Ningependa kujua zaidi kuhusu biashara ya kusafirisha Mafuta na kumiliki vituo vya mafuta

Ningependa kujua zaidi kuhusu biashara ya kusafirisha Mafuta na kumiliki vituo vya mafuta

Nilitaka nimwambie hivi hivi, m100 ndogo asee

gari moja inapakia kama cubic meter 40 au lita 40,000 ya super. kama ni diesel itapakia cubic meter 37 au lita 37,000.

gari inalipwa dola 100 kwa kila cubic meter kutoka Dar hadi Kigali.

kwa hiyo gari ya supa itakulipa dola 4000 kila trip. unaweza fanya trip 3 kila mwezi ukapata dola 12,000.

gari mpya ya mafuta utanunua dola 120,000 ukisha lipia kila kitu. utaweza kurudisha investment ndani ya miaka miwili kama umefanikiwa kupata soko la uhakika.
 
gari moja inapakia kama cubic meter 40 au lita 40,000 ya super. kama ni diesel itapakia cubic meter 37 au lita 37,000.

gari inalipwa dola 100 kwa kila cubic meter kutoka Dar hadi Kigali.

kwa hiyo gari ya supa itakulipa dola 4000 kila trip. unaweza fanya trip 3 kila mwezi ukapata dola 12,000.

gari mpya ya mafuta utanunua dola 120,000 ukisha lipia kila kitu. utaweza kurudisha investment ndani ya miaka miwili kama umefanikiwa kupata soko la uhakika.
Safi sana....nazidi kufunguka akilini na kuongeza knowledge base on this business! Thanks a lot mkuu.
 
gari moja inapakia kama cubic meter 40 au lita 40,000 ya super. kama ni diesel itapakia cubic meter 37 au lita 37,000.

gari inalipwa dola 100 kwa kila cubic meter kutoka Dar hadi Kigali.

kwa hiyo gari ya supa itakulipa dola 4000 kila trip. unaweza fanya trip 3 kila mwezi ukapata dola 12,000.

gari mpya ya mafuta utanunua dola 120,000 ukisha lipia kila kitu. utaweza kurudisha investment ndani ya miaka miwili kama umefanikiwa kupata soko la uhakika.

Asante sana...

Na wale madereva hua wanalipwa kwa mwezi au kwa trip?
 
madereva wengi wanalipwa dola 200 kwa mwezi, na posho ya safari ni dola 200 per trip.

Okay. Nashukuru.

Kwahiyo nikitaka kupata deal la kusafirisha mafuta kwenda Kigali au Congo natakiwa kwenda kule kutafuta wateja wa kuwapelekea?

AU kuna central system ya wao kuja huku kutafuta transporter?
 
gari moja inapakia kama cubic meter 40 au lita 40,000 ya super. kama ni diesel itapakia cubic meter 37 au lita 37,000.

gari inalipwa dola 100 kwa kila cubic meter kutoka Dar hadi Kigali.

kwa hiyo gari ya supa itakulipa dola 4000 kila trip. unaweza fanya trip 3 kila mwezi ukapata dola 12,000.

gari mpya ya mafuta utanunua dola 120,000 ukisha lipia kila kitu. utaweza kurudisha investment ndani ya miaka miwili kama umefanikiwa kupata soko la uhakika.

Na ukitaka nunua mwenyewe mafuta ukauze huko Kigali unaanzia wapi?
 
Okay. Nashukuru.

Kwahiyo nikitaka kupata deal la kusafirisha mafuta kwenda Kigali au Congo natakiwa kwenda kule kutafuta wateja wa kuwapelekea?

AU kuna central system ya wao kuja huku kutafuta transporter?
Kuna njia nyingi za kupata deal. unaweza ongea na clearing agent wanao shughurikia mizigo ya mafuto. ongea na watu wa TRA, oil department watakusaidia, au nenda TPA mlango wa tanu, kuna ofisi za customs ya DRC, Rwanda, Burundi, Uganda. Utajua ni nani anasafirisha mafuta kwenda inchi hizo.
 
Kuna njia nyingi za kupata deal. unaweza ongea na clearing agent wanao shughurikia mizigo ya mafuto. ongea na watu wa TRA, oil department watakusaidia, au nenda TPA mlango wa tanu, kuna ofisi za customs ya DRC, Rwanda, Burundi, Uganda. Utajua ni nani anasafirisha mafuta kwenda inchi hizo.

Mkuu umenisaidia atleast kupata mwanga.

Na ni malori yapi bora kwenye hii biashara?
 
Kuna njia nyingi za kupata deal. unaweza ongea na clearing agent wanao shughurikia mizigo ya mafuto. ongea na watu wa TRA, oil department watakusaidia, au nenda TPA mlango wa tanu, kuna ofisi za customs ya DRC, Rwanda, Burundi, Uganda. Utajua ni nani anasafirisha mafuta kwenda inchi hizo.
ukitaka kununua mafuta uuze mwenyewe huko Kigali, itabidi uende Kigali ukafungue kampuni ya mafuta (done in 48 hours). Bada ya hapo utasaini mkataba na kampuni moja ya huko kwa jiri ya storage. utarudi Dar na hizo karatasi, utajiunga na kampuni moja ambao itakuagizia kupitia Petroleum Bulk Procurement System (BPS).
 
