Nini chanzo cha ugomvi wa January Makamba na Musukuma?

Hizo 'bure bure' ndizo laana zenyewe, ndizo zinazodumisha umaskini wa afrika nzima. Wazungu wanajitegemea kwa kukubali kuumia, kukubali kugharamia miradi yao mbalimbali wakiwa wanajinyima matanuzi wanayoyapenda.

Wazungu wanafundiswa kubana matumizi, anaweka pesa fulani kila mwezi ili mwakani wakati wa jua kali aweze kwenda kutazama mazingira ya afrika au australia.
 
Umeongea nini hapo?. Kubana matumizi ukatembelee Australia. Au bure bure ndio laana?
 
Umeongea nini hapo?. Kubana matumizi ukatembelee Australia. Au bure bure ndio laana?
Yote mawili ni majibu sahihi. Kule USA wanaita welfare, dada wa watu anazaa tu halafu anakula bure ingawa wamegundua kuwa ni mkosi kukaa bila kufanya kazi.

Kufanya kazi kunaendana na nidhamu ya matumizi. Chunguza sana wahindi wanavyotajirika, ni kwa sababu ya kujua wanunue nini na wakati gani.

Wajomba wa Ulaya hufika wakati wakatuchoka.
 
Wewe ndo Mk Jr kabisaa
 
SAWA bwana kigogo
 
Ngoja kwanza; hatujadiri usafi au uchafu wa Msukuma hapa mkuu, swali litabaki pale pale, je mkurugenzi wa Geita alinunua gari/magari kwa kufuata taratibu au la? Tunatengeneza kizazi cha ajabu sana, mtu akiona maovu tunataka akae kimya asiseme halafu bado tunalalamikia UFISADI. Bongo tumelogwa???? Kuhusu kashfa zake Msukuma, yaweza kua kweli anaufisadi wake, kama na yeye anawasagia wenzie kunguni na yeye asagiwe kunguni vile vile ili nae avune anachokipanda. Tujadiri HOJA mkuu, sio mtu
 
Sio kweli ni DED wa Geita ktk jimbo la Msukum
Kwahiyo alihamishwa au alirudishwa? OK, kama tunakumbuka vizuri ni kwamba baada ya zile shutuma za ununuzi wa magari, wilaya kadhaa ziliguswa ikiwepo Chato na Waziri mkuu aliunda TUME kuchunguza hilo; majibu ya TUME yalikuaje? Maanake hata Waziri mkuu nae hakupenda ununuzi wa yale magari and this menas kwamba taratibu hazikufuatwa na Msukuma anabakia kua alisema ukweli!
 
sifa ya kuchaguliwa kuwa mbunge ianzie degree moja na kuendelea.
siyo tu degree hapana. degree toka kwenye vyuo vya kueleweka with 3.0 and above GPA
Wengine kama msukuma tutawalaumu bure
 
Waziri mkuu nae hakupenda ununuzi wa yale magari and this menas kwamba taratibu hazikufuatwa na Msukuma anabakia kua alisema ukweli!

Kama walikiuka taratibu na hata Waziri mkuu hakufurahishwa kutokana na maelezo yako, kwanini basi hawakuchukuliwa hatua za kinidhamu? Kunguni za msukuma hazikusagika!!!
 
Kama walikiuka taratibu na hata Waziri mkuu hakufurahishwa kutokana na maelezo yako, kwanini basi hawakuchukuliwa hatua za kinidhamu? Kunguni za msukuma hazikusagika!!!
Kwamba kwanini hawakuchukuliwa HATUA hilo unataka mimi nijibu mkuu? Tungewauliza wao wakubwa kwanini hawakuwachukulia HATUA; wewe kama Mtanzania wa kawaida ungejiuliza, je ni kweli jamaa alinunua hayo magari or No!? The thing is, tunalalamika ufisadi but once ufisadi ukianza kuwataja tunao wapenda, tunaona kama wameonewa. Unless mkuu wewe ndio huyo jamaa alisagiwa kunguni na Msukuma
 
Haya Ethiopia hao tayari bwawa lao limeanza kufanya kazi tokea jana. Letu linasubiri winchi ya kukodi. Yaani chief Hangaya alifanya makosa makubwa sana kuiteua hii Zero kwenye wizara nyeti kama hii ya Nishati. Huyu Makatani wizara za hovyo hovyo ndio zingemfaa. Hili kosa mama atalijutia 2025 ngoja tule mtori nyama ziko chini. Huu mradi usipofika 2025 haujaisha ... mark my words.
 

Kulikuwa hakuna ushahidi usio shaka kuwa tuhuma zile zilikuwa kweli hivyo isingekuwa haki kuwachukulia hatua watuhumiwa!!
 
Kwa kifupi kabisa huyu mtu anaitwa Musukuma ni mtu wa hovyo sana na mpenda fitina za kijinga. Ameumiza watu wengi kwa fitina zake za hovyo. Naamini watawala wameelewa uhuni wake. Niishie hapo, inatosha.
Ungekuja na ushahidi ungeeleweka zaid
 
Nchi hii Ina vituko kuliko hata vya mr Bean fikiria watu wale wale nyakati tofauti lakini wanazungumza Mambo tofauti na Yale ya wakati ule wa miaka 2 mmoja uliopita.
Nchi haina dira na mipango mkakati haipo kichwa Cha rais ndio dira mfano mwaka mmoja nchi haina covid leo nchi Ina covid Zaid ya watu 500 wamekufa kumbuka viongozi ni wale wale nyakati ndio zimetofutiana.
 
Chanzo ni ufisadi mkubwa anaotufanyia waTZ huyo Makamba wako
 
Eti hatoai bahasha acha propaganda zako. Sasa walipokuwa anatoa bahasha ndio umeme ukawa unawaka?????? Huyo makamba wako afamnue kazi what we want ni umeme and nothing else. Akili ya panya ndio itaamini ni wivu. Huo uwaziri labda ungekuwa ufalme. Huo uwaziri wa siku mbili anapewa mwingine? huo uwaziri wa miaka mitatu iliyobaki endapo ataendlea. Ukumbuke nguvu ya Umma ni nguvu ya Mungu. Asilete blah blah waht we wanyt ni Umeme . period!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…