Ningependa kusikia kauli ya Mwenyekiti mpya kuhusu kijana wetu Soka na wenzake moyo wangu umejawa hofu juu yake

Ningependa kusikia kauli ya Mwenyekiti mpya kuhusu kijana wetu Soka na wenzake moyo wangu umejawa hofu juu yake

Mi mi

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2024
Posts
2,748
Reaction score
5,112
Nakukaribisha mwenyekiti mpya Tundu Lissu katika uongozi wako mpya ndani ya chama cha demokrasia na maendeleo natumahi mengi mapya pia umekuja nayo katika nafasi yako hii mpya ya uenyekiti wa chama.

Moja ya jambo/ kauli ya msingi ningependa kusikia kutoka kwako kama msimamo wako na wa chama unacho ongoza basi ni kauli juu ya vijana wetu hawa wakina Soka na wenzake waliopotezwa toka mwaka jana.

Moyo wangu umejaa hofu yasije yakajitokeza kama yaliyo jitokeza kwa Ben mpaka leo ukimya umetawala juu ya kijana yule asiye na hatia na chama jitihada za kukata na shoka za kupambania uhai wake kutokufanyika.

Mwenyekiti una nafasi ya kufanya jambo kwa kijana wetu huyu Deusdedith naomba chama kisiingie katika historia ile ile ya kuwatupa vijana wao pale wanapo potezwa maana mpaka sasa ni kimya kingi kimepita sio kwa serikali,sio kwa jeshi la polisi wala sio kwa chama chake alichokuwa akikipambania kwa jasho lote Deusdedith, naomba sana mwenyekiti msimtupe mkono Deusdedith moyo wake na mioyo yetu inavuja damu napata nguvu kuwa msimamo thabiti kutoka kwako na kwa chama utatibu hofu hii juu ya kijana wetu.

Mwenyekiti sema neno moja tu juu ya Deusdedith na mioyo yetu itapona.
soka-e1724250077267-1024x968-1.jpg
 
Nakukaribisha mwenyekiti mpya Tundu Lissu katika uongozi wako mpya ndani ya chama cha demokrasia na maendeleo natumahi mengi mapya pia umekuja nayo katika nafasi yako hii mpya ya uenyekiti wa chama.

Moja ya jambo/ kauli ya msingi ningependa kusikia kutoka kwako kama msimamo wako na wa chama unacho ongoza basi ni kauli juu ya vijana wetu hawa wakina Soka na wenzake waliopotezwa toka mwaka jana.

Moyo wangu umejaa hofu yasije yakajitokeza kama yaliyo jitokeza kwa Ben mpaka leo ukimya umetawala juu ya kijana yule asiye na hatia na chama jitihada za kukata na shoka za kupambania uhai wake kutokufanyika.

Mwenyekiti una nafasi ya kufanya jambo kwa kijana wetu huyu Deusdedith naomba chama kisiingie katika historia ile ile ya kuwatupa vijana wao pale wanapo potezwa maana mpaka sasa ni kimya kingi kimepita sio kwa serikali,sio kwa jeshi la polisi wala sio kwa chama chake alichokuwa akikipambania kwa jasho lote Deusdedith, naomba sana mwenyekiti msimtupe mkono Deusdedith moyo wake na mioyo yetu inavuja damu napata nguvu kuwa msimamo thabiti kutoka kwako na kwa chama utatibu hofu hii juu ya kijana wetu.

Mwenyekiti sema neno moja tu juu ya Deusdedith na mioyo yetu itapona.View attachment 3236565

"We were forced to form a Paramilitary Wing of uMkhonto we Sizwe within the ANC because the Government of Whites Minorities of South Africa was terrorising us by using the State Security Forces."

Oliver Reginald Tambo, former President of African National Congress (ANC) from 1967 to 1993.
 
Back
Top Bottom