Nini chanzo cha ugomvi wa January Makamba na Musukuma?

Nini chanzo cha ugomvi wa January Makamba na Musukuma?

sifi leo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,182
Reaction score
8,948
Kwa aliyefatilia kikao cha Jana cha Bunge atakuwa amepata picha kile ninachojaribu kuelezea hapa.

Musukuma anamtupitia mashambulizi makali Mh Makamba kwa kutoa ushahidi wa kile alichokuwa anakiona wakati akiwa mjumbe wa kamati ya nishati kwa miaka 6 sasa.

Na Makamba anajibu mashambulizii kisomi na kitaalamu zaidi lakini mwisho wa majibu yake anamwambia Musukuma

"Kama una shida na uwaziri, sema mengine ila kama shida ni ukatikaji wa umeme ilo sio tatizo langu."

Kwa kauli ya Makamba na Musukuma inaonesha hawa watu hawako kwenye good term Liko jambo linafukuta kati ya watu hawa wawili.

Ikumbukwe Makamba ni Waziri kwa miezi minne tu, ila Musukuma ni mjumbe wa kamati kwa miaka 6, kwanini anayoelezea Makamba kamati haiyajui? Au ni makusudi ya wasukuma kujiziba masikio?

Au ni chuki maana nasikia Makamba hatoi bahasha kwa wajumbe wa kamati wakija. Kumtembelea?

Musukuma anasema Makamba anapanda Elikopita kukagua mabwawa wakati yeye anaendaga na baiskeli.

Nini kinaendelea kati ya Musukuma na Makamba?
 
Msukuma anajisumbua, Makamba ni mwakilishi wa Rais katika Wizara husika sasa kumshambulia ni kutaka chokochoko nyingine kwa aliyemteua.

Hoja za Msukuma hazina mashiko zaidi ya mashambulizi personal - huyu aingie kwenye vikao vyetu vya chama tumuweke sawa maana tukimwacha atazidi kupotosha umma wa watanzania kuhusu mradi huu nyeti.
 
Wewe unataka kumtetea Makamba inaonekana.

Ni nani anafurahia utendaji wa Makamba? Utendaji ni kukata umeme kwa visingizio lukuki? Walisema maji, Mungu si Athumani, akaleta mvua. Sasa ndio wakaja na visingizio vya maintanance.

Anataka apewe miaka 4 kama vile ndio tumepata uhuru? Kwanini anataka kukata connection ya regime hii na nyingine?
Serikali haikatiki.

Halafu anadhani kila mtu anapenda madaraka kama yeye. Akiulizwa wajibu wake, anakimbilia kwenye madaraka.
Awajibu. Hakuna wa kudumu kwenye siasa.

Hakuna mwenye hati miliki ya uongozi. Uongozi ni dhamana.
 
Msukuma anajisumbua, Makamba ni mwakilishi wa Rais katika Wizara husika sasa kumshambulia ni kutaka chokochoko nyingine kwa aliyemteua...
Mradi gani msukuma anazungumzia ukatikaji wa umeme? Ondoa bangi za UVCCM kwenye bandiko langu kama mnavikao mbona mijitu inaiba pesa kwenye halimashauri na yote ni miajiliwa ya mfumo mmmfu wa CCM na mingine miteule ya Raisi wa CCM, nyinyi ni mijizi
 
Kwa kifupi kabisa huyu mtu anaitwa Musukuma ni mtu wa hovyo sana na mpenda fitina za kijinga. Ameumiza watu wengi kwa fitina zake za hovyo. Naamini watawala wameelewa uhuni wake. Niishie hapo, inatosha.
 
Wewe unataka kumtetea Makamba inaonekana.

Ni nani anafurahia utendaji wa Makamba? Utendaji ni kukata umeme kwa visingizio lukuki? Walisema maji, Mungu si Athumani, akaleta mvua. Sasa ndio wakaja na visingizio vya maintanance.

Anataka apewe miaka 4 kama vile ndio tumepata uhuru? Kwanini anataka kukata connection ya regime hii na nyingine?
Serikali haikatiki.

Halafu anadhani kila mtu anapenda madaraka kama yeye. Akiulizwa wajibu wake, anakimbilia kwenye madaraka.
Awajibu. Hakuna wa kudumu kwenye siasa.