Itabidi tufanye hivo ila tutafute capital kama ya M 100 hivi maana kwa kweli hii biashara mtaji wake bila kitu kama M 100 utakuwa undercapitalised na utashindwa.
Hiyo hela ni ndogo hata haitoshi kufungua shell ya kisasa!! Trellar moja LA Serrin ni Milion 50+ hapo unatakiwa kwa kuanza uwe na Billion moja!! Ukipata gari kama kumi na madereva ni pm nikuunganishe upige hela na hela inarudi ndani ya miezi saba!!
 
Hiyo hela ni ndogo hata haitoshi kufungua shell ya kisasa!! Trellar moja LA Serrin ni Milion 50+ hapo unatakiwa kwa kuanza uwe na Billion moja!! Ukipata gari kama kumi na madereva ni pm nikuunganishe upige hela na hela inarudi ndani ya miezi saba!!
Duh bilioni moja? hapo parefu mkuu
 
Mafuta yana baiashara za aina kama 4.
1. Unamiliki depo. Unakuwa na matanki na kazi yako ni kuagiza mafuta kutoka kwa mamlaka ya PIC (imeshaelezewa hapo kuwa ndio muagizaji kutoka nje. Wewe unapeleka order tu na kulipia). Baada ya hapo unakuwa unauza whole sale ndani na nje ya nchi. Wenye magari makubwa wanakuja kununua kwako.

2. Unamiliki magari na kuwa unasafirisha tu. Unalipwa kwa kila lita utakayosafirisha

3. Unajenga kituo chako na kununua mafuta kutoka kwa waagizaji wakubwa kwa trucks. Trucks unaweza kukodi tu ama kumiliki pia. Unaweza pia kuwa na vituo vingi halafu ukawa unaagiza mafuta (inahitaji leseni tofauti ya ewura) lakini utaweka kwenye depot za watu na kulipia 'hospitality'

4. Una kodi kituo chenye jina na kuendesha kwa ubia. Kwa mfano puma, wanakuwa na kituo chao na wanakitengeneza kila kitu. Wanakupa kiwango cha kuuza na ni lazma ununue kwao na uwalipe kodi ya pango.

Biashara hizi zinahitaji mtaji mkubwa na kila moja ni lazma uwe na bond bank kama insurance. Namba moja inahitaji bond kubwa zaidi na mtaji na inashuka ikupungua hadi namba 4. Kama una interest google makampuni na uwapigie kuongea nao kuhusu masharti mbali mbali
 
Duh bilioni moja? hapo parefu mkuu
1047938_560685760756522_6397019510313873266_o.jpg





Interior cabin of Volvo FH Siries 400HP Sleeper cabin a.k.a iPad mini air 2!!!!

12513607_559475220877576_5997262330461589995_o.jpg
 
milion 100 mbona hela ndogo sana hata truck moja na trailer lake haitoshi..

m100 hela ndogo sana na sana na sana

Usitake kutisha watu bana... Ukiagiza scania used mpaka kufika bongo inaweza kukutoka 75m... Kwa 25M inayobakia unaweza kupata trailer.. Hata kama pesa imepungua wanaotengeneza matrailer wanaweza kukuachia ulipe taratibu
 
Usitake kutisha watu bana... Ukiagiza scania used mpaka kufika bongo inaweza kukutoka 75m... Kwa 25M inayobakia unaweza kupata trailer.. Hata kama pesa imepungua wanaotengeneza matrailer wanaweza kukuachia ulipe taratibu
Ni kweli top liner used zinacheza kwnye bei hiyoo..nlitaka nishangae jamaa anatisha watu million 100 kuanzia unapata scania na trailer hizi za kawaida...
 
Ni kweli top liner used zinacheza kwnye bei hiyoo..nlitaka nishangae jamaa anatisha watu million 100 kuanzia unapata scania na trailer hizi za kawaida...

Halafu hapo ni kama umeagiza nje... Ila bongo wanaoanza na mtaji mdogo ununua yale used yenye number inayoanzia na A na kuyanunua kwa less than 30M baada ya hapo uyatengea service ya 5-10M baada ya hapo wanatafutia trailer yaanza kupiga mzigo... Ila tatizo ya haya used ya kibongo ni kuwa yakienda na kurudi lazima ulirudishe tena service ikakutoke laki5-1M tena nyingine
 
Wadau mmenifungua macho sana. Nategemea kuanza in the near future.

Nimegoogle kuhusu trailers za mafuta nimeona zile za OKT. Ni nzuri.
 
Usitake kutisha watu bana... Ukiagiza scania used mpaka kufika bongo inaweza kukutoka 75m... Kwa 25M inayobakia unaweza kupata trailer.. Hata kama pesa imepungua wanaotengeneza matrailer wanaweza kukuachia ulipe taratibu
Million 75?? Imekuwa vitz?? Hata hapa bongo used unapata 25 Ila inakuwa haina uwezo wa kutoka nje
 
Back
Top Bottom