Nimeweka clip, umemsikia msukuma? Wewe mpuuzitu, bishaMimi sio mpuuzi nimebusha sema suuuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeweka clip, umemsikia msukuma? Wewe mpuuzitu, bishaMimi sio mpuuzi nimebusha sema suuuuu
Simtetei Msukuma, wala simlaumu Makamba; nipo interested na mchango wako; naomba kujua ni lini Msukuma aliwahi kuongea UONGO!? I mean ni lini aliwahi kumsingizia mtu (nimesema mtu, sio taasisi au kampuni ). Huaga simkubali sana Msukuma but ningependa kupata proves za when jamaa aliongea uongo kumuhusu mtu.Kwa kifupi kabisa huyu mtu anaitwa Musukuma ni mtu wa hovyo sana na mpenda fitina za kijinga. Ameumiza watu wengi kwa fitina zake za hovyo. Naamini watawala wameelewa uhuni wake. Niishie hapo, inatosha.
Kwanza hajajibu kisomi na kitalaamu, amejibu kisanii, pili unaonekana wazi uko biased, unamtetea ,hoja ni visingizio kila kukicha, kama hawezi aseme , Mamlaka ziteue mtu mwingine.Kwa aliyefatilia kikao cha Jana cha Bunge atakuwa amepata picha kile ninachojaribu kuelezea hapa.
Musukuma anamtupitia mashambulizi makali Mh Makamba kwa kutoa ushahidi wa kile alichokuwa anakiona wakati akiwa mjumbe wa kamati ya nishati kwa miaka 6 sasa.
Na Makamba anajibu mashambulizii kisomi na kitaalamu zaidi lakini mwisho wa majibu yake anamwambia Musukuma
" Kama una shida na uwaziri, sema mengine ila kama shida ni ukatikaji wa umeme ilo sio tatizo langu."
Kwa kauli ya Makamba na Musukuma inaonesha hawa watu hawako kwenye good term Liko jambo linafukuta kati ya watu hawa wawili.
Ikumbukwe Makamba ni Waziri kwa miezi minne tu, ila Musukuma ni mjumbe wa kamati kwa miaka 6, kwanini anayoelezea Makamba kamati haiyajui? Au ni makusudi ya wasukuma kujiziba masikio?
Au ni chuki maana nasikia Makamba hatoi bahasha kwa wajumbe wa kamati wakija. Kumtembelea?
Musukuma anasema Makamba anapanda Elikopita kukagua mabwawa wakati yeye anaendaga na baiskeli.
Nini kinaendelea kati ya Musukuma na Makamba?
We, baada ya SSH anafuata Rais Nape Moses NhauyeMakamba hawezi kuwa mtendaji mzuri kwenye hii serikali. Toka serikali ya awamu ya tano iingie madarakani, novemba 5, 2015; Makamba Jr alikuwa na matarajio ya madaraka makubwa pamoja na udogo wake kiumri wakati ule na hata sasa.
Makamba alitarajia apate uwaziri Mkuu lakini akitaka minimum ya waziri wa mambo ya nje. Mambo hayakumwendea vizuri. Aliishia kuwa waziri wa nchi; OMR, Muungano na Mazingira.
Hata baada ya JPM kufariki, akarejesha matumaini yake ya kurudi kwenye baraza la mawaziri. Na bado akawa na matumaini makubwa ya kuwa PM au Waziri wa mambo ya nje. Na bado haijatokea.
Makamba ana tamaa ya madaraka. Hataki wizara inayomdemand yeye kudeliver. Anataka madaraka makubwa ua wizara ya kuuza sura kama hiyo ya Foreign Affairs.
Hapo alipo hana furaha kabisa.
Na bado Makamba anataka kuwa Rais mapema iwezekanavyo. Sasa anashangaa mama anataka kuendelea 2025-2030.
Na kuondoa uwezekano wa yeye kuwa Rais kabla ya 2040. Hii ni kwa sababu baada ya mama, kwa tamaduni na desturi za CCM 2030 watatuletea MKOLOSAI.
Hayo yote yanamchanganya Makamba Jr.
Wapenda madaraka sio watu. Mama anatakiwa kuwa makini.
Mbaya zaidi Mtu anapenda madaraka na bado ana tamaa ya kuwa Super Rich.
Makamba ni mtu wa kumuondoa kwenye cabinet. Abaki back bencher. Apange harakati zake akiwa back bencher.
Sijaona kasoro kwenye maswali ya msukuma!Kwa kifupi kabisa huyu mtu anaitwa Musukuma ni mtu wa hovyo sana na mpenda fitina za kijinga. Ameumiza watu wengi kwa fitina zake za hovyo. Naamini watawala wameelewa uhuni wake. Niishie hapo, inatosha.
