Nyerere na 'Mama' ni kitu kimoja
Hawapendi kukosolewa
Jakaya na Mzee Ally Hassan ndio ma Rais pekee waliovumilia wakosoaji wao
Huenda jamaa angeshika nchi, uchumi wetu ungekuwa juu kuliko Kenya.
Sidhani kama unakosa 55+ nikusalimu tu, Baba shikamo.Ni kweli kabisa mkuu,haya middle class wa kitanzania wa sasa hata mada muhimu inayotakiwa kujibiwa kwa facts na kujadiliwa kwa uwazi wa ukweli wanaleta utoto wa kishenzi,wote hawa wametangulia mbele ya haki na hawana uwezo tena wa kujibia tuhuma kama hizi za kukosa ustaaarabu,namkumbuka mno Mh.T.M.N.Sanga(rip)wakati wa mijadala ya Bunge pale Karimjee Hall,kichwa hiki kikisimama kuongea nje ya ukumbi kila mtu kimya na Bunge zima kimyaaa,missing big time kipindi kile
Thanks good innings nhe!Sidhani kama unakosa 55+ nikusalimu tu, Baba shikamo.
Marehemu alikuwa na shida sanaHahahah..
Huyu jamaa angesema haya kwa jamaa yetu mmoja aliyetutoka asingevuta pumzi hii ya dunia masaa matatu baada ya kuitoa hiyo kauli.
Mzee huyu jau sana. Daily ni abdul Sykes na uislamu [emoji706][emoji1005]Umefanya kosa sana kumuita huyo mzee mdini..utashangaa analeta story za babu zake akina duly sykes...bila kutaja uislamu na kuupunda ukristo kwake historia haijakamilika.
Hopeless kabisa..yule mzee kilizi.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Yupi huyo?Kama yule multi sectoral aliyegombea uspika angepita, Samia angekoma!.
P
Nadhani alitolewa kizuizini ila sijui alitolewa wakati gani. Wakati wa Mwinyi alikuwa mbunge. Ameshafariki.Na baada ya haya na kuwekwa kizuizini nyumbani kwake iliishia wapi? Tuntemeke Sanga je bado yupo hai?
MaketeBULONGWA ndio wapi?
Mwamba gani huyo alijitoa mhanga? Hakuwekwa kizuizini naye?Pia nasikia kuna Mbunge kutoka Tabora alitaka Nyerere apigiwe kura kwa kushindanishwa na mtu mwingine na sio kivuli.
Nguzo Kuu Kwa mtu msomi nikusema ukweli tuntemeke alimudu ,mtu unamwita umpangie KAZI harafu jibu kinyume chake sio KAZI ndogoMzee alijiamini!
Kuna mdada alikuwa ana date na mkuu, Tunteneke naye alikuwa anafukuzia goma hilohilo, Mkinga alikuwa na degree 7 Mzanaki 2, kamaa akabeba demu.
Akaambulia kuwekwa kizuizini Bulongwa na hakuruhusiwa kuingia tena jijini Dar