Nini chanzo cha ugomvi wa January Makamba na Musukuma?

Nini chanzo cha ugomvi wa January Makamba na Musukuma?

Musukuma is low brain anayetaka kujionesha kuwa ana akili kubwa.
 
Ulivyoandika tu kwa mtu ambae ana akili kidogo tu anajua uko biased tayari . Unamtetea makamba, toka awe waziri umeme ni kukatika tu ana faida gani?, pia anaonekana wazi kuhujumu bwawa la Nyerere kwa visingizo visivyokuwa na maana yoyote...hamna waziri hapo zaidi ya hisani.
Mambo mengine, hata kama hatumpendi mtu, tufanye argument kuonesha tuna akili timamu. Kukatika kwa umeme - hivi huyo Makamba amekuwa technician au electrical engineer ambaye huwa anaenda kukata umeme?
 
Hawagombani bali wanafanya siasa!

Msukuma ni mfanyabiashara.
Kati ya watu wa hovyo kabisa hapa Tanzania, mmoja ni Musukuma. Nenda huko Geita, utasikia fitina zake. Wenyewe wanamwita ni msema hovyo, na huwatishia watu kuwa atawasema hovyo.

Siridhishwi kabisa na utendaji wa TANESCO, lakini siamini kabisa kuwa eti Musukuma anaweza kwa na brain ya kuchangia chochote kututoa mahali tulipo.
 
Waziri January Makamba anatosha ule wakati wa propaganda umepita acheni chuki na fitina hamtafika popote sana sana ni kupata pressure bure na kuitibu kwa gharama kubwa.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Kwa aliyefatilia kikao cha Jana cha Bunge atakuwa amepata picha kile ninachojaribu kuelezea hapa.

Musukuma anamtupitia mashambulizi makali Mh Makamba kwa kutoa ushahidi wa kile alichokuwa anakiona wakati akiwa mjumbe wa kamati ya nishati kwa miaka 6 sasa.

Na Makamba anajibu mashambulizii kisomi na kitaalamu zaidi lakini mwisho wa majibu yake anamwambia Musukuma

" Kama una shida na uwaziri, sema mengine ila kama shida ni ukatikaji wa umeme ilo sio tatizo langu."

Kwa kauli ya Makamba na Musukuma inaonesha hawa watu hawako kwenye good term Liko jambo linafukuta kati ya watu hawa wawili.

Ikumbukwe Makamba ni Waziri kwa miezi minne tu, ila Musukuma ni mjumbe wa kamati kwa miaka 6, kwanini anayoelezea Makamba kamati haiyajui? Au ni makusudi ya wasukuma kujiziba masikio?

Au ni chuki maana nasikia Makamba hatoi bahasha kwa wajumbe wa kamati wakija. Kumtembelea?

Musukuma anasema Makamba anapanda Elikopita kukagua mabwawa wakati yeye anaendaga na baiskeli.

Nini kinaendelea kati ya Musukuma na Makamba?
Uko biased kabisa kwenye hoja yako
 
Kati ya watu wa hovyo kabisa hapa Tanzania, mmoja ni Musukuma. Nenda huko Geita, utasikia fitina zake. Wenyewe wanamwita ni msema hovyo, na huwatishia watu kuwa atawasema hovyo.

Siridhishwi kabisa na utendaji wa TANESCO, lakini siamini kabisa kuwa eti Musukuma anaweza kwa na brain ya kuchangia chochote kututoa mahali tulipo.
Msukuma ameomba Tanesco wapeleke schedule bungeni kuonyesha kama kweli mitambo haikufanyiwa service kwa miaka 5 mfululizo.

Sioni tatizo hapo bwashee!
 
Hapa nimejifunza kwamba Elimu ni kitu muhimu sana katika maisha ya mwanadamu.
 
January ni mtoto wa mjini ifike pahali Msukuma atulie kwanza,watoto wa mjini wapo kwenye system acha wafanye ya kwao.
mama Samia ndo kamteua Makamba na anajua kinachotakiwa kifanyike kwenye swala la umeme.

