Nini chanzo cha ugomvi wa January Makamba na Musukuma?

Nini chanzo cha ugomvi wa January Makamba na Musukuma?

Mkuu, unachanganya sana madesa, yule aliyemsifia Magufuli ni mkurugenzi wa Kahama, wa Geita hadi leo hajarudishwa kazini mkuu; usichanganye mafaili! Bado nauliza, ni lini Msukuma aliwahi kumuongopea mtu kwa kumuonea? Kwenye issue ya umeme, January kachemka, hata kama tunampenda but pale kaingia mkenge. Ningekua karibu nae ningemshauri ile wizara asingeikubali, wizara ile haiwafai watoto wa mjini, watoto wa mjini wanapenda sana pesa, pale panaua ndoto zake za urais kabisa. Kibaya zaidi majibu alioyatoa ni mepesi mno kulinganisha na issues alizo raise bwana Kasheku Msukuma, Msukuma alijikita kwenye issue ya umeme na bwawa la mwalimu Nyerere, January aka personalize jambo!

Msukuma ni mtu wa kila siku kufanya madili na ndio maana ana kesi chungu nzima za kukopa benki kwa ujanja ujanja hataki kulipa huku akijifanya mfanyabiashara maarufu!! Musukuma ndio aliyemsagia kunguni yule mkurugenzi kwa Jiwe kuwa alikuwa amenunua gari bila kufuata utaratibu kumbe ni uongo!!
Kama ni suala la kupenda pesa hakuna tofauti kati yao; wawe wa mjini au wa shamba wote ni sawa; kitu kinachowaunganisha ni chama chao kinachowafuga hao chawa!!
 
Nimemsikikiza vizuri ngosha the don, msukuma ana point, wasilete bla bla wajibu maswali ya msukuma..

Tanzania nchi ya hovyo kabisa.
 
mpaka sasa hakuna ushahidi wowote kwamba Waziri ameshindwa kuisimamia Wizara, kilichopo tunachokiona ni majungu na kinyongo baada ya Waziri aliyetangulia kupigwa chini.


Hakuna ushahidi umeme unakatika kwenye karo la maji machafu?!😢😢😢 zero brains at work
 
Makamba hawezi kuwa mtendaji mzuri kwenye hii serikali. Toka serikali ya awamu ya tano iingie madarakani, novemba 5, 2015; Makamba Jr alikuwa na matarajio ya madaraka makubwa pamoja na udogo wake kiumri wakati ule na hata sasa.

Makamba alitarajia apate uwaziri Mkuu lakini akitaka minimum ya waziri wa mambo ya nje. Mambo hayakumwendea vizuri. Aliishia kuwa waziri wa nchi; OMR, Muungano na Mazingira.

Hata baada ya JPM kufariki, akarejesha matumaini yake ya kurudi kwenye baraza la mawaziri. Na bado akawa na matumaini makubwa ya kuwa PM au Waziri wa mambo ya nje. Na bado haijatokea.

Makamba ana tamaa ya madaraka. Hataki wizara inayomdemand yeye kudeliver. Anataka madaraka makubwa ua wizara ya kuuza sura kama hiyo ya Foreign Affairs.

Hapo alipo hana furaha kabisa.

Na bado Makamba anataka kuwa Rais mapema iwezekanavyo. Sasa anashangaa mama anataka kuendelea 2025-2030.

Na kuondoa uwezekano wa yeye kuwa Rais kabla ya 2040. Hii ni kwa sababu baada ya mama, kwa tamaduni na desturi za CCM 2030 watatuletea MKOLOSAI.

Hayo yote yanamchanganya Makamba Jr.

Wapenda madaraka sio watu. Mama anatakiwa kuwa makini.

Mbaya zaidi Mtu anapenda madaraka na bado ana tamaa ya kuwa Super Rich.

Makamba ni mtu wa kumuondoa kwenye cabinet. Abaki back bencher. Apange harakati zake akiwa back bencher.
Aombe awe mkolosai
 
Wanachofanya Makamba na Msukuma ni siasa
Wewe badala ya kujadili mada umeanza personal attack
Unajua maana ya personal attack? Personal attack ipo kwenye majibu ya huyo boss wako unayemtetea hapa.
 
Makamba hawezi kuwa mtendaji mzuri kwenye hii serikali. Toka serikali ya awamu ya tano iingie madarakani, novemba 5, 2015; Makamba Jr alikuwa na matarajio ya madaraka makubwa pamoja na udogo wake kiumri wakati ule na hata sasa.

Makamba alitarajia apate uwaziri Mkuu lakini akitaka minimum ya waziri wa mambo ya nje. Mambo hayakumwendea vizuri. Aliishia kuwa waziri wa nchi; OMR, Muungano na Mazingira.

