Nini chanzo cha Nyerere kugombana na Tuntemeke Sanga?

Nini chanzo cha Nyerere kugombana na Tuntemeke Sanga?

Uongo huwa una expire time…

umemsikia Jaji Mstaafu Mihayo wiki hii kwny maadhimisho ya wiki ya Mahakama akielezea kuachiwa huru kwa Babu Seya mtu ambae yeye ndie aliemhukumu Kifungo cha Maisha?

Hata ile story ya first brother kukamatwa china hadi Babake akaenda kwa siri bado haija expire kichwani kwako?


Dkt. Ulimboka
 
Jamaa alizurumu Sana mashamba na Mali za wananchi huko Kwao na mbeya

Jamaa aliwatapeli mpaka askari walikamata ka Land Rover kake
 
Jamaa alizurumu Sana mashamba na Mali za wananchi huko Kwao na mbeya

Jamaa aliwatapeli mpaka askari walikamata ka Land Rover kake
Kwahiyo matendo na matukio hayo ndio yalipelekea kutofautiana na Mchonga?
 
Ungefanya vyema kulisummarise Hilo gazet siyo wote wanaona kilicho andikwa
 
Uongo huwa una expire time…

umemsikia Jaji Mstaafu Mihayo wiki hii kwny maadhimisho ya wiki ya Mahakama akielezea kuachiwa huru kwa Babu Seya mtu ambae yeye ndie aliemhukumu Kifungo cha Maisha?

Hata ile story ya first brother kukamatwa china hadi Babake akaenda kwa siri bado haija expire kichwani kwako?
Ulichoquote ni uongo mpaka kiwe na expire time?
 
Na baada ya haya na kuwekwa kizuizini nyumbani kwake iliishia wapi? Tuntemeke Sanga je bado yupo hai?
 
Sikuwahi kukijua chanzo haswa ila ilisemekana Tumtemeke Sanga ndie Mtanzania wa kwanza kuwa na degree 5. Aliporudi nchini Mwalimu akamuita na kumuuliza ampangie kazi gani?. Jamaa akamjibu kutokana na usomi wangu, kazi pekee ninayoweza kufanya ni kuwa president wa Tanzania!. Na watu wenye kadigirii kamoja au viwili ni vilaza tuu!. Msomi ni kuanzia degree 3!. "Nchi haiwezi kuongozwa na vilaza wakati wasomi typo!"...kosa!.
P
Mdomo mali yake aliitumia kuwasilisha mawazo yake.
 
Issue kubwa ilikua ni Tuntemeke, kusoma Marekani kwa muda mrefu, aliamini kwamba siasa ya Ujamaa ni feki na haiwezi kuleta maendeleo na hakuwa akificha msimamo huo licha ya kuwa mwana-TANU iliyokuwa ikiamini katika Ujamaa.

Tuntemeke alieleza kwamba yeye ndio anafaa kuwa Rais hivyo Mwalimu NYERERE ampishe ili ailetee nchi maendeleo kwa falsafa za ubepari na abadili "mentality" ya wananchi wa Tanzania ambao wengi ni wavivu wapendao kujirusha na kuoneana wivu. TUNTE alidai shahada zake 7 zilimfanya awe na fikra sahihi za kuleta maendeleo kuliko Mwalimu aliyekuwa na shahada mbili tu na muumini wa ujamaa aliouona "unailostisha" nchi!.

Hiyo ilimkera mno Mwalimu ambaye, kwa kutumia "The Preventive Detention Act, 1962", alimsweka mara moja TUNTE kizuizini kijijiji kwake Bulongwa na kumuamuru kutotoka kijijini hapo hadi apate kibali maalumu.
Asante kwa darasa
 
Sikuwahi kukijua chanzo haswa ila ilisemekana Tumtemeke Sanga ndie Mtanzania wa kwanza kuwa na degree 5. Aliporudi nchini Mwalimu akamuita na kumuuliza ampangie kazi gani?. Jamaa akamjibu kutokana na usomi wangu, kazi pekee ninayoweza kufanya ni kuwa president wa Tanzania!. Na watu wenye kadigirii kamoja au viwili ni vilaza tuu!. Msomi ni kuanzia degree 3!. "Nchi haiwezi kuongozwa na vilaza wakati wasomi typo!"...kosa!.
P
Hahaahahah
 
nilifika bulongwa na kuona nyumba aliyokua anaishi huyu mwamba kwanza alijenga mwenyewe kwamkono wake mwenyewe kikubwa ujue kwamba inahandaki ndani ukiingilia mlango huu unatoke mwingine ,nilicheka sana
 