Nani mtoto wa mjini kakulia Bukoba na usambaani huyo. Husidhalilishe wa watoto wa mjini kama JK
 
Kwa aliyefatilia kikao cha Jana cha Bunge atakuwa amepata picha kile ninachojaribu kuelezea hapa.

Musukuma anamtupitia mashambulizi makali Mh Makamba kwa kutoa ushahidi wa kile alichokuwa anakiona wakati akiwa mjumbe wa kamati ya nishati kwa miaka 6 sasa.

Na Makamba anajibu mashambulizii kisomi na kitaalamu zaidi lakini mwisho wa majibu yake anamwambia Musukuma

" Kama una shida na uwaziri, sema mengine ila kama shida ni ukatikaji wa umeme ilo sio tatizo langu."

Kwa kauli ya Makamba na Musukuma inaonesha hawa watu hawako kwenye good term Liko jambo linafukuta kati ya watu hawa wawili.

Ikumbukwe Makamba ni Waziri kwa miezi minne tu, ila Musukuma ni mjumbe wa kamati kwa miaka 6, kwanini anayoelezea Makamba kamati haiyajui? Au ni makusudi ya wasukuma kujiziba masikio?

Au ni chuki maana nasikia Makamba hatoi bahasha kwa wajumbe wa kamati wakija. Kumtembelea?

Musukuma anasema Makamba anapanda Elikopita kukagua mabwawa wakati yeye anaendaga na baiskeli.

Nini kinaendelea kati ya Musukuma na Makamba?
Sasa we popoma umekuja kumkandia msukuma huku au umekuja na mamda watu wadiscus! Sa zingine utumie akili kufikiri kabla hujaja kutoa uharoo wako humu! Makamba anajibu kisomi! Majibu yapi hayo? Tena majibu ya kipuuzi kabisa! Mwanzo alisema mabwawa yamekauka..akaja akasema mitambo inafanyiwa maintenence..sasa hv anasema tuwape muda! Huo ni usomi au usokwe!!
Toeni upuuzi wenu humu! Nchi ikishashikwa na waswahil wasiojua wanaelekea wapi ndo shida inaanzia hapo! Shwani kabisaa!
 
Msukuma anajisumbua, Makamba ni mwakilishi wa Rais katika Wizara husika sasa kumshambulia ni kutaka chokochoko nyingine kwa aliyemteua.

Hoja za Msukuma hazina mashiko zaidi ya mashambulizi personal - huyu aingie kwenye vikao vyetu vya chama tumuweke sawa maana tukimwacha atazidi kupotosha umma wa watanzania kuhusu mradi huu nyeti.
Chama!! Kuna chama hapo! Wachumia tumbo wakubwaa nyie! Wanafk msiovumilika!
 
Mambo mengine, hata kama hatumpendi mtu, tufanye argument kuonesha tuna akili timamu. Kukatika kwa umeme - hivi huyo Makamba amekuwa technician au electrical engineer ambaye huwa anaenda kukata umeme?
Siwezi kufikiri kama wewe, sababu uwezo wako wa fikra unaonekana mdogo, kwann kipindi kabla ya JPm kuwa Rais tulikuwa na tatizo kubwa la kukatika umeme,? Baada ya kuwa Rais likapotea na Sasa limerudi? magufuli alikuwa technician? Huwa sihangaiki kijibu wajinga, you're an exception.
 
Kwa aliyefatilia kikao cha Jana cha Bunge atakuwa amepata picha kile ninachojaribu kuelezea hapa.

Musukuma anamtupitia mashambulizi makali Mh Makamba kwa kutoa ushahidi wa kile alichokuwa anakiona wakati akiwa mjumbe wa kamati ya nishati kwa miaka 6 sasa.

Na Makamba anajibu mashambulizii kisomi na kitaalamu zaidi lakini mwisho wa majibu yake anamwambia Musukuma

" Kama una shida na uwaziri, sema mengine ila kama shida ni ukatikaji wa umeme ilo sio tatizo langu."

Kwa kauli ya Makamba na Musukuma inaonesha hawa watu hawako kwenye good term Liko jambo linafukuta kati ya watu hawa wawili.

