Panzi Mbishi
JF-Expert Member
- Mar 8, 2021
- 2,231
- 2,904
[emoji23]Umefanya kosa sana kumuita huyo mzee mdini..utashangaa analeta story za babu zake akina duly sykes...bila kutaja uislamu na kuupunda ukristo kwake historia haijakamilika.
Hopeless kabisa..yule mzee kilizi.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Dkt. UlimbokaNyerere na 'Mama' ni kitu kimoja
Hawapendi kukosolewa
Jakaya na Mzee Ally Hassan ndio ma Rais pekee waliovumilia wakosoaji wao
Dkt. Ulimboka
Kwahiyo matendo na matukio hayo ndio yalipelekea kutofautiana na Mchonga?Jamaa alizurumu Sana mashamba na Mali za wananchi huko Kwao na mbeya
Jamaa aliwatapeli mpaka askari walikamata ka Land Rover kake
Ulichoquote ni uongo mpaka kiwe na expire time?Uongo huwa una expire time…
umemsikia Jaji Mstaafu Mihayo wiki hii kwny maadhimisho ya wiki ya Mahakama akielezea kuachiwa huru kwa Babu Seya mtu ambae yeye ndie aliemhukumu Kifungo cha Maisha?
Hata ile story ya first brother kukamatwa china hadi Babake akaenda kwa siri bado haija expire kichwani kwako?
Mdomo mali yake aliitumia kuwasilisha mawazo yake.Sikuwahi kukijua chanzo haswa ila ilisemekana Tumtemeke Sanga ndie Mtanzania wa kwanza kuwa na degree 5. Aliporudi nchini Mwalimu akamuita na kumuuliza ampangie kazi gani?. Jamaa akamjibu kutokana na usomi wangu, kazi pekee ninayoweza kufanya ni kuwa president wa Tanzania!. Na watu wenye kadigirii kamoja au viwili ni vilaza tuu!. Msomi ni kuanzia degree 3!. "Nchi haiwezi kuongozwa na vilaza wakati wasomi typo!"...kosa!.
P
Asante kwa darasaIssue kubwa ilikua ni Tuntemeke, kusoma Marekani kwa muda mrefu, aliamini kwamba siasa ya Ujamaa ni feki na haiwezi kuleta maendeleo na hakuwa akificha msimamo huo licha ya kuwa mwana-TANU iliyokuwa ikiamini katika Ujamaa.
Tuntemeke alieleza kwamba yeye ndio anafaa kuwa Rais hivyo Mwalimu NYERERE ampishe ili ailetee nchi maendeleo kwa falsafa za ubepari na abadili "mentality" ya wananchi wa Tanzania ambao wengi ni wavivu wapendao kujirusha na kuoneana wivu. TUNTE alidai shahada zake 7 zilimfanya awe na fikra sahihi za kuleta maendeleo kuliko Mwalimu aliyekuwa na shahada mbili tu na muumini wa ujamaa aliouona "unailostisha" nchi!.
Hiyo ilimkera mno Mwalimu ambaye, kwa kutumia "The Preventive Detention Act, 1962", alimsweka mara moja TUNTE kizuizini kijijiji kwake Bulongwa na kumuamuru kutotoka kijijini hapo hadi apate kibali maalumu.
HahaahahahSikuwahi kukijua chanzo haswa ila ilisemekana Tumtemeke Sanga ndie Mtanzania wa kwanza kuwa na degree 5. Aliporudi nchini Mwalimu akamuita na kumuuliza ampangie kazi gani?. Jamaa akamjibu kutokana na usomi wangu, kazi pekee ninayoweza kufanya ni kuwa president wa Tanzania!. Na watu wenye kadigirii kamoja au viwili ni vilaza tuu!. Msomi ni kuanzia degree 3!. "Nchi haiwezi kuongozwa na vilaza wakati wasomi typo!"...kosa!.
P
Mh sijui kama atajibu mzee wetu MS
jaji mihayo alisemaje? nilipitwa na hiiUongo huwa una expire time…
umemsikia Jaji Mstaafu Mihayo wiki hii kwny maadhimisho ya wiki ya Mahakama akielezea kuachiwa huru kwa Babu Seya mtu ambae yeye ndie aliemhukumu Kifungo cha Maisha?
Hata ile story ya first brother kukamatwa china hadi Babake akaenda kwa siri bado haija expire kichwani kwako?
nilifika bulongwa na kuona nyumba aliyokua anaishi huyu mwamba kwanza alijenga mwenyewe kwamkono wake mwenyewe kikubwa ujue kwamba inahandaki ndani ukiingilia mlango huu unatoke mwingine ,nilicheka sana
Siamini sana karatasi ya degree inaweza kuongoza nchi. Wkt wa machifu walikuwa wanaongoza na maendeleo yalikuwa ni makubwa sana. Sidharu degree maana hata mimk ninzo mbili toka vyuo maarufu duniani. Uongozi bila hekima, busara na kusikiliza watu wanasema nini na nini umafanya kuwaletea maemdeleo hata una degree kumi haisadii. Nenda wizarani kuna wenye degree wengi lakini matokeo ni kidogo sana. Hivyo hatuhitaji degree tu na fikra hizi zinatufanya tushindwe kusonga mbele sanaSikuwahi kukijua chanzo haswa ila ilisemekana Tumtemeke Sanga ndie Mtanzania wa kwanza kuwa na degree 5. Aliporudi nchini Mwalimu akamuita na kumuuliza ampangie kazi gani?. Jamaa akamjibu kutokana na usomi wangu, kazi pekee ninayoweza kufanya ni kuwa president wa Tanzania!. Na watu wenye kadigirii kamoja au viwili ni vilaza tuu!. Msomi ni kuanzia degree 3!. "Nchi haiwezi kuongozwa na vilaza wakati wasomi typo!"...kosa!.
P
Issue kubwa ilikua ni Tuntemeke, kusoma Marekani kwa muda mrefu, aliamini kwamba siasa ya Ujamaa ni feki na haiwezi kuleta maendeleo na hakuwa akificha msimamo huo licha ya kuwa mwana-TANU iliyokuwa ikiamini katika Ujamaa.
Tuntemeke alieleza kwamba yeye ndio anafaa kuwa Rais hivyo Mwalimu NYERERE ampishe ili ailetee nchi maendeleo kwa falsafa za ubepari na abadili "mentality" ya wananchi wa Tanzania ambao wengi ni wavivu wapendao kujirusha na kuoneana wivu. TUNTE alidai shahada zake 7 zilimfanya awe na fikra sahihi za kuleta maendeleo kuliko Mwalimu aliyekuwa na shahada mbili tu na muumini wa ujamaa aliouona "unailostisha" nchi!.
Hiyo ilimkera mno Mwalimu ambaye, kwa kutumia "The Preventive Detention Act, 1962", alimsweka mara moja TUNTE kizuizini kijijiji kwake Bulongwa na kumuamuru kutotoka kijijini hapo hadi apate kibali maalumu.