Hakuna mwenye hati miliki ya uongozi. Uongozi ni dhamana.
Kaka hata Mimi simtetei hata mara moja Makamba anapwaya na mm ilo nalijua sijaona yyte aliye sawa ndani ya ccm nisamehe kaka wote nawaona nyama ya nyamanzu
 
Ulivyoandika tu kwa mtu ambae ana akili kidogo tu anajua uko biased tayari . Unamtetea makamba, toka awe waziri umeme ni kukatika tu ana faida gani?, pia anaonekana wazi kuhujumu bwawa la Nyerere kwa visingizo visivyokuwa na maana yoyote...hamna waziri hapo zaidi ya hisani.
 
Mradi gani msukuma anazungumzia ukAtikaji wa umeme?ondoa bangi za uccm kwenye bandiko langu kama mnavikao mbona mijitu inaiba pesa kwenye halimashauri na yote ni miajiliwa ya mfumo mmmfu wa ccm na mingine miteule ya Raisi wa ccm,nyinyi ni mijizi
Kumbe wewe ni mpuuzi, bisha
 
Makamba hawezi kuwa mtendaji mzuri kwenye hii serikali. Toka serikali ya awamu ya tano iingie madarakani, novemba 5, 2015; Makamba Jr alikuwa na matarajio ya madaraka makubwa pamoja na udogo wake kiumri wakati ule na hata sasa.

Makamba alitarajia apate uwaziri Mkuu lakini akitaka minimum ya waziri wa mambo ya nje. Mambo hayakumwendea vizuri. Aliishia kuwa waziri wa nchi; OMR, Muungano na Mazingira.

Hata baada ya JPM kufariki, akarejesha matumaini yake ya kurudi kwenye baraza la mawaziri. Na bado akawa na matumaini makubwa ya kuwa PM au Waziri wa mambo ya nje. Na bado haijatokea.

Makamba ana tamaa ya madaraka. Hataki wizara inayomdemand yeye kudeliver. Anataka madaraka makubwa ua wizara ya kuuza sura kama hiyo ya Foreign Affairs.

Hapo alipo hana furaha kabisa.

Na bado Makamba anataka kuwa Rais mapema iwezekanavyo. Sasa anashangaa mama anataka kuendelea 2025-2030.

Na kuondoa uwezekano wa yeye kuwa Rais kabla ya 2040. Hii ni kwa sababu baada ya mama, kwa tamaduni na desturi za CCM 2030 watatuletea MKOLOSAI.

Hayo yote yanamchanganya Makamba Jr.

Wapenda madaraka sio watu. Mama anatakiwa kuwa makini.

Mbaya zaidi Mtu anapenda madaraka na bado ana tamaa ya kuwa Super Rich.

Makamba ni mtu wa kumuondoa kwenye cabinet. Abaki back bencher. Apange harakati zake akiwa back bencher.
 
January ni mtoto wa mjini ifike pahali Msukuma atulie kwanza,watoto wa mjini wapo kwenye system acha wafanye ya kwao.
mama Samia ndo kamteua Makamba na anajua kinachotakiwa kifanyike kwenye swala la umeme.
 
Kwa aliyefatilia kikao cha Jana cha Bunge atakuwa amepata picha kile ninachojaribu kuelezea hapa.

Musukuma anamtupitia mashambulizi makali Mh Makamba kwa kutoa ushahidi wa kile alichokuwa anakiona wakati akiwa mjumbe wa kamati ya nishati kwa miaka 6 sasa.

Na Makamba anajibu mashambulizii kisomi na kitaalamu zaidi lakini mwisho wa majibu yake anamwambia Musukuma

" Kama una shida na uwaziri, sema mengine ila kama shida ni ukatikaji wa umeme ilo sio tatizo langu."

Kwa kauli ya Makamba na Musukuma inaonesha hawa watu hawako kwenye good term Liko jambo linafukuta kati ya watu hawa wawili.

Ikumbukwe Makamba ni Waziri kwa miezi minne tu, ila Musukuma ni mjumbe wa kamati kwa miaka 6, kwanini anayoelezea Makamba kamati haiyajui? Au ni makusudi ya wasukuma kujiziba masikio?

Au ni chuki maana nasikia Makamba hatoi bahasha kwa wajumbe wa kamati wakija. Kumtembelea?