Uongo huwa una expire time…

umemsikia Jaji Mstaafu Mihayo wiki hii kwny maadhimisho ya wiki ya Mahakama akielezea kuachiwa huru kwa Babu Seya mtu ambae yeye ndie aliemhukumu Kifungo cha Maisha?

Hata ile story ya first brother kukamatwa china hadi Babake akaenda kwa siri bado haija expire kichwani kwako?
jaji mihayo alisemaje? nilipitwa na hii
 
Hakuna mtawala hasa wa Africa .. anatawala bila kutumiaa mkono wa chuma..

Sema tofauti Ni kwamba wengine wanafanya kwa Siri Sana na wengine yanajulikana!

Kuna raisi anasifika Sana humu lakini anaongoza kwa kutia saini za kunyongwa!
 
nilifika bulongwa na kuona nyumba aliyokua anaishi huyu mwamba kwanza alijenga mwenyewe kwamkono wake mwenyewe kikubwa ujue kwamba inahandaki ndani ukiingilia mlango huu unatoke mwingine ,nilicheka sana

BULONGWA ndio wapi?
 
Sikuwahi kukijua chanzo haswa ila ilisemekana Tumtemeke Sanga ndie Mtanzania wa kwanza kuwa na degree 5. Aliporudi nchini Mwalimu akamuita na kumuuliza ampangie kazi gani?. Jamaa akamjibu kutokana na usomi wangu, kazi pekee ninayoweza kufanya ni kuwa president wa Tanzania!. Na watu wenye kadigirii kamoja au viwili ni vilaza tuu!. Msomi ni kuanzia degree 3!. "Nchi haiwezi kuongozwa na vilaza wakati wasomi typo!"...kosa!.
P
Siamini sana karatasi ya degree inaweza kuongoza nchi. Wkt wa machifu walikuwa wanaongoza na maendeleo yalikuwa ni makubwa sana. Sidharu degree maana hata mimk ninzo mbili toka vyuo maarufu duniani. Uongozi bila hekima, busara na kusikiliza watu wanasema nini na nini umafanya kuwaletea maemdeleo hata una degree kumi haisadii. Nenda wizarani kuna wenye degree wengi lakini matokeo ni kidogo sana. Hivyo hatuhitaji degree tu na fikra hizi zinatufanya tushindwe kusonga mbele sana
 
Pia nasikia kuna Mbunge kutoka Tabora alitaka Nyerere apigiwe kura kwa kushindanishwa na mtu mwingine na sio kivuli.
 
Huyu Sanga angeweza kuishia kuwa kama dikteta Mugabe tu.
Issue kubwa ilikua ni Tuntemeke, kusoma Marekani kwa muda mrefu, aliamini kwamba siasa ya Ujamaa ni feki na haiwezi kuleta maendeleo na hakuwa akificha msimamo huo licha ya kuwa mwana-TANU iliyokuwa ikiamini katika Ujamaa.

Tuntemeke alieleza kwamba yeye ndio anafaa kuwa Rais hivyo Mwalimu NYERERE ampishe ili ailetee nchi maendeleo kwa falsafa za ubepari na abadili "mentality" ya wananchi wa Tanzania ambao wengi ni wavivu wapendao kujirusha na kuoneana wivu. TUNTE alidai shahada zake 7 zilimfanya awe na fikra sahihi za kuleta maendeleo kuliko Mwalimu aliyekuwa na shahada mbili tu na muumini wa ujamaa aliouona "unailostisha" nchi!.

Hiyo ilimkera mno Mwalimu ambaye, kwa kutumia "The Preventive Detention Act, 1962", alimsweka mara moja TUNTE kizuizini kijijiji kwake Bulongwa na kumuamuru kutotoka kijijini hapo hadi apate kibali maalumu.
 
Back
Top Bottom