Tafuta makanisa ya TAG (Tanzania Assemblies of God) onana na wachungaji wake, tofauti na hapo kitakachokupata usilaumu.sasa hap ndo patamu nisaidie kupata watumishi wa mungu wa kweli sio mtumishi wa dini unaenda kumuelezea tatizo lako anaenda kukuombea kwa kukushika ------ so nisaidie kama katika dunia hii ya mwisho kama yupo atakaeweza kunisaidia na si kunitaka anipakuwe tena.
ni raha sana yaani kile kitu cha motomoto kikiwa kinakusugua mkunduni utapenda
kaka unaweza kuokoka ila isikusaidie kama hujapata msahada wa kimatibabu. mimi nisha do na wachungaji, mashekh,na watu wenye kuaminika sana kwenye dini zao kama viongozi wazuri sitaki kumtaja mtu but wao ndo wapenzi wa hi hizi mambo tena sana sembuse sisi waja!
Brother, pole sana.
Naweza kufikiri maumivu ulioyapitia kiakili hata kufikia kutaka kujiua. mbaya zaidi ulilaghaiwa ukiwa mtoto.
INAWEZEKANA kabisa kuacha kama ukiamua na kuchukua juhudi za makusudi kutaka kuiepuka. inaweza kuwa ngumu kuamini lakini uwezo wa kujiondoa uko ndani yako kabisa. And muscles japo zaweza kuwa zimeshalegea, ukifanya mazoezi hasa ya squarts kwa usahihi wake zitarudi kama kawaida, nazo pia huimarisha misuri ya uume kama zikifanya kwa usahihi wake. Anza sasa kujiambia waweza na yote yaliopita si ndwele na jikite kwenye mazoezi ya viungo sana itakusaidia kuondokana na mawazo yasiyo ya lazima.
Mungu anaangalia nia ya Mtu wala si wingi au uchache wa maneno ya sala zetu, UKIWEKA NIA THABIRI, NIAMINI UTAONDOKANA NAYO. kataa kabisa kujiaminisha kuwa huwezi kuondokana na iyo hadi, ASILIMIA LAKI NANE waweza ni kuamua tu.
MUNGU AKUONEKANIE KATIKA SAFARI YAKO BROTHER.
thanks bro ni watu wachache sana wenye kuelewa machungu na maumivu tunayoyapata gays tuliofanyiwa unyama tulipokuwa wtoto but wewe unaelewa! hii inaonyesha ni kiasi gani elimu na utu wako vinafanya kazi ndani yako bila shaka asante.
kama ni kweli kwanini usiwataje?
Karibu sana Bro,
Natamani upone ili Mungu akutumia kuwashauri na kuwatoa vijana wengi wanaopotea siku hadi siku. Wengi tumeshindwa kujikwamua kutoka katika hali ngumu tulizonazo kwa kuamninishwa kuwa hadi mtu akakuombee au mtu akusaidie ndo unatoka.
nimeona vingi na nimeshuhudia unafiki mwingi sana wa watu niliodhani wangeweza kunikwamua kutoka point A to B, na mara zote ilishindikana. Nilipopata fursa ya kujijua na kujua uwezo mtu alio nao ndani yake, nimejijenga sana kuchuja ni nini cha kuamini na nini ambacho sio cha kuamini.
maandiko yanasema ''MUNGU HUFANYA KAZI KWA KADIRI YA NGUVU ILIYO NDANI YA MTU'' kwa hiyo inamaana ili upate mabadiliko chanya kwa namna yeyote ni lazima uanze kuyakubali ndani ya akili na mawazo yako. ''kwa maana ajionavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo'' yasema maandiko. kwa namna yeyote mabadiliko chanya yataanza na mtazamo na nia yako utakayoiweka. na bado hujachelewa bro, kwa usianze kukataa hiyo hali leo, kwa nini watu wakuamninishe hadi ukaombewe ndio utapona, kwa nini uone ni kawaida ati kwa sababu umefanya kwa muda mrefu? kwa nini uweze kuacha vingine then hiko ushindwe? LA HASHA, UWEZO UKO NDANI YAKO kazi yako ni kuugundua na kuutumia kwa manufaa yako na ya watoto wako na familia yako ambayo utaijenga kwa neema inayotenda kazi ndani yetu.
God Bless.
ni raha sana yaani kile kitu cha motomoto kikiwa kinakusugua mkunduni utapenda
kwani nawew u mmoja wao.?
Ungesikiliza mfululizo wa vipindi vya njia panda redio mawingu fm chini ya Dkt Isaack Maro jumapili ungepata majibu yote.
nina mashaka na wewe!!Kila mtu ana uhuru wa kufanya analojiskia
Regards,
Jonathan.
sio kwa kila kila kitu...Kila mtu ana uhuru wa kufanya analojiskia
Regards,
Jonathan.
kwa mwanaume ni tamaa,toto la kiume hutaki kazi unataka bata na kuwa na vitu vya thamani,tamaa inapoza ta ko,mtoto wa kike ana k so ku sex kawaida na sifa moja wapo ya mwanamke so kaumbwa kwa tama,dume unatama ka za kike.eti unataka gari hushuhuliki unazani utalipataje...karibu mombasaHaya haya haya hayaaaaa
hop mko vizuri sana aisee, sasa leo embu tupeane mawazo juu ya hili jambo...
Chanzo cha mwanaume kuwa shoga ninini.?
Dume zima na mindevu yake linamkatikia kiuno mwanaume mwenzie,huku linatoa mihemko ya mahaba na kubana pua oooohh baby.... Baby..
Ivi wewe mwanaume unawaonea geree sana jinsi mademu wanavyo katika mauno kunako 6kwa6 na kulialia.?
Ivi chanzo cha ushoga ni nini wana member.? Embu tudadavue vizuri hili jambo bna mana sielew elewi mnajua.?
Finito..