Ningependa kujua zaidi kuhusu biashara ya kusafirisha Mafuta na kumiliki vituo vya mafuta

Ningependa kujua zaidi kuhusu biashara ya kusafirisha Mafuta na kumiliki vituo vya mafuta

Nilitaka kuuliza hapo.

Nimeona trela za Bhachu na Superdoll zinabeba mafuta mengi kuliko Serin au OKT. Hapo una mawazo gani?

Mkuu Bavaria, kwangu mm kwa kuwa si mtaalamu sana wa mambo haya nadhani moja ya sababu tankers za Bhachu au Superdoll zinabeba zaidi ni sababu ya wepesi wake. Ziko designed kwa ajili ya kazi si mbwembwe kama hizo za Serin ambazo kwangu mimi naona kama zina madoido mengine ambayo si ya muhimu yanaongeza tu uzito bila sababu japo kwa macho zinavutia zaidi. Jaribu kuzifuatilia tankers mpya za Bhachu utagundua zinatofauti kubwa sana na za awali.

Nimeona umeulizia pia khs ubora wa brands mbalimbali za trucks. Tuwe wakweli kama tunazungumzia trucks mpya zote then Scania ni the best ila issue iko kwenye bei ndio maana transporters wakubwa kama Super Star hawacompromise kwenye hili. Scania truck mpya moja unaweza kununua trucks nne za kichina na ukabaki na balance ya kuanzia. So kwa sababu ya changamoto ya bei watu wengi wana opt Mchina. On the other hand, unapolinganisha used scania na mchina mpya then mimi nitaopt Mchina mpya kwani gari mpya ni mpya tu huwezi kulinganisha na used ambayo huna hata historia yake vizuri so kuna kuna risk za kutosha ndani yake.

Mimi pia niko kwenye trucking business ila si tankers ambako nimetokea kuwa na interest ya kutosha hivi karibuni na kwa kiasi fulani nimeanza kuulizia baadhi ya mambo ili Mungu akiniwezesha niingie huko pia. So nikipata data zaidi nitashare na ww pia nitashukuru kama ukishare ili mwisho wa siku wote kwa pamoja tusogee hatua angalau moja mbele.
 
Mkuu Bavaria, kwangu mm kwa kuwa si mtaalamu sana wa mambo haya nadhani moja ya sababu tankers za Bhachu au Superdoll zinabeba zaidi ni sababu ya wepesi wake. Ziko designed kwa ajili ya kazi si mbwembwe kama hizo za Serin ambazo kwangu mimi naona kama zina madoido mengine ambayo si ya muhimu yanaongeza tu uzito bila sababu japo kwa macho zinavutia zaidi. Jaribu kuzifuatilia tankers mpya za Bhachu utagundua zinatofauti kubwa sana na za awali.

Nimeona umeulizia pia khs ubora wa brands mbalimbali za trucks. Tuwe wakweli kama tunazungumzia trucks mpya zote then Scania ni the best ila issue iko kwenye bei ndio maana transporters wakubwa kama Super Star hawacompromise kwenye hili. Scania truck mpya moja unaweza kununua trucks nne za kichina na ukabaki na balance ya kuanzia. So kwa sababu ya changamoto ya bei watu wengi wana opt Mchina. On the other hand, unapolinganisha used scania na mchina mpya then mimi nitaopt Mchina mpya kwani gari mpya ni mpya tu huwezi kulinganisha na used ambayo huna hata historia yake vizuri so kuna kuna risk za kutosha ndani yake.

Mimi pia niko kwenye trucking business ila si tankers ambako nimetokea kuwa na interest ya kutosha hivi karibuni na kwa kiasi fulani nimeanza kuulizia baadhi ya mambo ili Mungu akiniwezesha niingie huko pia. So nikipata data zaidi nitashare na ww pia nitashukuru kama ukishare ili mwisho wa siku wote kwa pamoja tusogee hatua angalau moja mbele.

Umenisaidia pakubwa sana mkuu.

Shukrani kwa moyo wa kujali na ku-share kile unachokifahamu..

Binafsi katika kuchimba kwangu nimeona magari ya MAN nayo ya ubora kiasi chake hasa kwenye hii biashara.

Kwa kuanzia, bora uanze na mchina halafu mtaji ukikaa sawa ndio unavuta vichwa vyenye ubora kama scania au marcedes-benzi.

Kuhusu kwenye tankers, binafsi nilidhani zile za serin au OKT ni nyepesi kwasababu hata ukiangalia idadi ya tyres inazopaki ni chache sana kulinganisha na wakina superdoll au bhachu. Hapa umenifumbua, nilikuwa sifahamu..

Tuje kwenye numbers.

Unafahamu vipi kuhusu soko la kuwabebea watu mafuta kwenda congo, malawi, rwanda na burundi?
 
Nenda kaongee na Azam watakuuzia gari nzuri Ila atakuambia usiondoe nembo zake na atakuuzia bei nzuri kama atakubali kukuuzia!! Volvo au Daf hata scania siyo mbaya ala Azam Ana Volvo tu

Kwanini usitoe nembo za jina lake ilihali umemlipa hela?
 
Hiyo hela ni ndogo hata haitoshi kufungua shell ya kisasa!! Trellar moja LA Serrin ni Milion 50+ hapo unatakiwa kwa kuanza uwe na Billion moja!! Ukipata gari kama kumi na madereva ni pm nikuunganishe upige hela na hela inarudi ndani ya miezi saba!!
ww kweli jambazi
 
Naomba kuondolewa ujinga kidogo, iwapo mafuta yote yanaagizwa kwa pamoja mbona bei ya Petrol ktk shell za Dar inatofautiana sana( at most shilingi 20 hadi 40)? Mbona baadhi ya shell Nje ya Dsm zinauza Petrol bei sawa na za Dsm? Ahsante
 
kuna vituo vingine napita naona hakuna magari yanajaza mafuta, kuna kituo fulani pale ............. wakati mwignien ukipita asubuhi utakuwa wamechinja makafara ya damu za kuku....fungukeni zaidi. usijejaza mafuta yako kwenye kisima halafu wenzio wanakuja kuyachota kimazingara ikizingatia wafanya biashara wengi wa haya makitu ni waarabu tunaojua wanafuga majini kama desturi ya uarabuni.
Mmhhhh! Umenitia woga
 
milion 100 mbona hela ndogo sana hata truck moja na trailer lake haitoshi..

m100 hela ndogo sana na sana na sanahuwezi anza na tank moja kwa moja kunamagari ya kusafirishia mafuta unaanza na kukodi tu ivyo mwsho wa Sikh wanunua lako ni kama wanavyo Fanya masemi ya mizigo na ww kwenye mafuta iko hivyo hivyo pia
 
Back
Top Bottom