Ahsante kakaNi aina gani ya dawa na inapatkana wp mkuu?
Ukitaka kuandika Uzi au kupost unaenda sehemu wameandika Quote hivi unabonyeza hapo unamjibu mtuAAhaxa
Ahxante kak
Oyaaa usijali .
Wewe ni mwanamke au mwanaume?.
Ila ndugu Berlin anza na ushauri huu kabla hujasoma mashauri yetu wengineKwa sababu hayo maeneo unapowashwa ni maeneo NYETI sana nashuri usitumie dawa hovyo hovyo.nenda hospitali ukapimwe vizuri.Badilisha hospitali kama kama umetibiwa hujapona.Kama uko Dsm anza na Regency hospital.ma doctor wetu wa Bongo ni kama mafundi gereji tuu,sometimes ramli nyingi, madawa mengi,utalamu kidogo,ilmradi idadi ya wagonjwa aliowatibu iwe kubwa apate kamisheni kubwa.Ukienda hapa hujapona baada ya kumaliza dose nenda na hospital nyingine ukajaribu.
Hizo dawa nimeshawah tumia kaka zaidi ya maramoja atChukua vidonge grisufluvin 30 unakunywa moja asubuhi moja jion kwa siku15, pia nunua whitefield unakuwa unapaka kila unapomaliza kuoga futa na towel ukaushe kabisa sehem unapowasha then paka asubuhi na usiku kwa angalau miezi3 bila kuacha,
Chupi zako uzinyoshe na pasi kabla ya kuvaa, pia taulo yako kila siku inyoshe na pasi na ufue angalau maramoja kwa wiki
Gily mahoxpital nimeenda lakin hawajawh nipima zaid ya kupak angalia na kuandik daw bxIla ndugu Berlin anza na ushauri huu kabla hujasoma mashauri yetu wengine
MwanzUpo mkoa gani?
Kaka hii haiend kusem inaend inarud apana Yan mud wot na Kila siku atKuna uwezekano ukawa unasumbuliwa na fungus licha ya kutumia dawa za kupaka na kumeza inabidi kuepuka kufanya vitu vinavyoweza kufanya shida yako ikarudi mara kwa mara.
Mbona ni ya scarbies kak Yan vipele au unaweza niambia we hal yako ilikuwaje mpaka unatumia ikakisaidia atNi aina gan ya dawa na inapatkana wp mkuu?
Kak hospital natembea mpak nimekata tamaa nikifka hoxpital nikionan na daktar xi pimw namuelezea daktar ana andika daw tu bx dah mpk nimechoka athospital hazijajengwa huko ulipo?
Xjui ndo inaitwa ivyo bbeNdo nini hii mkuu jazia nyama kidogo
Bro labd nikuelez tatiz hili limeanza tangia nipo daras la xaba umalay nimeufanya sangap atAcha umalaya tulia na mmoja msafi.
Nyoa maviuz Mara kwa mara. Epuka gesti house za short time especially maeneo ya Manzese, Buguruni na Mbagala.
Oga asubuhi na jioni.
Ukijitibu mtibu na huyo mpenzi wako.
Osha chupi , nguo zako zote na mashuka na maji ya moto. Vyote vioshwe kwa mpigo kuepuka wadudu kuhamia kwengine.
Tumia toilet paper.
Thank me later.
siyo minyoo hiyo? nenda kituo cha afya upimweNawashwa mno sehem za sili mpka sehem ya aja kubwa kwa muda mrefu na dawa nimetumia nyingi sjapona msaada jaman nateseka hakuna vipele Bali ni muwasho sugu
Duh bro nimetumia saw za minyoo apa nipo kwenye doz ya arlegy brosiyo minyoo hiyo? nenda kituo cha afya upimwe