Nini chanzo cha ushoga (uhanithi)?

Nini chanzo cha ushoga (uhanithi)?

tena na kiwinter hiki vijana wanafilimbana kama hawana akili nzuri huko hostel, wanapeana zamu tu. Kwa kweli inapaswa kufanywa juhudi ya dhati kuepusha janga hili la kuzalisha nguvu kazi iliyochakachuliwa
 
chimbaneni nnya mpaka mtoane madivi wakati wazungu wanarudi na kuchukua kazi zenu. hivi vijana nyie mnataka nini jamani? mbona mnaleta mambo ya ajabu nchini? hamna dini nyie?
 
Vijana wengi wasomi ndo watumiaji wakubwa wa MLANGO TAK.O a.k.a DAWASCO
 
kumbe wakufunzi wetu wakimaliza vyuon wanapata degree mbil
mmh! ila moja haina vyet
 
Kwa mtazamo wa mtoa mada!!
Kuna kijiukweli ila katika upande mmoja wa shilingi na maanisha wanawake kuwa wasagaji, yap! Kwa wanawake ni kama 50% wanaweza kuwa wasagaji hata kama sio kwa kufanya ila hata ile ya kimahusiono ya karibu, kwa wanaume ukweli unaweza kuwa -0.00001 , hii ni kutokana na hulka za wanaume wa kiafrika na mila na tamaduni za kiafrika, kwanza nimarachache kuwa kuta boys wana kumbatiana na kupigana kiss, ila kwa wanawake ni kama kitu cha kawaida mpaka wanaitana wapenzi( kutokana na findings hizo sources ndogo inaweza kuwa activate na kudondokea kwenye usagaji...

Nb. Mashoga wengi tz wanatokea zile familia bora na sources zao ni kutoka kwa walezi wao(wale ma babysitter) na zile shule za boarding wanazo pelekwa tangu wakiwa chekechea!!!

Mwisho
Siku njema
 
Nafikiri inategemea na style ya kubebana. Kama wanalala 'mzungu wa nne' (angalia 'playing cards K, Q, J') hiyo ni kawaida lakini kama wanalala kama 'mume na mke' au 'wapenzi wa jinsia tofauti' hiyo ni issue kubwa.
 
hyo kitu huwezi kuikuta SAUT maan kuna hostel nyingi na hazina watu.mwanza mtu analipa kilo 150 per year full raha.hizo zipo CBE na IFM asee
 
Wewe ushoga unaanzia chuoni akili yako inavyokutuma chuoni mtu yuko huru kwenda kujiuza au kununua ndio awe msagaji au shoga. Ushoga unaanzia mbali kipindi mvulana hajajielewa vizuri balehe iko moto afu anafungiwa fungiwa na kulala na watoto wa kiume wenzie.
 
Watu wanaingia vyuoni wakiwa na hizo tabia sugu tena hana shida hata na mwanafunzi mwenzie anaenda tafuta wakumpa dollar huko mbele kwa mbele...mtu anaingia chuo kitako kishabinuka siku nyingi
 
Watu wanaingia vyuoni wakiwa na hizo tabia sugu tena hana shida hata na mwanafunzi mwenzie anaenda tafuta wakumpa dollar huko mbele kwa mbele...mtu anaingia chuo kitako kishabinuka siku nyingi

Hivi hayo ni ya kweli mkuu? Na yanatokeaje huko mpaka wakawa namna hiyo? Ila mimi hofu yangu kubwa ni kuwa hawa ndio watu wa kuwa wabunge, mawaziri na watendaji wengine baadae, ndio hawa siku moja watakuwa wengi wa kutosha kuweza kuibua hoja za aibu kama ndoa za jinsia moja katika jamii ya watanzania!
 
Hivi hayo ni ya kweli mkuu? Na yanatokeaje huko mpaka wakawa namna hiyo? Ila mimi hofu yangu kubwa ni kuwa hawa ndio watu wa kuwa wabunge, mawaziri na watendaji wengine baadae, ndio hawa siku moja watakuwa wengi wa kutosha kuweza kuibua hoja za aibu kama ndoa za jinsia moja katika jamii ya watanzania!

Sijui yanatokeaje sababu ila zinaweza kuwa nyingi mazingira,malezi,maamuzi n.k
 
Sijui yanatokeaje sababu ila zinaweza kuwa nyingi mazingira,malezi,maamuzi n.k

Poa mkuu, zetu dua tu kwa kweli, dunia ndio inafunga virago hii, maana mambo hayo ndio yalileta gharika nyakati za nuhu, sijui safari hii yataleta nini!
 
Back
Top Bottom