Dah! Inaonekana bado unaishi kwa wazazi, basi sawaJanuary ni mtoto wa mjini ifike pahali Msukuma atulie kwanza,watoto wa mjini wapo kwenye system acha wafanye ya kwao.
mama Samia ndo kamteua Makamba na anajua kinachotakiwa kifanyike kwenye swala la umeme.
Ona utoporo huu, unafikiri hili taifa ni la kikundi Cha watu?? Hii ni Tanzania na Niya wtz wote wa Leo na kizazi kijacho, people will always fight back kama Kuna ujinga ujinga, nchi hizi za kiafrika unaona mpaka jeshi linachukuwa nchi ni sababu ya wanasiasa kujisahau na kuona nchi ni Mali yao, fanya katafiti kidogo sehemu zimetokea mapinduzi.January ni mtoto wa mjini ifike pahali Msukuma atulie kwanza,watoto wa mjini wapo kwenye system acha wafanye ya kwao.
mama Samia ndo kamteua Makamba na anajua kinachotakiwa kifanyike kwenye swala la umeme.
Huo umeme unakatikaga wapi, mbona hapa una miezi 6,walikataga siku moja tu? [emoji848]Sijaona kasoro kwenye maswali ya msukuma!
Amekaa kwenye kamati ya Nishati kwa miaka 6 anasema tangia project haijaanza kamati ilikuwa inafika mpaka inaanza walikuwa wanaenda na wlaikuwa wanaona kabisa kitu kinafanyika na mkandarasi hadai certficate mkandarasi anadai mpaka sasa, ila ujenzi hauonekani ukisonga shida nini? Waziri mwanzo alisema hakuna crane yakubeba tani 26 sawa crane imefika zinatolewa sababu nyingine kuwa yale mahandaki yalijengwa substandard ndiyo msukuma anahoji wasomi wenzake vipi mbona mnamuangusha?
Swali jingine ni kukatika kwa umeme, kwa mujibu wa kwenye kamati hawakuona sababu yoyote ya msingi ya kukatika kwa umeme ovyo, na waliiomba Tanesco ilete taarifa ambayo inaonesha huko nyuma miaka mi5 walikuwa wanatumia mbinu gani kufanya umeme usikatike ovyo huku wakifanya maintenance tofuti na sasa? Maana tulibiwa sababu mitambo haikufanyiwa maintanance sababu watu waliogopa kutumbuliwa, mara tukaambuwa mabwawa yamekauka na Waziri kachukua mpaka Herkopta mpaka Mtera pale ila mkurugenzi wa lile bwawa akatoa ukweli kuwa mpk miezi saba mbele wanaweza kuzalisha megawati 80 kama kawaida ata mvua isiponyesha ila mvua zimenyesha baada ya Chief Hangaya kuomba mvua, wakaja maintenance ya siku 10 sawa ila bado kuna tatizo la kukatika kwa umeme ovyo! Shida nni?
Ndo maswlai yasukuma hayo wala hajamlenga mtu kuwa anataka Uwaziri
Wapi huko boss? Las Vegas au?Huo umeme unakatikaga wapi, mbona hapa una miezi 6,walikataga siku moja tu? [emoji848]
umesema vyema sana - kwenye vikao VYENU vya chama! Tena ungeongeza Chama chenuMsukuma anajisumbua, Makamba ni mwakilishi wa Rais katika Wizara husika sasa kumshambulia ni kutaka chokochoko nyingine kwa aliyemteua.
Hoja za Msukuma hazina mashiko zaidi ya mashambulizi personal - huyu aingie kwenye vikao vyetu vya chama tumuweke sawa maana tukimwacha atazidi kupotosha umma wa watanzania kuhusu mradi huu nyeti.
Kwa hiyo hata wewe huoni kwa macho? umeme unakatika kila mara na bwawa halijazwi maji kila siku kuna taarifa tofauti na ya nyuma yake?Kwa aliyefatilia kikao cha Jana cha Bunge atakuwa amepata picha kile ninachojaribu kuelezea hapa.
Musukuma anamtupitia mashambulizi makali Mh Makamba kwa kutoa ushahidi wa kile alichokuwa anakiona wakati akiwa mjumbe wa kamati ya nishati kwa miaka 6 sasa.
Na Makamba anajibu mashambulizii kisomi na kitaalamu zaidi lakini mwisho wa majibu yake anamwambia Musukuma
" Kama una shida na uwaziri, sema mengine ila kama shida ni ukatikaji wa umeme ilo sio tatizo langu."
Kwa kauli ya Makamba na Musukuma inaonesha hawa watu hawako kwenye good term Liko jambo linafukuta kati ya watu hawa wawili.
Ikumbukwe Makamba ni Waziri kwa miezi minne tu, ila Musukuma ni mjumbe wa kamati kwa miaka 6, kwanini anayoelezea Makamba kamati haiyajui? Au ni makusudi ya wasukuma kujiziba masikio?
Au ni chuki maana nasikia Makamba hatoi bahasha kwa wajumbe wa kamati wakija. Kumtembelea?
