Nini chakufanya kwa mwanamke ambaye anataka kutawala mwanaume kwasababu ya ngono

Nini chakufanya kwa mwanamke ambaye anataka kutawala mwanaume kwasababu ya ngono

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,779
Reaction score
4,982
Habari zenu wapendwa
Naombeni ushauri juu ya hali hii ambayo kidogo inanipa stress
Mimi nikijana nimeoa na nina mtoto mmoja
Lakini kuna hali fulani ambayo mke wangu anayo
Hali hiyo ni kutaka kunitawala kupitia madhaifu yangu
Amegundua kuwa ninapenda sex sana na ameanza kutumia njia hiyo kama njia fulani ya kutaka kuniendesha au kunitawala
 
Habari zenu wapendwa
Naombeni ushauri juu ya hali hii ambayo kidogo inanipa stress
Mimi nikijana nimeoa na nina mtoto mmoja
Lakini kuna hali fulani ambayo mke wangu anayo
Hali hiyo ni kutaka kunitawala kupitia madhaifu yangu
Amegundua kuwa ninapenda sex sana na ameanza kutumia njia hiyo kama njia fulani ya kutaka kuniendesha au kunitawala
Kuwa clear kama anakunyima sex,ww nenda dawati la jinsia au mcheki dr Gwajima x
 
Isuse kabisa ndio kanuni
Hiyo itatengeneza mvurugano kwenye akili yake.
Akitaka kukupa tafuta visingizio, yaani sio shida zako.
Ataanza kukulaumu una mpango wa kando, kaza.
Ataanzakujitia huruma, mwisho atagundua siraha yake imepata majibu na kuwa mke tena.
Ataanda mpango wa pili na wewe jiandae
 
Piga chini.chukua chuma mpya
KAZI ni kipimo cha UTU
 
Afya yake ya mwili na akili ipo sawa? Kama hivyo vitu vyote vipo sawa basi umeshindwa kufanya yeye aone utamu wa sex, humfikishi, humridhishi. Mwanamke kama kweli unamfikisha hawezi kukupa ratiba ya kufanya sex.
 
Shetani mwnyw amewanyanyuli mikono wanawake sembuse wanaume 😂

 
Habari zenu wapendwa
Naombeni ushauri juu ya hali hii ambayo kidogo inanipa stress
Mimi nikijana nimeoa na nina mtoto mmoja
Lakini kuna hali fulani ambayo mke wangu anayo
Hali hiyo ni kutaka kunitawala kupitia madhaifu yangu
Amegundua kuwa ninapenda sex sana na ameanza kutumia njia hiyo kama njia fulani ya kutaka kuniendesha au kunitawala
Usitake sana watu wanachoka wakati Mwingine. Fanya Mazoezi. Kunywa Maji Mengi. Kaangalie Mpira.
 
Habari zenu wapendwa
Naombeni ushauri juu ya hali hii ambayo kidogo inanipa stress
Mimi nikijana nimeoa na nina mtoto mmoja
Lakini kuna hali fulani ambayo mke wangu anayo
Hali hiyo ni kutaka kunitawala kupitia madhaifu yangu
Amegundua kuwa ninapenda sex sana na ameanza kutumia njia hiyo kama njia fulani ya kutaka kuniendesha au kunitawala
Labda ubadilishe udhaifu wako sasa!
 
Habari zenu wapendwa
Naombeni ushauri juu ya hali hii ambayo kidogo inanipa stress
Mimi nikijana nimeoa na nina mtoto mmoja
Lakini kuna hali fulani ambayo mke wangu anayo
Hali hiyo ni kutaka kunitawala kupitia madhaifu yangu
Amegundua kuwa ninapenda sex sana na ameanza kutumia njia hiyo kama njia fulani ya kutaka kuniendesha au kunitawala
Naturally mwanamke anapashwa apende sex kuliko mwanaume ukiona ni opposite jua huyu hana hisia na wewe kabisa jiongeza mkuu, when i was in my 20s nilishawahi kua na active girl friend 5, ili kuepuka kua mtumwa wa sex kwa girl friend moja, ili lilinisaidia kulinda misimamo yangu na kutoendeshwa na mwanamke yoyote kisa ngono.
 
A:- Mkuu hakikisha usiku unafanya zoez ruka ata kamba nusu saa oga ulale utapata usingz mzur sana achan na kuomba omba sex kwa mkeo yeye ndio atakuw anakuomba.,
B:- hakikisha unamtimizia mahitaji yake mengine hasa ya kisaikolojia (usimpe stress stress
C:- mkeo pia ale ashibe na alale mapema (wanawake wengi tulio waoa huhitaji ngono baada ya kulala usingz wa kwanza na kushtuka
B:- hakikisha unakuw msaf wakat umeingia kulala


Mwisho saka msadizi wake kama yote hayatofanya kaz
 
A:- Mkuu hakikisha usiku unafanya zoez ruka ata kamba nusu saa oga ulale utapata usingz mzur sana achan na kuomba omba sex kwa mkeo yeye ndio atakuw anakuomba.,
B:- hakikisha unamtimizia mahitaji yake mengine hasa ya kisaikolojia (usimpe stress stress
C:- mkeo pia ale ashibe na alale mapema (wanawake wengi tulio waoa huhitaji ngono baada ya kulala usingz wa kwanza na kushtuka
B:- hakikisha unakuw msaf wakat umeingia kulala


Mwisho saka msadizi wake kama yote hayatofanya kaz
umeupiga mwingi sana,..👏👏👏
 
Ndoa mwaka wa kwanza Mme anaongea mke ana sikiliza,Mwaka wa pili mke anaongea mme ana sikiliza, Baada ya hapo wote wanaongea majirani wanasikiliza .
 
Back
Top Bottom