Kinachosababisha mtoto wa kiume awe hivo ni makundi anayojihusisha nayo wanasema ukikaa na mwizi nawe utakuwa mwizi au japo vile vichembe chembe vya wizi pia vitakupata na kikubwa ni kumuomba Mungu mana dah kizazi kinaangama kwa kukosa maarifa.
ndo anauliza hao wa kwenye hayo makundi imekuwaje kuwaje?
Hukutana tabia tofaut tofaut
zisizo za kishoga?
asee umeniamulia
maswali nayapenda tu bas tu hata sjui kwa niniKwa nini? haupendi maswali?
maswali nayapenda tu bas tu hata sjui kwa nini
Kwa hiyo hupendi kuulizwa na mimi?
ha ha ha mkuu haya uliza ila majibu jumatatu.
Maybe u never know
zisizo za kishoga?
hivi wahindi wengi ni mashoga eehhata hapa mombasa tatizo hilo lipo, ila kwa harakaharaka nafikiri wagen kutoka mataifa ya ulaya wanachangia sana,hata hawa wahindi wanaoishi dar,nairobi,mombasa wengi wao ni mashoga
zimefanyaje jamani uliza jingine
If gays are granted rights, next we'll have to give rights to prostitutes,followed by zoophiles and eventually pedophiles.....
Shoga shoga uyooo
asa si ulikuwa haujalijibu jamani? sababu nikianza kuuliza mambo ya nje ya mada si utanishangaa?
halijibiki ah ha ha ha hha
It will never happen for pedophiles.....!! When u grant rights for pedophiles it means you support child abuse....!!
Basi kafute lile jibu lako la kwanza twende sawa.