Hata baada ya JPM kufariki, akarejesha matumaini yake ya kurudi kwenye baraza la mawaziri. Na bado akawa na matumaini makubwa ya kuwa PM au Waziri wa mambo ya nje. Na bado haijatokea.

Makamba ana tamaa ya madaraka. Hataki wizara inayomdemand yeye kudeliver. Anataka madaraka makubwa ua wizara ya kuuza sura kama hiyo ya Foreign Affairs.

Hapo alipo hana furaha kabisa.

Na bado Makamba anataka kuwa Rais mapema iwezekanavyo. Sasa anashangaa mama anataka kuendelea 2025-2030.

Na kuondoa uwezekano wa yeye kuwa Rais kabla ya 2040. Hii ni kwa sababu baada ya mama, kwa tamaduni na desturi za CCM 2030 watatuletea MKOLOSAI.

Hayo yote yanamchanganya Makamba Jr.

Wapenda madaraka sio watu. Mama anatakiwa kuwa makini.

Mbaya zaidi Mtu anapenda madaraka na bado ana tamaa ya kuwa Super Rich.

Makamba ni mtu wa kumuondoa kwenye cabinet. Abaki back bencher. Apange harakati zake akiwa back bencher.
Umeandika mawazo yangu kwa sehemu kubwa sana.!
 
Kwa aliyefatilia kikao cha Jana cha Bunge atakuwa amepata picha kile ninachojaribu kuelezea hapa.

Musukuma anamtupitia mashambulizi makali Mh Makamba kwa kutoa ushahidi wa kile alichokuwa anakiona wakati akiwa mjumbe wa kamati ya nishati kwa miaka 6 sasa.

Na Makamba anajibu mashambulizii kisomi na kitaalamu zaidi lakini mwisho wa majibu yake anamwambia Musukuma

"Kama una shida na uwaziri, sema mengine ila kama shida ni ukatikaji wa umeme ilo sio tatizo langu."

Kwa kauli ya Makamba na Musukuma inaonesha hawa watu hawako kwenye good term Liko jambo linafukuta kati ya watu hawa wawili.

Ikumbukwe Makamba ni Waziri kwa miezi minne tu, ila Musukuma ni mjumbe wa kamati kwa miaka 6, kwanini anayoelezea Makamba kamati haiyajui? Au ni makusudi ya wasukuma kujiziba masikio?

Au ni chuki maana nasikia Makamba hatoi bahasha kwa wajumbe wa kamati wakija. Kumtembelea?

Musukuma anasema Makamba anapanda Elikopita kukagua mabwawa wakati yeye anaendaga na baiskeli.

Nini kinaendelea kati ya Musukuma na Makamba?
Acha kujifagilia na upungu wako! Eti 'kisomi'! Msukuma ndio aliyeuliza swala kitaalam ila huyo waziri asiyejielewa ndio anaweka bra bra na baadae anakimbilia kujificha kwenye sketi ya mama! Aibu kabisaa!
 
Msukuma anajisumbua, Makamba ni mwakilishi wa Rais katika Wizara husika sasa kumshambulia ni kutaka chokochoko nyingine kwa aliyemteua.

Hoja za Msukuma hazina mashiko zaidi ya mashambulizi personal - huyu aingie kwenye vikao vyetu vya chama tumuweke sawa maana tukimwacha atazidi kupotosha umma wa watanzania kuhusu mradi huu nyeti.
Kwa hiyo makamba ni mwakilishi wa rais kwenye mambo ya kuwaumiza wananchi upande wa umeme?
1. Kutoka 27,000 ya kipindi cha Kalemami na Magu,mpaka laki 320,000 kipindi hiki cha mwakilishi makatani. Kuingiza umeme
2. Kutoka bure kipindi cha Kalemani na Mag mpaka unyang'anyi wa elfu 1 wa unapojaza umeme kipindi hiki cha mwakilishi makatani
3. Kutoka 0.01% kukatika katika umeme kipindi cha Kalemani na Magu mpaka 52% ukatikaji umeme kipindi hiki cha mwakilishi makatani
4. Nasikia wako mbioni sijui wameanza. (Wanafuta matumizi madogo. Mfano ukinunua umeme wa 9000 ilikuwa unapata unit 75 kwa sasa unaweza kupata hata unit 20 tu kwa pesa hiyo kipindi hiki cha makatani
Huo ndio utofauti uliopo utendaji wa makatani
 
Kwa kifupi kabisa huyu mtu anaitwa Musukuma ni mtu wa hovyo sana na mpenda fitina za kijinga. Ameumiza watu wengi kwa fitina zake za hovyo. Naamini watawala wameelewa uhuni wake. Niishie hapo, inatosha.
Mbona sasa Serikali huyafanyia kazi mambo mengi anayoyasema? Kosa ni lake au hiyo Serikali? Mfano, Rais Samia ameagiza DED wa Geita Vijijini achunguzwe baada ya kutuhumiwa na Dk. King Musukuma. Je, ikibainika ni kweli, akatenguliwa kosa ni nani?
 