Ikumbukwe Makamba ni Waziri kwa miezi minne tu, ila Musukuma ni mjumbe wa kamati kwa miaka 6, kwanini anayoelezea Makamba kamati haiyajui? Au ni makusudi ya wasukuma kujiziba masikio?

Au ni chuki maana nasikia Makamba hatoi bahasha kwa wajumbe wa kamati wakija. Kumtembelea?

Musukuma anasema Makamba anapanda Elikopita kukagua mabwawa wakati yeye anaendaga na baiskeli.

Nini kinaendelea kati ya Musukuma na Makamba?
"Makamba anapanda helikopta, yeye anatembelea baiskeli"

Shid ainaanzia hapa. Msukuma maybe ana good point but wrong approach.
Na approach yake inaonyesha he thinks small
 
  • Thanks
Reactions: Tui
🤌Makamba ni mpigaji tangu day one!

[emoji871]Ameongea porojo kibao za kutaka kutuonyesha uzito na umuhimu wa maintenance.

[emoji871]Lakini Mh Musukuma alikwishaomba TANESCO walete Maintenance schedule ili bunge lijiridhishe kama baadhi ya maintenance hazikuwa zikifanyika.

[emoji871]Ameongea kuhusu baadhi ya njia za umeme kutokidhi uwezo wa mahitaji ya wateja huko Site.
Je hiyo ndiyo isababishe kuukata umeme nchi nzima?

[emoji871]Anachokijua na kukifanyia kazi yeye, ni kuzalisha miradi ndani ya TANESCO ambayo itamzalishia uwezekano wa 10%.

[emoji871]Anajibu wabunge kwa kiburi kama vile yeye na Samia lao ni moja.
Hii ni kibri ya kupewa kutoka msoga!

[emoji871]Amejibu nusu tu ya tuhuma za MusuKuma

[emoji871]Mbona ameongelea miradi ya nyaya na uwezo wake wa kubeba umeme tu.

[emoji871]Hakuna alipoongelea hoja nzito kuhusu kusuasua kwa JHNP pamoja na kuwa serikali imekwishalipa pesa kwa asilimia kubwa?

[emoji871]Huyu ndie atakuwa kichocheo cha wananchi kumnyima kura Samia kwa wingi na kwa hasira.

[emoji871]Tulikwisha sahau majibu ya kebehi kutoka kwa wabunge.

[emoji871]Ila kwa hii serikali ya was*ahili.

[emoji871]Tumerudishwa 1995!

[emoji145]Muda utaongea soon.....
 
Uko sahihi 100%, ni mjinga mmoja hivi, mla rushwa bahati mbaya mfumo wetu unaruhusu wapuuzi kama yeye kushika nafasi hizo za maamuzi.
Umenena kweli. Wa hovyo, anawajengea watu wengine fitina akinyimwa anachokitaka.
 
Halafu mtu kama chinembe anapotosha kuwa alisema Bwawa limejengwa sub standard! What a shame! Msukuma hapa kasema ukweli maana ngo la Makamba ni kuua legacy ya JPM na kuhakikisha wanarudisha magenerator ili JK aendelee kuifisadi hii nchi
Wanataka Dili za umeme wa gas uliojaa ufisadi, Makamba kwasasa simuamini kabisa Hana chembe ya uzalendo anawaza kumfurahisha aliyempigia debe akaupata uwaziri
 
Simtetei Msukuma, wala simlaumu Makamba; nipo interested na mchango wako; naomba kujua ni lini Msukuma aliwahi kuongea UONGO!? I mean ni lini aliwahi kumsingizia mtu (nimesema mtu, sio taasisi au kampuni ). Huaga simkubali sana Msukuma but ningependa kupata proves za when jamaa aliongea uongo kumuhusu mtu.
Take my words, huyo ni mtu wa hovyo na muongo. Sina haja kutoa ushahidi hapa. Pia nami siyo kwamba namtetea Makamba ila nasema Musukuma wa hovyo siyo kwa sababu ni Msukuma bali yeye kama yeye Musukuma.
 
Back
Top Bottom