Musukuma anasema Makamba anapanda Elikopita kukagua mabwawa wakati yeye anaendaga na baiskeli.

Nini kinaendelea kati ya Musukuma na Makamba?
Sikiliza hapa ili ujione ulivyo mpuuzi
View attachment 2120805
 

Attachments

  • 4846784-5f4ef98e9480301e188211befea5e4bf.mp4
    10.7 MB
Kwa kifupi kabisa huyu mtu anaitwa Musukuma ni mtu wa hovyo sana na mpenda fitina za kijinga. Ameumiza watu wengi kwa fitina zake za hovyo. Naamini watawala wameelewa uhuni wake. Niishie hapo, inatosha.
Uko sahihi 100%, ni mjinga mmoja hivi, mla rushwa bahati mbaya mfumo wetu unaruhusu wapuuzi kama yeye kushika nafasi hizo za maamuzi.
 
Makamba hawezi kuwa mtendaji mzuri kwenye hii serikali. Toka serikali ya awamu ya tano iingie madarakani, novemba 5, 2015; Makamba Jr alikuwa na matarajio ya madaraka makubwa pamoja na udogo wake kiumri wakati ule na hata sasa.
Makamba alitarajia apate uwaziri Mkuu lakini akitaka minimum ya waziri wa mambo ya nje. Mambo hayakumwendea vizuri. Aliishia kuwa waziri wa nchi; OMR, Muungano na Mazingira.
Hata baada ya JPM kufariki, akarejesha matumaini yake ya kurudi kwenye baraza la mawaziri. Na bado akawa na matumaini makubwa ya kuwa PM au Waziri wa mambo ya nje. Na bado haijatokea.
Makamba ana tamaa ya madaraka. Hataki wizara inayomdemand yeye kudeliver. Anataka madaraka makubwa ua wizara ya kuuza sura kama hiyo ya Foreign Affairs.
Hapo alipo hana furaha kabisa.
Na bado Makamba anataka kuwa Rais mapema iwezekanavyo. Sasa anashangaa mama anataka kuendelea 2025-2030.
Na kuondoa uwezekano wa yeye kuwa Rais kabla ya 2040. Hii ni kwa sababu baada ya mama, kwa tamaduni na desturi za CCM 2030 watatuletea MKOLOSAI.
Hayo yote yanamchanganya Makamba Jr.
Wapenda madaraka sio watu. Mama anatakiwa kuwa makini.
Mbaya zaidi Mtu anapenda madaraka na bado ana tamaa ya kuwa Super Rich.

Makamba ni mtu wa kumuondoa kwenye cabinet. Abaki back bencher. Apange harakati zake akiwa back bencher.
Aiseee umemaliza kazi.kuna mengine hujayaweka kwasababu ya confidential
 
Kwa aliyefatilia kikao cha Jana cha Bunge atakuwa amepata picha kile ninachojaribu kuelezea hapa.

Musukuma anamtupitia mashambulizi makali Mh Makamba kwa kutoa ushahidi wa kile alichokuwa anakiona wakati akiwa mjumbe wa kamati ya nishati kwa miaka 6 sasa.

Na Makamba anajibu mashambulizii kisomi na kitaalamu zaidi lakini mwisho wa majibu yake anamwambia Musukuma

" Kama una shida na uwaziri, sema mengine ila kama shida ni ukatikaji wa umeme ilo sio tatizo langu."

Kwa kauli ya Makamba na Musukuma inaonesha hawa watu hawako kwenye good term Liko jambo linafukuta kati ya watu hawa wawili.

Ikumbukwe Makamba ni Waziri kwa miezi minne tu, ila Musukuma ni mjumbe wa kamati kwa miaka 6, kwanini anayoelezea Makamba kamati haiyajui? Au ni makusudi ya wasukuma kujiziba masikio?

Au ni chuki maana nasikia Makamba hatoi bahasha kwa wajumbe wa kamati wakija. Kumtembelea?

Musukuma anasema Makamba anapanda Elikopita kukagua mabwawa wakati yeye anaendaga na baiskeli.

Nini kinaendelea kati ya Musukuma na Makamba?
Wapinzani wamwatuchelewesha sana Maendeleo kwa kuwa wamebaki Kijani UMEME HAUTAKATIKA KAMWE

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom