Tank nakushauri chukua Serine hayo mengine ikienda trip moja linaanza kuvuja unaanza kulichapia viraka!!Wadau mmenifungua macho sana. Nategemea kuanza in the near future.
Nimegoogle kuhusu trailers za mafuta nimeona zile za OKT. Ni nzuri.
Nando still you haven't information? or still mourning Whitney Houston and his daughter?na mimi pia i dream to do that kind of business but i havent reliable information.
Mkuu ungeweka maelezo hapa ili kila MTU anufaikeNi biashara inayolipa sana na haina hasara kamwe ila changamoto yake inataka mtaji mkubwa sana. Mathalani ukataka kufungua sheli moja ya kawaida kabisa yenye pump mbili tu moja ya petrol na nyingine diesel. Na sheli isiyo na mbwembwe itakugharimu kati ya million 450 hadi 500.
Kwa upande wa faida utapata kuanzia sh 130 hadi 210 kwa lita moja itategemea na supplier aliyekuuzia. Mfano PUMA energy wana bei nzuri sana hivyo faida kua kubwa.
So ukiwa na possibility angalau ya kuuza lita 10,000 kwa siku utajikuta unapata faida zaidi ya million 35 kwa mwezi, hapo umeshatoa expenditures zote so hyo ni net profit . So inshort yanalipa sana ila pia ujipange mtaji.
Kwa upande wa vibali waone TRA, EWURA, OSHA na wakala wa mafuta wa serikali. Ukifanikiwa kuwekeza within a year pesa yako yote itarudi na utaanza kula faida.
Mwisho kabisa mafuta hasa petrol yana tabia ya kupotea kwenye kisima kwa njia ya evaporation hasa nyakati za joto kali, so loss za lita 100 hadi 1000 kwa mwezi ni jambo la kawaida, hilo utaliona ukiwa unafanya deeping. Nakutakia kila la heri na biashara njema!
Ukitaka maelezo zaidi PM
Million 75?? Imekuwa vitz?? Hata hapa bongo used unapata 25 Ila inakuwa haina uwezo wa kutoka nje
Nenda kanitafutie kwa hiyo bei ambayo lipo kwenye hali mzuri uje uni pm!! Kama unataka ufe kwa pressure tumia shortcut utakuwa unapigwa tu hasara na service sizizo kuwa za lazma!! Wakati gari inatakiwa kutumia siku nne au tano hadi kufika Zambia yako itakuwa inatumia mwezi kufika!Ndugu nnavyokuambia nshafuatilia nkaambiwa bei zake zina range huko... Hiyo used ya kibongo ya 25 ukiifanyia service ya kutosha inaenda nje ya bongo fresh tu
Nenda kanitafutie kwa hiyo bei ambayo lipo kwenye hali mzuri uje uni pm!! Kama unataka ufe kwa pressure tumia shortcut utakuwa unapigwa tu hasara na service sizizo kuwa za lazma!! Wakati gari inatakiwa kutumia siku nne au tano hadi kufika Zambia yako itakuwa inatumia mwezi kufika!
Ndugu nnavyokuambia nshafuatilia nkaambiwa bei zake zina range huko... Hiyo used ya kibongo ya 25 ukiifanyia service ya kutosha inaenda nje ya bongo fresh tu
Tank nakushauri chukua Serine hayo mengine ikienda trip moja linaanza kuvuja unaanza kulichapia viraka!!
Acha uongo, trailer moja la mafuta halifiki hata mil. 50.milion 100 mbona hela ndogo sana hata truck moja na trailer lake haitoshi..
m100 hela ndogo sana na sana na sana
Nenda kaongee na Azam watakuuzia gari nzuri Ila atakuambia usiondoe nembo zake na atakuuzia bei nzuri kama atakubali kukuuzia!! Volvo au Daf hata scania siyo mbaya ala Azam Ana Volvo tuLabda kiongozi tuambiane wewe unafikiri gari zuri la kuanzia ni aina gani!? na bei yake pia!?
Ya china yanaitwaje?Wengi wanatumia malori ya scania. Ila yale ya China ameanza kuonekana mengi.
LA kuchongesha LA bati ukiwa na trella lako haizidi hata Million 20 Ila utapiga nalo trip 3 linaanza kuvunja! Ila special linacheza Million 50 hadi 60Acha uongo, trailer moja la mafuta halifiki hata mil. 50.
Ya china yanaitwaje?
Mtaji wa m 100 ndio iwe mtaji wa kuuza na kusafirisha mafuta? Labda mafuta ya kupakaaItabidi tufanye hivo ila tutafute capital kama ya M 100 hivi maana kwa kweli hii biashara mtaji wake bila kitu kama M 100 utakuwa undercapitalised na utashindwa.
Hapo nilimaanisha gharama ya mafuta yaliyomo ndani ya tank kwenye trailer na sio bei ya trailer.LA kuchongesha LA bati ukiwa na trella lako haizidi hata Million 20 Ila utapiga nalo trip 3 linaanza kuvunja! Ila special linacheza Million 50 hadi 60
Ni kweli mkuu Jambazi Serine ni tankers nzuri ukilinganisha na hizi locally made. Japo pia wazoefu waliotumia wamegundua kwamba Serine pia zina changamoto zake. Mfano, uzito, ile height nayo imezidi kdg, na likitoboka repair yake iko complicated kidogo na nyinginezo kadhaa. Baadhi wamegundua kwamba tankers za Super doll na Bachu wa Kenya ni nzuri zaidi kwani zimefanyiwa improvements nyingi tu. Changamoto kubwa hapo ni bei ila inalipa kwani zinadumu muda mrefu zaidi.