashara njema!

Ukitaka maelezo zaidi PM

Katika hatua 10000 wewe umenipa hatua 100. Shukrani sana mkuu.

Ningependa kujua kama unajua yafuatayo;

1. Gharama ya kusafirisha mzigo wa mafuta kwenda mfano Rwanda au Congo. Wana charge kwa kutumia kilomita au thamani ya mzigo?

2. Hao wateja wanapatikanaje?
 
Kama upo dar nitafute kuna ili usaidiwe kupata maelekezo yatakayokusaidia
 
Mafuta bei ya jumla kwa Diesel ni 1641 na Petrol ni 1792 kwa Dar, Tanga ni bei rahisi zaidi maana diesel ni 1628 petrol imepungua kwahio chukua i.e. 1641x 5000 na 1792 x 5000 utapata uwe na angalau mtaji wa shillingi ngapi ila faida ni 105.37 kwa kila lita utakayo uza....
 
Na kwa kuanzia nadhani kama anataka kumiliki petrol station awe na capital ya kujenga visima pamoja na mtaji wa kununulia hayo mafuta. Magari aanze na ya kukodi kwanza baadae ndo mtaji ukikua ununue magari yako
 
Mafuta bei ya jumla kwa Diesel ni 1641 na Petrol ni 1792 kwa Dar, Tanga ni bei rahisi zaidi maana diesel ni 1628 petrol imepungua kwahio chukua i.e. 1641x 5000 na 1792 x 5000 utapata uwe na angalau mtaji wa shillingi ngapi ila faida ni 105.37 kwa kila lita utakayo uza....

Nadhani hapa ni kwa msingi zaidi.
 
Na kwa kuanzia nadhani kama anataka kumiliki petrol station awe na capital ya kujenga visima pamoja na mtaji wa kununulia hayo mafuta. Magari aanze na ya kukodi kwanza baadae ndo mtaji ukikua ununue magari yako

Na nikitaka kusafirisha kwenda nje natumia utaratibu gani?
 
Back
Top Bottom