Nini chanzo cha raia wengi wa Nigeria kuwa matapeli wa kimataifa waliokubuhu duniani?

Nini chanzo cha raia wengi wa Nigeria kuwa matapeli wa kimataifa waliokubuhu duniani?

Raia wengi wa Nigeria wamekuwa wakihusishwa na utapeli kila kona ya dunia kuanzia nchi za Africa, Uarabuni, Ulaya hadi Marekani.

Kwa nini Nigeria imekuwa ikizalisha matapeli wengi hivi wa kimata8fa tofauti na nchi nyingine za Africa?!
Utapeli ni kama kipaji huko Nigeria?!
They're just hustlers and nothing more, kama ulimaliza chuo na kuajiriwa hauwezi kuelewa ninachomaanisha. Tunaishi nao na tupo nao kwenye mapambano, akili zao ni za kawaida kabisa ila aggressiveness na network yao(hakuna nchi duniani ambayo haina Nigerians hata visiwa vidogo vyenye population of less than five hundred thousand) ni kubwa mno, hawaogopi jela wala kufa wakati wakiwa kwenye utafutaji.💪💪
 
Utapeli wao wanafanya wapi?
Wamarekani utapeli wao wanafanyika nchini kwao .Wa-Nigeria wao wanafanya kila kona ya dunia, hadi kwa wabahili India!
 
Raia wengi wa Nigeria wamekuwa wakihusishwa na utapeli kila kona ya dunia kuanzia nchi za Africa, Uarabuni, Ulaya hadi Marekani.

Kwa nini Nigeria imekuwa ikizalisha matapeli wengi hivi wa kimata8fa tofauti na nchi nyingine za Africa?!
Utapeli ni kama kipaji huko Nigeria?!
Wa Nigeria wanakadiriwa kuwa milioni 225, katika nchi yenye eneo kama Tanzania ambayo haina ardhi nzuri kama Tanzania.

Tanzania covers around 947,300 square kilometers, Nigeria covers approximately 923,768 square kilometers, making Tanzania marginally bigger.

Wengi hawana elimu rasmi nzuri na wameachwa nyuma sana na serikali yao.

Unategemea nini hapo kama si utapeli?

Hata sisi tubaelekea huko huko.
 
China wengi sana na sasa wanamiliki viwanda Watz hasa mademu kujiuza tu na vitako hivyo vya kibongo wanaona dili sababu wachina hawana tako
 
Marekani na Ulaya hamna matapeli ?
Wako wengi na utapeli wao ni wa kiwango kikubwa sana tofauti na matapeli wa kutoka Africa, white-collar crime Africa iko kwa kiwango kidogo sana ukilinganisha na kwenye mabara mengine.
 
Wa Nigeria wanakadiriwa kuwa milioni 225, katika nchi yenye eneo kama Tanzania ambayo haina ardhi nzuri kama Tanzania.

Tanzania covers around 947,300 square kilometers, Nigeria covers approximately 923,768 square kilometers, making Tanzania marginally bigger.

Wengi hawana elimu rasmi nzuri na wameachwa nyuma sana na serikali yao.

Unategemea nini hapo kama si utapeli?

Hata sisi tubaelekea huko huko.
Nigeria nao wanafyatuana sana, kumbe tumewazidi eneo lakini idadi yao ni karibia mara nne yetu! Hapo lazima nchi iwe na mshike mshike
 
Raia wengi wa Nigeria wamekuwa wakihusishwa na utapeli kila kona ya dunia kuanzia nchi za Africa, Uarabuni, Ulaya hadi Marekani.

Kwa nini Nigeria imekuwa ikizalisha matapeli wengi hivi wa kimata8fa tofauti na nchi nyingine za Africa?!
Utapeli ni kama kipaji huko Nigeria?!
Wamesoma sana kazi ya kuajiriwa hamna.
unaambiwa huko raia wa kawaida elimu yake ni degree
 
Sijaona Mmarekani akienda kufanya utapeli Kenya au South Africa.
Wapo, hata Tanzania huwa wanaokuja wanapiga wanasepa. Baadhi huwa wanakamatwa ila network zao ni kubwa most of the time huwa hawawi convicted, kama hauishi katika huo mfumo(underworld) it's not easy to know sarakasi za hustling zinavyofanyika.
 
Niujinga kuwasifia wana hari ngumu yakimaisha wengi wao wanazamia sana nchi za magharini uarabuni hawawataki hata bure
 
Watu wengi waliosoma , kazi chache, huduma mbovu za kijamii , eneo finyu , ufisadi mkubwa wa serikali huo ndio unawafanya Nigerians utawakuta karibia kila pande ya dunia kwenda kutafuta "green pastures" wana neno moja hulitumia kuhamasisha kukimbia Nigeria linaitwa " JAPA" maana yake kutoweka /kutoroka.

Mazuri yao ni wachapakazi sana na wenye umoja wa kweli wanapokutana huko duniani.
 
Back
Top Bottom