Hahahah... Muhuni tu huyo,,eeeeh nilijua UDSM tu, kumbe hadi Kairuki kwa madaktari wana haka mchezo?
Huko makazini yamejazana hasa mabenki mimi ninawajua wengi wapo NMB Bank House (Posta), KKKT Azania Front na wengine wapo mpaka baadhi ya taasisi nyeti (majina kapuni)
Astakafillullah! Yani na wewe ni double line?!Ofcoz wala me coni problem yoyote