Mbona sasa Serikali huyafanyia kazi mambo mengi anayoyasema? Kosa ni lake au hiyo Serikali? Mfano, Rais Samia ameagiza DED wa Geita Vijijini achunguzwe baada ya kutuhumiwa na Dk. King Musukuma. Je, ikibainika ni kweli, akatenguliwa kosa ni nani?
Kila siku yeye na ma DED tu, ana shida huyo
 
Msukuma anajisumbua, Makamba ni mwakilishi wa Rais katika Wizara husika sasa kumshambulia ni kutaka chokochoko nyingine kwa aliyemteua.

Hoja za Msukuma hazina mashiko zaidi ya mashambulizi personal - huyu aingie kwenye vikao vyetu vya chama tumuweke sawa maana tukimwacha atazidi kupotosha umma wa watanzania kuhusu mradi huu nyeti.
Makamba hovyo tu
 
Wewe unataka kumtetea Makamba inaonekana.

Ni nani anafurahia utendaji wa Makamba? Utendaji ni kukata umeme kwa visingizio lukuki? Walisema maji, Mungu si Athumani, akaleta mvua. Sasa ndio wakaja na visingizio vya maintanance.

Anataka apewe miaka 4 kama vile ndio tumepata uhuru? Kwanini anataka kukata connection ya regime hii na nyingine?
Serikali haikatiki.

Halafu anadhani kila mtu anapenda madaraka kama yeye. Akiulizwa wajibu wake, anakimbilia kwenye madaraka.
Awajibu. Hakuna wa kudumu kwenye siasa.

Hakuna mwenye hati miliki ya uongozi. Uongozi ni dhamana.
Sukuma gang zamu yenu imeisha kubalini tu sasa wenye nchi yao wanayo na wanafanya mambo kisomi sio hadithi za kusadikika kuwa tunaweza kusaidia nchi za ulaya kwakuwa ss ni matajiri sana
 
Kwa aliyefatilia kikao cha Jana cha Bunge atakuwa amepata picha kile ninachojaribu kuelezea hapa.

Musukuma anamtupitia mashambulizi makali Mh Makamba kwa kutoa ushahidi wa kile alichokuwa anakiona wakati akiwa mjumbe wa kamati ya nishati kwa miaka 6 sasa.

Na Makamba anajibu mashambulizii kisomi na kitaalamu zaidi lakini mwisho wa majibu yake anamwambia Musukuma

"Kama una shida na uwaziri, sema mengine ila kama shida ni ukatikaji wa umeme ilo sio tatizo langu."

Kwa kauli ya Makamba na Musukuma inaonesha hawa watu hawako kwenye good term Liko jambo linafukuta kati ya watu hawa wawili.

Ikumbukwe Makamba ni Waziri kwa miezi minne tu, ila Musukuma ni mjumbe wa kamati kwa miaka 6, kwanini anayoelezea Makamba kamati haiyajui? Au ni makusudi ya wasukuma kujiziba masikio?

Au ni chuki maana nasikia Makamba hatoi bahasha kwa wajumbe wa kamati wakija. Kumtembelea?

Musukuma anasema Makamba anapanda Elikopita kukagua mabwawa wakati yeye anaendaga na baiskeli.

Nini kinaendelea kati ya Musukuma na Makamba?
Wewe unaonyesha kabisa katika uandishi wako ni kumtetea Makamba, kajibu vipi kisomi kwa kusema eti kama shida ni Uwaziri wangu useme, hayo ndo majibu ya kisomi au ndo ninyi wasomi wetu wa siku hizi hamko analytical unaona na hiyo ni pointi ya kisomi? Thinking Tanks wanamchora tu huyo mpigaji Makamba hajawahi kuwa muadilifu hata siku moja bali ni blaaa blaaa tu na kuwaibia CHADEMA kura kwenye Uchaguzi Mkuu. MAKAMBA SI MUADILIFU.
 
January ni mtoto wa mjini ifike pahali Msukuma atulie kwanza,watoto wa mjini wapo kwenye system acha wafanye ya kwao.
mama Samia ndo kamteua Makamba na anajua kinachotakiwa kifanyike kwenye swala la umeme.
Sasa Musukuma ni Mtoto wa Mjini kuliko huyo Makamba, kuitwa Musukuma siyo kigezo cha kutokuwa Mtoto wa Mjini, moja ya sifa yake ya Umtoto wa Mjini ni kutunukiwa PhD akiwa na sifa ya LY (Last Year/ Darasa la Saba), je Makamba anacho hicho kitu? Achana kabisa na Musukuma uliza tunaomfahamu tukueleze we ma mdogo
 
Back
Top Bottom