Nini chakufanya kwa mwanamke ambaye anataka kutawala mwanaume kwasababu ya ngono

Nini chakufanya kwa mwanamke ambaye anataka kutawala mwanaume kwasababu ya ngono

kuwa mwanaume wa kweli, kuwa mwanaume mwenye sauti ya mwisho ndani ya ndoa yako hii itakusaidia sana na changamoto kama hizo, inaonekana hauna sauti ya mwisho kwenye ndoa yako wakati wewe ni mwanaume.

tamaa za wanawake wengi wasio jielewa zipo kwa wanaume zao wanataka kuwatawala kwa njia yoyote hile yani kama vile hawajiamini hivi japo sio wanawake wote wapo hivi,

Niliona post kama hizi za wanaume wengine wakilalamika jambo kama lako nikaona wanaume wengi bado hawaja komaa kiakili alafu wame owa bado hawawajui wanawake ni watu wa aina gani hii inaweza kukuletea challenge nyingi ukiingia kwenye ndoa.

nashauri jitambue wewe ndio unapaswa kuamua kitu kama mtu wa mwisho kwenye ndoa kumbuka nyinyi ni mwili mmoja kwa sasa kuwa na sauti na mke wako mwambie hivi sio vizuri, mwambie hivi sitaki, mwambie hivi sipendi ikirudia hivi utanichukiza, kuwa na sauti ya mwisho alafu mwenye misimamo utaepuka vitu vingi sana.

Simaanishi uwe mwanaume wa kulalamika kwa mkeo ninaposema kuwa na sauti kuwa mtu wa kufanya maamuzi ya mwisho, sauti ya kulalamika haisadii ila sauti ya maamuzi ya.mwisho itakusaidia kaa chini mwenyewe panga hivi panga vile kisha toa maamuzi yako wewe ndio baba na ndio mwanaume.
 
Habari zenu wapendwa
Naombeni ushauri juu ya hali hii ambayo kidogo inanipa stress
Mimi nikijana nimeoa na nina mtoto mmoja
Lakini kuna hali fulani ambayo mke wangu anayo
Hali hiyo ni kutaka kunitawala kupitia madhaifu yangu
Amegundua kuwa ninapenda sex sana na ameanza kutumia njia hiyo kama njia fulani ya kutaka kuniendesha au kunitawala
Hakupendi huyo.. Angekupenda kwa dhati angekupa kila saa ule mpaka mifupa
 
Afya yake ya mwili na akili ipo sawa? Kama hivyo vitu vyote vipo sawa basi umeshindwa kufanya yeye aone utamu wa sex, humfikishi, humridhishi. Mwanamke kama kweli unamfikisha hawezi kukupa ratiba ya kufanya sex.
Hii inawezekana ikawa ni sababu na isiwe sababu vilevile!
 
Habari zenu wapendwa
Naombeni ushauri juu ya hali hii ambayo kidogo inanipa stress
Mimi nikijana nimeoa na nina mtoto mmoja
Lakini kuna hali fulani ambayo mke wangu anayo
Hali hiyo ni kutaka kunitawala kupitia madhaifu yangu
Amegundua kuwa ninapenda sex sana na ameanza kutumia njia hiyo kama njia fulani ya kutaka kuniendesha au kunitawala
Tafuta mrembo wakumsaidia majukumu labda anachoka au haumkuni ipasavyo
 
Habari zenu wapendwa
Naombeni ushauri juu ya hali hii ambayo kidogo inanipa stress
Mimi nikijana nimeoa na nina mtoto mmoja
Lakini kuna hali fulani ambayo mke wangu anayo
Hali hiyo ni kutaka kunitawala kupitia madhaifu yangu
Amegundua kuwa ninapenda sex sana na ameanza kutumia njia hiyo kama njia fulani ya kutaka kuniendesha au kunitawala
Mkuuu "Gusa achia twende kwako"....yeye hana nyegez?...tafuna papuchino nje ujitomb-eee...acha ufala.
 
Uchumi wako mzuri mpk unapenda sex muda wote??
 