Musukuma anasema Makamba anapanda Elikopita kukagua mabwawa wakati yeye anaendaga na baiskeli.
Nini kinaendelea kati ya Musukuma na Makamba?
Hata lowasa aliteuliwa na kikwete lakini wabunge wakamchokonoa mpaka akajiuzuruJanuary ni mtoto wa mjini ifike pahali Msukuma atulie kwanza,watoto wa mjini wapo kwenye system acha wafanye ya kwao.
mama Samia ndo kamteua Makamba na anajua kinachotakiwa kifanyike kwenye swala la umeme.
Uzi umekuwa biasedKwa aliyefatilia kikao cha Jana cha Bunge atakuwa amepata picha kile ninachojaribu kuelezea hapa.
Musukuma anamtupitia mashambulizi makali Mh Makamba kwa kutoa ushahidi wa kile alichokuwa anakiona wakati akiwa mjumbe wa kamati ya nishati kwa miaka 6 sasa.
Na Makamba anajibu mashambulizii kisomi na kitaalamu zaidi lakini mwisho wa majibu yake anamwambia Musukuma
" Kama una shida na uwaziri, sema mengine ila kama shida ni ukatikaji wa umeme ilo sio tatizo langu."
Kwa kauli ya Makamba na Musukuma inaonesha hawa watu hawako kwenye good term Liko jambo linafukuta kati ya watu hawa wawili.
Ikumbukwe Makamba ni Waziri kwa miezi minne tu, ila Musukuma ni mjumbe wa kamati kwa miaka 6, kwanini anayoelezea Makamba kamati haiyajui? Au ni makusudi ya wasukuma kujiziba masikio?
Au ni chuki maana nasikia Makamba hatoi bahasha kwa wajumbe wa kamati wakija. Kumtembelea?
Musukuma anasema Makamba anapanda Elikopita kukagua mabwawa wakati yeye anaendaga na baiskeli.
Nini kinaendelea kati ya Musukuma na Makamba?
Msukuma kaongea ukweli Kuna ubabaishaji kwasasaSikiliza hapa ili ujione ulivyo mpuuzi
View attachment 2120805
Mtamuua huyu jamaa kama ndio aim yake hii, anatamani kuwa raisi kijana ila kwa maza kugombea tena 2025 jamaa anateseka saaanaMakamba ana tamaa ya madaraka. Hataki wizara inayomdemand yeye kudeliver. Anataka madaraka makubwa ua wizara ya kuuza sura kama hiyo ya Foreign Affairs.
Hapo alipo hana furaha kabisa.
Na bado Makamba anataka kuwa Rais mapema iwezekanavyo. Sasa anashangaa mama anataka kuendelea 2025-2030.
Na kuondoa uwezekano wa yeye kuwa Rais kabla ya 2040. Hii ni kwa sababu baada ya mama, kwa tamaduni na desturi za CCM 2030 watatuletea MKOLOSAI.
Hapo hakuna ugomvi ni Democrasia umechukua nafasi yakeKwa aliyefatilia kikao cha Jana cha Bunge atakuwa amepata picha kile ninachojaribu kuelezea hapa.
Musukuma anamtupitia mashambulizi makali Mh Makamba kwa kutoa ushahidi wa kile alichokuwa anakiona wakati akiwa mjumbe wa kamati ya nishati kwa miaka 6 sasa.
Na Makamba anajibu mashambulizii kisomi na kitaalamu zaidi lakini mwisho wa majibu yake anamwambia Musukuma
" Kama una shida na uwaziri, sema mengine ila kama shida ni ukatikaji wa umeme ilo sio tatizo langu."
Kwa kauli ya Makamba na Musukuma inaonesha hawa watu hawako kwenye good term Liko jambo linafukuta kati ya watu hawa wawili.
Ikumbukwe Makamba ni Waziri kwa miezi minne tu, ila Musukuma ni mjumbe wa kamati kwa miaka 6, kwanini anayoelezea Makamba kamati haiyajui? Au ni makusudi ya wasukuma kujiziba masikio?
Au ni chuki maana nasikia Makamba hatoi bahasha kwa wajumbe wa kamati wakija. Kumtembelea?
Musukuma anasema Makamba anapanda Elikopita kukagua mabwawa wakati yeye anaendaga na baiskeli.
Nini kinaendelea kati ya Musukuma na Makamba?
Halafu mtu kama chinembe anapotosha kuwa alisema Bwawa limejengwa sub standard! What a shame! Msukuma hapa kasema ukweli maana lengo la Makamba ni kuua legacy ya JPM na kuhakikisha wanarudisha magenerator ili JK aendelee kuifisadi hii nchiMsukuma kaongea ukweli Kuna ubabaishaji kwasasa
Nape hawezi kuwa Rais.We, baada ya SSH anafuata Rais Nape Moses Nhauye