Rene Jr.
JF-Expert Member
- Jan 31, 2014
- 3,714
- 2,376
Sidhani kama kuna ukweli wowote, kama ndivyo basi asilimia 70 ya kaka zako unaowaona wenye umri wa above 35 wangekuwa mashoga, maana wengi wamesoma boarding schools.
Ni asilimia ndogo sana ya watu wanaoanza ushoga wakiwa chuoni, umri huo mtu anakuwa ameshajitambua, ukijaribu kumshika kiuno tu utaona mtiti wake, achilia mbali kumgusa tak.o!
Ni asilimia ndogo sana ya watu wanaoanza ushoga wakiwa chuoni, umri huo mtu anakuwa ameshajitambua, ukijaribu kumshika kiuno tu utaona mtiti wake, achilia mbali kumgusa tak.o!