Habari zenu wapendwa
Naombeni ushauri juu ya hali hii ambayo kidogo inanipa stress
Mimi nikijana nimeoa na nina mtoto mmoja
Lakini kuna hali fulani ambayo mke wangu anayo
Hali hiyo ni kutaka kunitawala kupitia madhaifu yangu
Amegundua kuwa ninapenda sex sana na ameanza kutumia njia hiyo kama njia fulani ya kutaka kuniendesha au kunitawala
ok,ok,ok, naamini umeoa mwanamke kutoka kanda za juu kusini[southen highlands],,,,huko wanatumia mfumo uitwao MATRILINIA SYSTEAM [mfumo jike] yaani mwanamke anatawala familia,na mimi pia yalinikuta,nimeoa ludewa,usifikiri ni maamuz yake ,ni mashinikizo kutoka kwa mashangazi,,,,,ok,,,,,ata wahindi wanawake ndo wenye nguvu,,,,,,na ndio wanaotoa mahari,,,mfumo mwingine unaitwa PATRILINIA SYSTEAM{mwanaume kuwa kiongozi wa familia] mfumo huu ndio halali,,,so cha kufanya mwache na mwanae sepa!!! alaf kaza kiakatili,mara nyingi wakishaona una msimamo mkali wanaelekea KIBLA!!!!......bahati yako wewe bado wewe ni kijana!!!" KOMAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA"
 
Fanya juu chini Kama miezi mitatu ivi usimuulize kuhusu ngono , yaani akiwa anajaribu kugusa mwambie kuwa unajisikia vibaya hauji vizuri,yaani na wewe zira , onyesha huna time, nakuambia utakuja kutoa ushuhuda hapa
 
Afya yake ya mwili na akili ipo sawa? Kama hivyo vitu vyote vipo sawa basi umeshindwa kufanya yeye aone utamu wa sex, humfikishi, humridhishi. Mwanamke kama kweli unamfikisha hawezi kukupa ratiba ya kufanya sex.
Sio rahisi hivyo
 
Habari zenu wapendwa
Naombeni ushauri juu ya hali hii ambayo kidogo inanipa stress
Mimi nikijana nimeoa na nina mtoto mmoja
Lakini kuna hali fulani ambayo mke wangu anayo
Hali hiyo ni kutaka kunitawala kupitia madhaifu yangu
Amegundua kuwa ninapenda sex sana na ameanza kutumia njia hiyo kama njia fulani ya kutaka kuniendesha au kunitawala
Ongea nae hasipo kusikia,pita nae pale Kitambaa Cheupe then akiiona wanawake wa pale pamoja na uzuri wote waliokuwa nao ila wanajiuza, naamini atakuelewa na kukuheshimu kwa kumchagua yy kama hakuelewi achana nae.
 
Uchumi wako mzuri mpk unapenda sex muda wote??
Sex si inaendana na saikolojia jamani, uchumi unahusikaje wakati mtu wanaye ndani?
Lust ya ngono hutokea muda wa mapumziko ambapo mtu anakuwepo home.
 
Habari zenu wapendwa
Naombeni ushauri juu ya hali hii ambayo kidogo inanipa stress
Mimi nikijana nimeoa na nina mtoto mmoja
Lakini kuna hali fulani ambayo mke wangu anayo
Hali hiyo ni kutaka kunitawala kupitia madhaifu yangu
Amegundua kuwa ninapenda sex sana na ameanza kutumia njia hiyo kama njia fulani ya kutaka kuniendesha au kunitawala
Bado hujatuweka wazi, ni kwa namna gani anaitumia hiyo njia kutaka kukutawala
 
Habari zenu wapendwa
Naombeni ushauri juu ya hali hii ambayo kidogo inanipa stress
Mimi nikijana nimeoa na nina mtoto mmoja
Lakini kuna hali fulani ambayo mke wangu anayo
Hali hiyo ni kutaka kunitawala kupitia madhaifu yangu
Amegundua kuwa ninapenda sex sana na ameanza kutumia njia hiyo kama njia fulani ya kutaka kuniendesha au kunitawala
Have your beautiful things but don't be imprisoned by them.. mwanaume anaweza kua na vitu anavyopenda lakini hayuko chini ya kitu chochote, yani hatawaliwi navyo bali anavitawala, wewe umeiacha principle, tawala ngono ! Atagundua hilo na atakuheshimu, na kila kitu kitarudi kwenye njia yake, wala hapana ushauri mwingi hapo
 
Pole sana
Wenzako najua watakuambia ufanyaje.. Watasema labda ana mtu nje au eeeh au haupendi kutoka moyoni na hakujali

Si umwambie asipokupa utampatia msaidizi au?
Kijana amekalia Barua ya promotion ya wenyewe!

Ampandishe cheo huyo mkewe awe Bi Mkubwa. Mambo yasiwe mengi
 
Back
Top Bottom